Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Shule ni nyingi hasa msingi,na zipo vijijini huko kwa hiyo wanapata masoko,na pia wanalipa kidogo,aheri wanaonua vyombo kuliko unaenda kulisha na kunywesha layama huko kidimbwi
Pia wanajua walimu ni masikini cash hawawez, ni mikopo ndoitawaokoa
 
Wakuu, Kuna vibiashara vya mikopo ya vyombo member mmoja kanidokezea kuwa hawa watu huwa wanasambaza vyombo Kwa mkopo mashuleni, wanakuja na kagari asili ya tax au noah imejaa vyombo mhindi akishuka kwenye gari anasema nakopesha walimu tuu, tena wanapigwa Kwa bei kubwa kisenge

Why walimu nasio madaktar, polisi, benk nk maana huko nako Kuna vituo vya kazi, kwanini mwalimu ndowakupewa promotion kila taasisi inayotafutiza fursa

Ticha umekopa nini bhana...?
Una siri aiseeh.. yaani unajifanya kuhadithiwa wakati 100% umekopa kwa huyo mhindi...?!!
Ungekusanya huyo mshahara ukapunguza kuzunguka huko bar za manzese na buguruni ukanunua vyombo ili usikopeshwe kwa riba kubwa ticha!
 
Back
Top Bottom