Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mpwayungu tuna picha ya nyumba ya mwalimu inayovuja na ufafanue kama ni ya serikali (shule) ama nyumba zao binafsi ndizo zinazovuja.Maana laana ya walimu itakumaliza,watu waliokufundisha Bado unawadharau kwa kiasi hicho kisa tu dhana potofu iliyojengeka kuwa wanaisaidia CCM kuiba kura.Jaribu kufanya research za kutosha,vinginevyo utakuwa unafanya kazi isiyo na tija.
 
Mbinu unayotumia ni ya kuwajaza walimu waichukie serikali lakini kwa taarifa Yako no walimu wachache sana wako jf na wote waliomo humu hawana niaa hivyo tafuta namna nyingine ya kuwafikia walimu wanaofanana na Hali ngumu unazozitangaza ili waichukie CCM.Humu sio mahali pake.Labda kama unataka kufurahisha genge la vijana na wazee wa mjini.
 
Hakika mkuu Kuna mwalimu nlikua nae chalinze maeneo ya lugoba tulikua tunakunywa nae mabuyu, gongo na mnazi kachoka huyo Kama Teja. Ni mtu mzima kdogo lakni anaonekana Kama mzeee. Kuna muda anakosa hata mia mbili ya kununua buyu(wanzuki) inabidi anitanie Mimi mpaka nicheke ndo nimchukulie matano ya buku ndo anywe. Kiufupi mwl ana life ngumi kuliko hata mlinzi wa kampuni binafsi
 
Mwl hafurahii maisha ktk haya.
1.hali vizuri, wengi Wana malnutrition
2.hawavai vizuri, wengi nanavaa second hand clothes grade c sio A
3.usafiri wanatumia miguu, Kuna kipindi nlikua geita napiga kazi kwa roli moja ya kumbeba maknikia tunatoa shenda na mwabomba via masumbwe mpaka ushirombo. Walimu wakitupiga mkono tunakalisha juu ya kifusi nyuma tunabwaga mmoja mmoja njiani
4.hawali Bata classic. Starehe zao ni vilabu vya pombe chafu chafu na akionekana baa ni Mara moja sana tena kwa offer
5.hawana furaha na ndoa zao. Wengi hawaoa piss Kali Wana wanawake ilimradi tu anakojoa amechichumaa maana wengi wanawapata vilabu vya pombe. Ni ngumu kumkuta ticha wa kike kaolewa na mwl now days
6.biashara zao nazo ni za kuunga unga tu utaikuta mwl anafuga kuku hata 30 hawafiki na hawana matunzo wanaugua ugua na afya hawana Kama mwl mwenyewe
 
Mwl hafurahii maisha ktk haya.
1.hali vizuri, wengi Wana malnutrition
2.hawavai vizuri, wengi nanavaa second hand clothes grade c sio A
3.usafiri wanatumia miguu, Kuna kipindi nlikua geita napiga kazi kwa roli moja ya kumbeba maknikia tunatoa shenda na mwabomba via masumbwe mpaka ushirombo. Walimu wakitupiga mkono tunakalisha juu ya kifusi nyuma tunabwaga mmoja mmoja njiani
4.hawali Bata classic. Starehe zao ni vilabu vya pombe chafu chafu na akionekana baa ni Mara moja sana tena kwa offer
5.hawana furaha na ndoa zao. Wengi hawaoa piss Kali Wana wanawake ilimradi tu anakojoa amechichumaa maana wengi wanawapata vilabu vya pombe. Ni ngumu kumkuta ticha wa kike kaolewa na mwl now days
6.biashara zao nazo ni za kuunga unga tu utaikuta mwl anafuga kuku hata 30 hawafiki na hawana matunzo wanaugua ugua na afya hawana Kama mwl mwenyewe
Kweli wewe umewachoka waalimu, hata chakula hawali vizuri eti wanq malnutrition, mbona kuna wenye muonekano mzuri na vitambi.
 
Ni wasaidie na hii Twitter
1699802866639.jpg
 
Back
Top Bottom