Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #241
Nahurumia shingo yakoKwa hiyo, serikali huwa inaajili waliopata division zero? Au kufeli mana yake nini? Muwe na shukurani na serikali yenu. Imejitahidi kuwafikisha hapo kwa waalimu makini lakini lawama kibao. Kweli binadamu hana wema. Mnataka mpewe gunia la ma...
hapana mkuuUpo seminani
Tena hata avatar yake Haina quality nzuri😂Huyu ni tahila tu hana kazi, tumupuuze
Kumbe ilikuwa ni hii mbuziShukrani kubwa ziende kwa walimu kwa kila nafasi na kila hatua na kwajitihada zao zilizofanya tufike tulipo sasa kwa elimu tulizopewa shule ziwe za kiada au ziada kuanzia ngazi ya awali, msingi, sekondari, upili hadi vyuo.
Hongera walimu kwa kuzalisha madaktari, maengineers, wahasibu n.k
Walimu wapewe maua Yao[emoji253]
View attachment 2670898
We jamaa akili zako haziko sawa.Regulator WA uwezo WA Walimu ni NECTA NA NACTE .Vyombo viwili hivyo havikuweza? Au mwajiri haviamini?Huko KUNA rushwa? Acha kuchanganya Siasa na mambo yanayohitaji utaalam.Interview zinazofanyika Kwa Walimu WA private schools ni mbinu ya mchujo kukwepa lawama!.Taaluma itapanda Kwa kujali maslahi ya Walimu. Yaani Kuboresha mishahara na maslahi ya Walimu na sio kutoa interview.Mwalimu aliyeandaliwa vizuri Kwa uhakika hahitaji interview ili aajiriwe.Msifanye kada ya ualimu kama sehemu ya kujipatia umaarufu! I hate!!Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe
Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.
Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa
Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu
Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?
Mwalimu WA degree hajaandaliwa kufundisha watoto WA primary hata hayo ni maigizo.Mtamtafuta mchawi WA Elimu hamtampata!Nashukuru miaka ya mbeleni kuna dalili za kupata walimu waliokuwa nondo darasani maana ukienda primary kama una degree walimu wanakushangaa balaaa......
Acha umbumbumbu hakuna ruhusa kufanya biashara katika ofisi za hospitali na Ulinzi ni mkali sana.Yaani ni marufuku.ila mwanzo hadi wauza mitumba walikuwa wanaingia.Wakuu, Kuna vibiashara vya mikopo ya vyombo member mmoja kanidokezea kuwa hawa watu huwa wanasambaza vyombo Kwa mkopo mashuleni, wanakuja na kagari asili ya tax au noah imejaa vyombo mhindi akishuka kwenye gari anasema nakopesha walimu tuu, tena wanapigwa Kwa bei kubwa kisenge
Why walimu nasio madaktar, polisi, benk nk maana huko nako Kuna vituo vya kazi, kwanini mwalimu ndowakupewa promotion kila taasisi inayotafutiza fursa
Nani kakudanganya kuwa Mpwayungu Village sio mwalimu.Umejuaje nawewe sio mwalimu?
Pumzika kama umechoka afu koma kusema "TUMECHOKA"Wee naye tumechoka nyuzi zako za kuzungumzia walimu kila wakati!
Nadhani watakuwa wamekuelewaPole sana mwalimu ondoka haraka maeneo ya shule, kaa mbali na hio kazi ya kiboya.
Ebu elewesha hii katuni, maana maboya haya bado hayatakuelewa
Ila Kwa walimu ni lango lililowazi hata mbwa huingia kubweka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha umbumbumbu hakuna ruhusa kufanya biashara katika ofisi za hospitali na Ulinzi ni mkali sana.Yaani ni marufuku.ila mwanzo hadi wauza mitumba walikuwa wanaingia.
Fika kota za Madaktari utawaona wakopeshaji wa kila aina wamejaa tele.