Huu mtindo umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya members maarufu kwa uandishi wao kukutana na counter offensive. Ila hao wanaoiga id za wenzao ni kero, wanatuchanganya sana
 
Huu mtindo umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya members maarufu kwa uandishi wao kukutana na counter offensive. Ila hao wanaoiga id za wenzao ni kero, wanatuchanganya sana
Ipo hivyo, Moderator sijui wanakwama Wapi kuwapiga ban hawa watu
 
Kwa hiyo, serikali huwa inaajili waliopata division zero? Au kufeli mana yake nini? Muwe na shukurani na serikali yenu. Imejitahidi kuwafikisha hapo kwa waalimu makini lakini lawama kibao. Kweli binadamu hana wema. Mnataka mpewe gunia la ma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…