Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #261
Soma vizuri uziUmejuaje nawewe sio mwalimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri uziUmejuaje nawewe sio mwalimu?
Iam not and I will never becomeNani kakudanganya kuwa Mpwayungu Village sio mwalimu.
Mpwayungu Village ni mtetezi wa walimu na maslahi yao.
Mpwayungu Village mmoja ni kama CWT ziundwe kama kumi hivi ndo zitafikia nguvu zake
Sio kweli, huku kwingine hatuwez nunua vitu vya mafungu, makopo ya kuogea hayo wanawapelekea walimuNadhan hospital na bank ni ngumu kuingia kwa asili ya kazi hyo lakn wakopeshaji hao wanakuja tu hata kwenyr ofisi zingine na si mashuleni tu
Ivi bado mpaka Leo mtu Ana vyeti anabaki kuwa mjasiriamali badala ya kuwa mfanyabiashara? Basi walimu wote hawana akiliKuna waalimu wajasiriamali wako vizuri tu.
Pia wanajua walimu ni masikini cash hawawez, ni mikopo ndoitawaokoaShule ni nyingi hasa msingi,na zipo vijijini huko kwa hiyo wanapata masoko,na pia wanalipa kidogo,aheri wanaonua vyombo kuliko unaenda kulisha na kunywesha layama huko kidimbwi
Wewe shoga unaropoka sana hadi unakera sasa. Ukiweza kujua maana ya ujasiriamali utaacha upumbavuIvi bado mpaka Leo mtu Ana vyeti anabaki kuwa mjasiriamali badala ya kuwa mfanyabiashara? Basi walimu wote hawana akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani kakudanganya kuwa Mpwayungu Village sio mwalimu.
Mpwayungu Village ni mtetezi wa walimu na maslahi yao.
Mpwayungu Village mmoja ni kama CWT ziundwe kama kumi hivi ndo zitafikia nguvu zake
Au nadanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mfanyakazi tajiri,Mengi mwenyewe aliacha uhasibu akajiajiri.Sema wengine wana posho,ila bado unaeza lipwa mshahara mkubwa ila unaishia kidimbwi na kulisha chips Malaya huko mjiniPia wanajua walimu ni masikini cash hawawez, ni mikopo ndoitawaokoa
Hata iweje mwalimu ni kapuku kuliko mfanyakazi yeyote yuleHakuna mfanyakazi tajiri,Mengi mwenyewe aliacha uhasibu akajiajiri.Sema wengine wana posho,ila bado unaeza lipwa mshahara mkubwa ila unaishia kidimbwi na kulisha chips Malaya huko mjini
MABOTO [emoji23][emoji23][emoji23]Bay port nao wateja wao wakubwa ni Walimu
Wakuu, Kuna vibiashara vya mikopo ya vyombo member mmoja kanidokezea kuwa hawa watu huwa wanasambaza vyombo Kwa mkopo mashuleni, wanakuja na kagari asili ya tax au noah imejaa vyombo mhindi akishuka kwenye gari anasema nakopesha walimu tuu, tena wanapigwa Kwa bei kubwa kisenge
Why walimu nasio madaktar, polisi, benk nk maana huko nako Kuna vituo vya kazi, kwanini mwalimu ndowakupewa promotion kila taasisi inayotafutiza fursa
Kausha Damu waleMABOTO [emoji23][emoji23][emoji23]
Shule gnWaje na kwetu
Kuna nyingine inaitwa plutnum nasikia inawakausha balaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kausha Damu wale