Maoni binafsi: Ukiona mtoto kafanana na baba yake hizi ndio sababu

Maoni binafsi: Ukiona mtoto kafanana na baba yake hizi ndio sababu

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Mosi,baba mtoto ni mtata muda wote anaweza kukataa mtoto kuwa si wake, hapa Mungu uamua kumaliza utata, angalia mimba zote zilizokataliwa watoto hufanana na baba zao.

Pili, mama ni mtata, yaani wale wanawake ambao mkigombana au mkiachana anaamua kukupiga na kombora moja kuwa mtoto sio wako.
Hapo Mungu pia huonesha ufundi wake kwa kumfananisha mtoto na baba ili mama awe mpole tu.

Kinyume cha hapo mtoto sio wako umepigwa
 
Mmh mimi nimefanana na baba karibia kila kitu sura ndo zaidi na vidole vyote lakini hizi tabia ulizotaja hapo hawajawai kuwa nazo kwa sababu nimezaliwa ndani ya ndoa takatifu.
Mimi kwa mtazamo wangu kufanana ni damu kuwa kali kwa sabab karibia familia yote tunafanana hata baba na ndugu zake wa familia moja wanafanana sana hata sisi watoto wao tunafanana ukitukuta tumekaa pamoja huwez kuuliza kama sisi ni ndugu kwa sababu vile tunafanana jibu utakuwa nalo.
 
Mmh mimi nimefanana na baba karibia kila kitu sura ndo zaidi na vidole vyote lakini hizi tabia ulizotaja hapo hawajawai kuwa nazo kwa sababu nimezaliwa ndani ya ndoa takatifu.
Mimi kwa mtazamo wangu kufanana ni damu kuwa kali kwa sabab karibia familia yote tunafanana hata baba na ndugu zake wa familia moja wanafanana sana hata sisi watoto wao tunafanana ukitukuta tumekaa pamoja huwez kuuliza kama sisi ni ndugu kwa sababu vile tunafanana jibu utakuwa nalo.
Baba zenu watata ndio maana
 
Back
Top Bottom