Maombi yenu tafadhali

Much congratulations mkuuu watoto ni baraka!!
Mungu ni mwema atasaidia arekave mapema na kusiwe na changamoto zozote zitokanazo na oparie!
Allah Awajalie afya njema furaha na maisha marefu wewe mama na wanao IJN!
Iwe Kheri shangazi mtoto akikua nitatupia picha hapa. .
 
Basi fujo fujo zako kumu nikajuaga una miaka 18 bana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š!!
Haha leo unajua mimi pia ni mjomba๐Ÿ˜€
Si ulisemaga unapenda wazee, sasa mvi mwisho ziwe zimetokea wapi? define it. .
 
Big up sana Chifu, hapo unazidi kuwa na mzuka wa kupambania familia yako maana nakala za uzao wako tayari zimeshaonekana ungali hai na mwenye nguvu tele.

Ikimpendeza Mungu namwomba akuwezeshe vyema katika malezi bora ya familia yako.
Ningekuwa ulaya kwa haya maneno ningelia kabisa kama wanavyofanya kwenye movie ila kwa kuwa tuko bongo ngoja nisilie wasije kusema vibaya. Maneno mazuri sana Mungu akubariki zaidi. .
 
The type of relationship posts I expect my son to come across online!

๐Ÿ˜๐Ÿ˜

May all family men and their families acquire the most abundant blessings...

....in this life and the next...
 
Hebu kaa na usocialize na mkeo acha, anakuhitaji sana wewe kuliko sisi unaotuhadithia. Sisi hatukusaidii chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ