Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Mkuu ungekuwa mwanasanaa ungeelewa.. .. pale ilitakiwa mtu w vibes....

Refer final za Kombe la Dunia yule mdada wa mshepu mkubwa alivyoasha vibes
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji122]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiba na Simba wapi na wapi?

Yule amekimbia Yanga kwa ujio wa Diamond Platnumz ,ameogopa.
 
Huwezi kuangalia hadhira bila fanani Kama unaimba ngono na Pombe lazima ufanye show club,bar, n.k Ila Kama unaimba Kazi nzuri za watu waliostaharabika Basi Alikiba Kama fanani muache aokote maokoto
Hajaokota chochote Ni kwamba aliomba mwenyewe kuimba ndipo akapewa dakik tatu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…