Siyo kwamba una tatizo la afya ya akili? Why kila siku wewe ni kuwakejeli tu walimu?Hakuna wa kumkomboa mwalimu isipokuwa wao wenyewe, walimu wanaishi maisha ya hovyo punda akasome lakini bado tuu wapo kwenye kazi.
Mimi nawashauri waache kwanza kazi watafute na kupigania ukombozi wa kifkra ili hii kada angalau ifikie heshima hata ya mlinzi WA makaburi ya kisutu.
Mwalimu ukimkoromea tu anaogopa mpaka anajamba, Nina imani hata ukimtisha akupe pesa kama hataki unamfukuza kazi hiyo pesa atatoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama failures sio wapambanaji then Kwanini matajiri wa hapa mjini Ni failures wa huko mashuleni au hawajasoma kabisa?Nowadays baadhi ya maticha wapo vzr kiuchumi japo weng badooo tia maji tia maji huo ndoo ukwel.... baadhi ya sababu kwa upande wangu..
1. Kuowa au kuolewa mapema mara tu wakiajiriwa..
2. Familia kubwa..
3. Wategemez wengi....
4. Salary bado ndogo sana..
5. Hakuna au wana marupurupu machache sn..
6. Wengi kutoka vjjn wana exposure ndogo..
7. Serikal kuajiri failure miaka flan..zao la kupata walim weng wasio wapambanaj...
8. Etc
Tuambie ni walimu gani wa level gani na wanapokea shilingi ngapi??Narudia tena ualimu mnaopigia kelele Ni grade A Kuna watu wanapokea fedha nzuri tunachozidiwa na kada nyingine Ni allowance tu
Tuambie ni walimu gani wa level gani na wanapokea shilingi ngapi??Narudia tena ualimu mnaopigia kelele Ni grade A Kuna watu wanapokea fedha nzuri tunachozidiwa na kada nyingine Ni allowance tu
Wengi wamesomea (tumesomea) ualimu kwa sababuHii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Miongoni mwa jambo linaloonesha walimu hawaupendi ualimu,Wengi wamesomea (tumesomea) ualimu kwa sababu
1. Ufaulu (japo miaka hii, ufaulu sio hoja sana)
2. Umaskini (kuna watu wamefaulu vizuri lakini umaskini ndio umewafanya wasomee ualimu (kushindwa kulipa ada nk)
3. Urahisi wa ajira (sasa sio issue sana)
4. Kupata mikopo kwa urahisi (HESLB)
5. Uelewa mdogo juu ya kazi hii (wengi wanakuja kuujua uhalisia wa ualimu baada ya kuusoma na kwenda field)
6. Wanapenda ualimu ( kuna asilimia ndogo isiyozidi tano 5% ambao wamesomea ualimu kwa kupenda )
CONCLUSION: Asilimia zaidi ya 95% ya walimu hawaupendi ualimu
Mloganzila wameanza kufanya upasuaji wa kuongeza makalio, unataarifa lakini. Nenda ukapate huduma Mpwayungu VillageHii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Kuna siri kubwa ndani yake, ama huyu ni mwalimu aliyekosa pa kusemea mamboKuna wakati alifungiwa naona karudi
Yeye kama ualimu haupendi aachie wengine wanaopenda hata vyakula kuna mwingine anapenda hiki kile hapendi
Lakini huyu mwenzetu mleta mada anahitaji tiba ya akili ana dalili za ukichaa.Kitu.kama hukipendi huwezi kuwa kutwa unaongelea hicho tu ni dalili.ya ugonjwa wa akili awahi hospital sio siri na naongea kwa dhati.Hasora ya muda mrefu kwenye kitu.kile kile huzalisha ukichaa
Muda si mrefu atatupa nguo.na kutembea uchi barabarani walio karibu naye wamshauri
[emoji848] great thinkerWakati anapokea hiyo 40m ya kikokotoo kuna kundi kubwa la wanaoidharau hiyo kazi ya ualimu wanakuwa hawana hata laki moja mfukoni na wala hawana uhakika ni lini wataipata.
Nitajie tajir mmoja failure tz..Kama failures sio wapambanaji then Kwanini matajiri wa hapa mjini Ni failures wa huko mashuleni au hawajasoma kabisa?
Tuna ndugu huko. Hiyo pesa nzuri labla uwe daraja G ambayo ni 1.6M basic take home 1.2+M ILA kufikia hapo inakuchukua hadi miaka 12+Narudia tena ualimu mnaopigia kelele Ni grade A Kuna watu wanapokea fedha nzuri tunachozidiwa na kada nyingine Ni allowance tu
[emoji16][emoji16][emoji16]hao usiwaweke kwenye kundi la walimu. Hao ni wakufunziNdio.
WALIMU wa vyuo.
#YNWA
Mwalimu gani anywe bilima kwa mshahara upi? Ukiona mwalimu kashikilia chupa kubwa ya maji ujue katoka semina, 90% ya waalimu wana mikopo ya kauusha damu au ya benki mwalimu mpaka anasitaafu hajawahi kupokea mshahara wake kamiri.........Dunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, jumatatu mpaka jumatatu ukitoka kitambaa cheupe jumanne tunaenda small planet, jumatano wavuvi camp, alhamis liquid bar, ijumaa tunaruka maasai, jumamosi tunarudi kisuma afu jumapili tunapaa Beach kidimbwi kutumia pesa
Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepaukaa shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi Yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi
Ushapigwa kibaridi sasa mk unawasha.....Dunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, jumatatu mpaka jumatatu ukitoka kitambaa cheupe jumanne tunaenda small planet, jumatano wavuvi camp, alhamis liquid bar, ijumaa tunaruka maasai, jumamosi tunarudi kisuma afu jumapili tunapaa Beach kidimbwi kutumia pesa
Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepaukaa shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi Yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi. Utakuta wamevaa viatu vya four angle vya buku tatu tatu. Hawana jipya hawa sijui wana faida gani
Hao wa balimi niwale angalau mshahara unapumua Kwa mwezi wanapokea laki mbiliMwalimu gani anywe bilima kwa mshahara upi? Ukiona mwalimu kashikilia chupa kubwa ya maji ujue katoka semina, 90% ya waalimu wana mikopo ya kauusha damu au ya benki mwalimu mpaka anasitaafu hajawahi kupokea mshahara wake kamiri.........
Pole sana mkuu! Kama una imani ya kumjua Mungu ukajua hilo utadaiwa saana! Umefanya jambo gani kuwasaidia watu kama hao? Ujue ukwasi unaojigamba nao kama hujautafuta wewe mwenyewe physically uwe na uhakika kuna mtu, au jamii iliyoumia! Rushwa! Wizi! Dhuruma! Ufisadi! n.k.Dunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, jumatatu mpaka jumatatu ukitoka kitambaa cheupe jumanne tunaenda small planet, jumatano wavuvi camp, alhamis liquid bar, ijumaa tunaruka maasai, jumamosi tunarudi kisuma afu jumapili tunapaa Beach kidimbwi kutumia pesa
Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepaukaa shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi Yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi. Utakuta wamevaa viatu vya four angle vya buku tatu tatu. Hawana jipya hawa sijui wana faida gani
Leo ndio nimegundua kuwa wewe jamaa ni MshambaDunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, jumatatu mpaka jumatatu ukitoka kitambaa cheupe jumanne tunaenda small planet, jumatano wavuvi camp, alhamis liquid bar, ijumaa tunaruka maasai, jumamosi tunarudi kisuma afu jumapili tunapaa Beach kidimbwi kutumia pesa
Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepaukaa shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi Yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi. Utakuta wamevaa viatu vya four angle vya buku tatu tatu. Hawana jipya hawa sijui wana faida gani