Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Kumbe unajua kuwa kinachowasumbua Walimu ni kukosa posho na chaka la kupiga, ila mishahara yao haitofautiani sana na idara nyingine, isipokuwa unajizima data tu eeeeh?Shida Hawana posho Wala pakupiga
Njoo taratiibu nitakupa za uso mpaka ushindwe udindisha hanithy wwHili shoga Mpwayungu Village limekariri Walimu wanalipwa laki 3, Mwalimu wa Eritrea au nchi gani hiyo? Hata kama ingekuwa ni laki 1.5 bado heshimu kile anachokipokea mtu;maana kuna Watendaji wa Vijiji wanapokea kiasi pungufu ya kile wanapokea Walimu na bado wanafanyakazi na wanakwambia hawawezi kuacha kazi hiyo hata kama wangekuwa wanalipwa sh.70,000/= kwa mwezi.
Halafu we pimbi usifikiri kila anayejiajiri automatically anatoboa, bado wapo wengi wanafeli na wanatamani hata hicho kiduchu anachopokea Mwalimu. Usidanganye watu hapa kwamba kila kujiajiri kunahit; wapo niliowaona wakijiajiri na kweli wakatusua, na wapo waliojiajiri na bado mambo yao yako hovyo.
Makapuku tuKumbe unajua kuwa kinachowasumbua Walimu ni kukosa posho na chaka la kupiga, ila mishahara yao haitofautiani sana na idara nyingine, isipokuwa unajizima data tu eeeeh?
Dalili ya uoga na kukosa hoja ni kutoa vitisho mbuzi. Last time ulinisababishia ban, naona unanitafutia nyingine. Jipendekeze nikufuck nile ban nyingine, sina ninachoogopa.Yaani ulete ujinga tukuangalie tu?Njoo taratiibu nitakupa za uso mpaka ushindwe udindisha hanithy ww
Nenda kaonane na Mwanasaikolojia, una shida ya afya ya akili. Na tatizo hili mwenyewe huwezi kulibaini Hadi watu wengine wakuambie na kukusaidia.Makapuku tu
Wafariji Kwa umakini wao, hawana hata mia na salary advance imesumbua kwenye mfumo wote wapo HoiKazi ya ualimu...
Kazi ni kazi Bora mkono uende kinywani...
Sawa mwalimuUalimu na uanqjeshi ni kazi moja tu wpte washenzi tu tena bora ya waalimu kuliko wanqjeshi
Sawa mjeda dawa yako inachemkaSawa mwalimu
Chizi kweli wewe kwataarifa yako nipo hospitali ndonainywa saiziSawa mjeda dawa yako inachemka
AFu ukitokq qpo njoo usaign hapa shule maana leo hujaonekana kwenye kipindi teqcher mpwaChizi kweli wewe kwataarifa yako nipo hospitali ndonainywa saizi
Hatutaki usawa ila tunapigania haki zaoNaelewa sana harakati zako katika kufikisha ujumbe kwa jamii kuhusu ugumu wa hii kazi na maslahi kiduchu.
Maisha kamwe hayawezi kuwa na usawa.
Umejuaje 🤣hawana hata mia na salary advance imesumbua kwenye mfumo wote
Ualimu kweli una maslahi madogoNi kweli kuwa jobless inauma ila inauma zaidi ukiwa kwenye sehemu ya utumwa maana watumwa wote ni waoga hakuna wa kufanya mageuzi hata kidogo
Mtumwa mwenzao tu mwenye cheo kidogo anawaendesha balaaa Kwa posho ya 250000 je wenye VX sindokabisa wanakimbizana kutafuta vipindi ili waingie hata kama hawana
Hili ni likazi lakitumwa kuliko kazi zozote zile Duniani, ni kazi za wasio na akili Sasa utajua hii ni kazi gani wanafanya wasio na akili waliofeli. Ni kazi ambayo sikuwa kuona mfanyakazi yoyote afanye recategorization ahamie huku maana inakimbiwa na kila mtu View attachment 2713817
Mkuu sinawaona tu wanavyohangaikaUmejuaje [emoji1787]
Au nawe ulikuwa unaimendea