Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Cha ajabu ambae hajawahi hata kuajiriwa ualimu,anawashauri walioajiriwa wafanye kitu ambacho mleta mada hatokifanya maisha yake yoteHata iweje, kuacha tu ualimu ni ushujaa
Ukerewe ni kuzimu ya TanzaniaSi angekopa kama anakopesheka halafu aanze vitimbwi.
Anyway kafanya maamuzi magumu, Kuendeshwa na kijitu mpaka akuamulie maisha yako na familia yako ni ujinga...
Huko Ukerewe mbona wengi sana wanapakimbia?
Ukerewe ni sehemu iliyofungwa pande zote,miye wakati natoka Bukoba,nilipata mtu wa UK,hivyo kabla hatujafanya paperwork nikaenda kupaona kwanza,Si angekopa kama anakopesheka halafu aanze vitimbwi.
Anyway kafanya maamuzi magumu, Kuendeshwa na kijitu mpaka akuamulie maisha yako na familia yako ni ujinga...
Huko Ukerewe mbona wengi sana wanapakimbia?
Mpwayungu Village alikosa ajira za ualimu,hivyo anachokifanya ni Ile tukose woteKajitangaza kuwa adui wa walimu
Mkuu vyovyote iwavyo kuishinda nafsi mbovu ni ujasiri tosha no matter yatamkuta mangapiHuo ni uamuzi wa kijasiri. Kwa maana kwamba huko mbele kunaweza kuwa na majuto na masikitiko, au matunda beyond his wildest dreams.
Hakutaka kuishi na familia Ukerewe?
Huwa nakuona huna akili completely, nahitaji siku nikupe mawasiliano yangu uje ofisini kwangu Kariakoo ila naona utaloweaMpwayungu Village alikosa ajira za ualimu,hivyo anachokifanya ni Ile tukose wote
Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo
Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu
Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
Nipe nije tuunge uteja,natafuta chimbo la simu used,iphone na Samsung,na vile vi itel vidogo vya 20000 mpaka 30000Huwa nakuona huna akili completely, nahitaji siku nikupe mawasiliano yangu uje ofisini kwangu Kariakoo ila naona utalowea
maamuzi kama haya ni uzalendo kabisa✌Leo nimepata taarifa mwalimu wa shule X alikuwa akishugulikia uhamisho atoke ukerewe aende kwao songea Sasa baada ya kuona mkurugenzi anazingua kumpitishia barua ilihali ana miaka zaidi ya kumi kituo kimoja na somo la kufundishia wapo walimu zaidi ya watano ila bado mwajiri analeta hira ikabidi aandike barua ya kuacha kazi hapo hapo
Ameacha kazi ili arudi nyumbani akakae na Familia afanye mambo yake kuliko kuburuzwa kijinga jinga tu
Kama yupo mwalimu anaweza fanya maamuzi magumu kama haya na aje hapa
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba anaweza tamani hata awe mfagia ofisi [emoji119]Huwa nakuona huna akili completely, nahitaji siku nikupe mawasiliano yangu uje ofisini kwangu Kariakoo ila naona utalowea
Aahaaaa,kama yupo Kariakoo aseme yupo duka lipo,wiki ijayo nakuja Dodoma then Dar ofisi ndogo za CCM Lumumba,Kuna paperwork nafuatilia pale[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba anaweza tamani hata awe mfagia ofisi [emoji119]
Mkuu huyo dogo ni mpambanajiNampa miaka 2 tu huyo kijana halafu tukutane pale..
Maisha ya kuishi mtaani ukipambania ugali wa kila siku yanahitaji uthubutu na uvumilivu mkubwa sana hasa sisi vijana sasa ngoja tumwangalie kwa kumpa muda.
Anaaply coz ya jeshi huyu
Kapuku wewe ebu Lala na mke wako huko mwenye mafundofundoAahaaaa,kama yupo Kariakoo aseme yupo duka lipo,wiki ijayo nakuja Dodoma then Dar ofisi ndogo za CCM Lumumba,Kuna paperwork nafuatilia pale
Kama hatojali,aseme yupo wapi nimkute Ijumaa ijayo,nikishamaliza kitakachonileta Dar
Nataka nifungue duka la used iphones and Samsungs for the start
Mpwayungu Village kama hutojali weka mawasiliano iwe hapa au pm,tuyajenge
Ngoja tuone kiwango cha uvumilivu wake tutajua tu mbovu ipi na mbichi ipi..maisha mtaani inahitaji ujasiri kuyaishi[emoji28]Mkuu huyo dogo ni mpambanaji
Kariakoo upo mtaa ipi mkuu,nipe jina nitume watu hapo kesho waje waverifyKapuku wewe ebu Lala na mke wako huko mwenye mafundofundo