Shule ni nyingi hasa msingi,na zipo vijijini huko kwa hiyo wanapata masoko,na pia wanalipa kidogo,aheri wanaonua vyombo kuliko unaenda kulisha na kunywesha layama huko kidimbwi
Pia wanajua walimu ni masikini cash hawawez, ni mikopo ndoitawaokoa
 

Ticha umekopa nini bhana...?
Una siri aiseeh.. yaani unajifanya kuhadithiwa wakati 100% umekopa kwa huyo mhindi...?!!
Ungekusanya huyo mshahara ukapunguza kuzunguka huko bar za manzese na buguruni ukanunua vyombo ili usikopeshwe kwa riba kubwa ticha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…