Maombi yenu tafadhali

Maombi yenu tafadhali

Hiyo hospitali inaonekana iko vizuri, ni private bila shaka.

Vipi huduma zao ukizirate kwenye 1-10 scale.
Ni hospital ya waislam I mean ya msikiti

Huduma zimetoka uarabuni ziko Bien. Mimi Mkristu na hawanibagui. .
 
"Niko nae hapa analia kinyama mpaka natamani nilie"

Shimbonyi mkuu sijui ndy wanasemaga hvyo huko kwetu kaskazini.

Hongera sana mkuu empire imeongezeka.
 
Unataka muanze kuniamkia shikamoo humu ndani?

Mambo vipi inanitosha😀 maana siku hizi hata road naamkiwa shikamoo father shikamoo brother mpaka na wenye mvi noma. .
😅😅😅😅😅shkamoo niheshima kubwa mkuu.mana sasahivi vijana kuitoa hiyo salamu nimbinde
 
Kuna nwamba amejua hospital wakati sikuiweka. Hospital ni Istiqaama iko magomeni 😀

Nimesahau chaji yangu ya Samsung. Kama kuna mtu karibu aniazime ya kwake nitakuja kumrudishia. .
20230329_103123.jpg
 
Back
Top Bottom