Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Kwa hiyo, serikali huwa inaajili waliopata division zero? Au kufeli mana yake nini? Muwe na shukurani na serikali yenu. Imejitahidi kuwafikisha hapo kwa waalimu makini lakini lawama kibao. Kweli binadamu hana wema. Mnataka mpewe gunia la ma...
Nahurumia shingo yako
 
Shukrani kubwa ziende kwa walimu kwa kila nafasi na kila hatua na kwajitihada zao zilizofanya tufike tulipo sasa kwa elimu tulizopewa shule ziwe za kiada au ziada kuanzia ngazi ya awali, msingi, sekondari, upili hadi vyuo.

Hongera walimu kwa kuzalisha madaktari, maengineers, wahasibu n.k

Walimu wapewe maua Yao[emoji253]

View attachment 2670898
Kumbe ilikuwa ni hii mbuzi
 
Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe

Ukienda shule za private ambazo ni vinara wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.

Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa

Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu

Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

We jamaa akili zako haziko sawa.Regulator WA uwezo WA Walimu ni NECTA NA NACTE .Vyombo viwili hivyo havikuweza? Au mwajiri haviamini?Huko KUNA rushwa? Acha kuchanganya Siasa na mambo yanayohitaji utaalam.Interview zinazofanyika Kwa Walimu WA private schools ni mbinu ya mchujo kukwepa lawama!.Taaluma itapanda Kwa kujali maslahi ya Walimu. Yaani Kuboresha mishahara na maslahi ya Walimu na sio kutoa interview.Mwalimu aliyeandaliwa vizuri Kwa uhakika hahitaji interview ili aajiriwe.Msifanye kada ya ualimu kama sehemu ya kujipatia umaarufu! I hate!!
 
Nashukuru miaka ya mbeleni kuna dalili za kupata walimu waliokuwa nondo darasani maana ukienda primary kama una degree walimu wanakushangaa balaaa......
Mwalimu WA degree hajaandaliwa kufundisha watoto WA primary hata hayo ni maigizo.Mtamtafuta mchawi WA Elimu hamtampata!
 
Wakuu, Kuna vibiashara vya mikopo ya vyombo member mmoja kanidokezea kuwa hawa watu huwa wanasambaza vyombo Kwa mkopo mashuleni, wanakuja na kagari asili ya tax au noah imejaa vyombo mhindi akishuka kwenye gari anasema nakopesha walimu tuu, tena wanapigwa Kwa bei kubwa kisenge

Why walimu nasio madaktar, polisi, benk nk maana huko nako Kuna vituo vya kazi, kwanini mwalimu ndowakupewa promotion kila taasisi inayotafutiza fursa
 
1684889672964.jpg
 
Wakuu, Kuna vibiashara vya mikopo ya vyombo member mmoja kanidokezea kuwa hawa watu huwa wanasambaza vyombo Kwa mkopo mashuleni, wanakuja na kagari asili ya tax au noah imejaa vyombo mhindi akishuka kwenye gari anasema nakopesha walimu tuu, tena wanapigwa Kwa bei kubwa kisenge

Why walimu nasio madaktar, polisi, benk nk maana huko nako Kuna vituo vya kazi, kwanini mwalimu ndowakupewa promotion kila taasisi inayotafutiza fursa
Acha umbumbumbu hakuna ruhusa kufanya biashara katika ofisi za hospitali na Ulinzi ni mkali sana.Yaani ni marufuku.ila mwanzo hadi wauza mitumba walikuwa wanaingia.
Fika kota za Madaktari utawaona wakopeshaji wa kila aina wamejaa tele.
 
Acha umbumbumbu hakuna ruhusa kufanya biashara katika ofisi za hospitali na Ulinzi ni mkali sana.Yaani ni marufuku.ila mwanzo hadi wauza mitumba walikuwa wanaingia.
Fika kota za Madaktari utawaona wakopeshaji wa kila aina wamejaa tele.
Ila Kwa walimu ni lango lililowazi hata mbwa huingia kubweka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom