Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Ualimu na uanqjeshi ni kazi moja tu wpte washenzi tu tena bora ya waalimu kuliko wanqjeshi
Mkuu jitokeze hadharani urudie maneno hayo ikikupendeza karibia eneo la military base tamka neno kwa neno kama ulivoandika hapo juu ili wakuprovie ushenzi wao
 
Akili za mleta mada
tapatalk_1691218701166.jpeg
 
Ni kweli kuwa jobless inauma ila inauma zaidi ukiwa kwenye sehemu ya utumwa maana watumwa wote ni waoga hakuna wa kufanya mageuzi hata kidogo

Mtumwa mwenzao tu mwenye cheo kidogo anawaendesha balaaa Kwa posho ya 250000 je wenye VX sindokabisa wanakimbizana kutafuta vipindi ili waingie hata kama hawana

Hili ni likazi lakitumwa kuliko kazi zozote zile Duniani, ni kazi za wasio na akili Sasa utajua hii ni kazi gani wanafanya wasio na akili waliofeli. Ni kazi ambayo sikuwa kuona mfanyakazi yoyote afanye recategorization ahamie huku maana inakimbiwa na kila mtu View attachment 2713817
We mbwa, bila mwalimu ungeweza kuyaandika haya uliyoyaandika?

Unashangaza sana, eti bora kuwa jobless kuliko kuwa mwalimu. Wewe ni taahira uliyekimbia matibabu milembe, siyo bure.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ualimu kweli una maslahi madogo

Lakini huwezi kufabanisha na kuwa jobless

Pesa kuanzia 300k Hadi 1M sio nyingi kwa mwezi ila watu maisha yao yanaenda na hata wewe shoga maarufu JF umeishi kwa maisha hayo.

Halafu mbona unakuwa Malaya malaya, maisha ya walimu waachie walimu wenyewe.


Bila Shaka utakuwa XXXXY ndio maana unatuletea shida hapa.
Akili zako ndozimelalia hapo badala ujenge hoja wewe unatukana
 
Ualimu kweli una maslahi madogo

Lakini huwezi kufabanisha na kuwa jobless

Pesa kuanzia 300k Hadi 1M sio nyingi kwa mwezi ila watu maisha yao yanaenda na hata wewe shoga maarufu JF umeishi kwa maisha hayo.

Halafu mbona unakuwa Malaya malaya, maisha ya walimu waachie walimu wenyewe.


Bila Shaka utakuwa XXXXY ndio maana unatuletea shida hapa.
[emoji23]
 
Nadhani wewe mkurugenzi uliyefanya haya unanijua mimi nani na unajua hili swala la kuwahamisha walimu zaidi ya kumi bila malipo yoyote Yale ya pesa ya uhamisho yaani transfer allowance.

Sasa nakuomba wiki mbili zisipite uwe umewapa hawa walimu haki yao vinginevyo nitataja uwozo wote uliopo kwenye hiyo halmashauri yako. Naona umewashika masikio madiwani hawaongei lolote kuhusu hili swala kwenye vikao vyenu vya halmashauri.

Umemtuma afisa elimu Kata awaambie hawa walimu hawatalipwa Kwa madai uhamisho ndani ya Kata huwa hakuna malipo swala ambalo sio kweli maana kwenye public standing order haijaelekeza hivyo, malipo ya uhamisho yatatolewa endapo mtumishi wa umma atahamishwa kituo haijalishi ndani ya Shina, kijiji, Kata au tarafa kwahiyo huo uhuni sitaukubali.
 
Bro Naungana Nawewe Unajitahidi Sana na Upo Mstari Wa Mbele Kuwapigania walimu wenzako Na kupigania maslahi yenu Walimu Ila watu wanakukatisha tamaa humu jukwaani,ushaur wangu usikate tamaa ticha ipo siku mutapata haki yenu nanyi mutakuwa watu katka watu.
 
Ndugu yangu kata huyo hiyo ....unataka pesa za uhamisho...? Ndugu mwalimu huyo boss wako ukimuanika utajuta hujui awezi kufanya aliyo yafanya Kwa watu kumi harafu asiwe na uhakika wa alicho kifanya.

Unaweza kutuambia hao walimu ni kwanini wameamishwa...? Isije ikawa hata kuwaamisha amewalindia vibarua vyao pengine walifaa wafutwe kazi warudi wakalime...!​
 
Ndugu yangu kata huyo hiyo ....unataka pesa za uhamisho...? Ndugu mwalimu huyo boss wako ukimuanika utajuta hujui awezi kufanya aliyo yafanya Kwa watu kumi harafu asiwe na uhakika wa alicho kifanya.

Unaweza kutuambia hao walimu ni kwanini wameamishwa...? Isije ikawa hata kuwaamisha amewalindia vibarua vyao pengine walifaa wafutwe kazi warudi wakalime...!​
Mimi sijaajiliwa na mtu yoyote yule Sasa atanifukuza kwenye kazi yangu niliyojiajiri?? Halafu mm huwa simwogopi binadamu yoyote yule aliyezaliwa na mwanamke. Kama hao walimu walitakiwa kufukuzwa kazi Kwa makosa yaliyojificha ila kawalinda basi amekosea maana hata huko walipokwenda hawajawa walinzi Bali ni walimu

N. B. mwenye mamlaka ya kumfukuza mwalimu ni TSC tu na RAIS
 
Back
Top Bottom