Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Hili shoga Mpwayungu Village limekariri Walimu wanalipwa laki 3, Mwalimu wa Eritrea au nchi gani hiyo? Hata kama ingekuwa ni laki 1.5 bado heshimu kile anachokipokea mtu;maana kuna Watendaji wa Vijiji wanapokea kiasi pungufu ya kile wanapokea Walimu na bado wanafanyakazi na wanakwambia hawawezi kuacha kazi hiyo hata kama wangekuwa wanalipwa sh.70,000/= kwa mwezi.

Halafu we pimbi usifikiri kila anayejiajiri automatically anatoboa, bado wapo wengi wanafeli na wanatamani hata hicho kiduchu anachopokea Mwalimu. Usidanganye watu hapa kwamba kila kujiajiri kunahit; wapo niliowaona wakijiajiri na kweli wakatusua, na wapo waliojiajiri na bado mambo yao yako hovyo.
 
Hili shoga Mpwayungu Village limekariri Walimu wanalipwa laki 3, Mwalimu wa Eritrea au nchi gani hiyo? Hata kama ingekuwa ni laki 1.5 bado heshimu kile anachokipokea mtu;maana kuna Watendaji wa Vijiji wanapokea kiasi pungufu ya kile wanapokea Walimu na bado wanafanyakazi na wanakwambia hawawezi kuacha kazi hiyo hata kama wangekuwa wanalipwa sh.70,000/= kwa mwezi.

Halafu we pimbi usifikiri kila anayejiajiri automatically anatoboa, bado wapo wengi wanafeli na wanatamani hata hicho kiduchu anachopokea Mwalimu. Usidanganye watu hapa kwamba kila kujiajiri kunahit; wapo niliowaona wakijiajiri na kweli wakatusua, na wapo waliojiajiri na bado mambo yao yako hovyo.
Njoo taratiibu nitakupa za uso mpaka ushindwe udindisha hanithy ww
 
Ni kweli kuwa jobless inauma ila inauma zaidi ukiwa kwenye sehemu ya utumwa maana watumwa wote ni waoga hakuna wa kufanya mageuzi hata kidogo

Mtumwa mwenzao tu mwenye cheo kidogo anawaendesha balaaa Kwa posho ya 250000 je wenye VX sindokabisa wanakimbizana kutafuta vipindi ili waingie hata kama hawana

Hili ni likazi lakitumwa kuliko kazi zozote zile Duniani, ni kazi za wasio na akili Sasa utajua hii ni kazi gani wanafanya wasio na akili waliofeli. Ni kazi ambayo sikuwa kuona mfanyakazi yoyote afanye recategorization ahamie huku maana inakimbiwa na kila mtu
1691682398701.jpg
 
Ni kweli kuwa jobless inauma ila inauma zaidi ukiwa kwenye sehemu ya utumwa maana watumwa wote ni waoga hakuna wa kufanya mageuzi hata kidogo

Mtumwa mwenzao tu mwenye cheo kidogo anawaendesha balaaa Kwa posho ya 250000 je wenye VX sindokabisa wanakimbizana kutafuta vipindi ili waingie hata kama hawana

Hili ni likazi lakitumwa kuliko kazi zozote zile Duniani, ni kazi za wasio na akili Sasa utajua hii ni kazi gani wanafanya wasio na akili waliofeli. Ni kazi ambayo sikuwa kuona mfanyakazi yoyote afanye recategorization ahamie huku maana inakimbiwa na kila mtu View attachment 2713817
Ualimu kweli una maslahi madogo

Lakini huwezi kufabanisha na kuwa jobless

Pesa kuanzia 300k Hadi 1M sio nyingi kwa mwezi ila watu maisha yao yanaenda na hata wewe shoga maarufu JF umeishi kwa maisha hayo.

Halafu mbona unakuwa Malaya malaya, maisha ya walimu waachie walimu wenyewe.


Bila Shaka utakuwa XXXXY ndio maana unatuletea shida hapa.
 
Back
Top Bottom