Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Cha ajabu ambae hajawahi hata kuajiriwa ualimu,anawashauri walioajiriwa wafanye kitu ambacho mleta mada hatokifanya maisha yake yoteHata iweje, kuacha tu ualimu ni ushujaa
Mi sawa na padri kumshauri mwenye ndoa,ahaaaaa