Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #741
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye ni specialist wa walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye ni specialist wa walimu
Kuna maeneo shule zipo ndani ndani mnoo mkuu ni ngumu kujenga makazi yako lazima ukae kotaKwa nini usijenge yako?
Mwalimu wa kike halafu single....Kuna mwalimu nimempa hifadhi kwangu akae Kwa mda maana nyumba zao zinavuja sana, naongea nyumba za serikali ambazo walimu wanakaa. Walimu kwenye hii nchi ni jehanamu tosha.
Ok. Ni daktari wa walimu sio?Yeye ni specialist wa walimu
Basi mkamateni mumuulize shida ni niniOk. Ni daktari wa walimu sio?
But he is a teacher, tunajua Kila kitu kumhusu yeye
Shida ni ukosefu wa ajira.Basi mkamateni mumuulize shida ni nini
🤣🤣🤣Oyaaa kua serious basi hata mara Moja mojaKuna walimu ,Wana maokoto si mchezowapo wanaendesha Prado hapa ,mjini na wanaenda tour ,ufaransa ,Hispania na uarabuni uko Dubai paka unaweza SEMA ,uyu ni mwalimu au Ded au meneja
Gweedo😁😁ni matacle au cyoWacha kutetea ujinga we gweedo
Aiseeeeee.Ushapigwa kibaridi sasa mk unawasha.....
daaah kubabeq ww fala una dharau aiseHao wa balimi niwale angalau mshahara unapumua Kwa mwezi wanapokea laki mbili
Unataka umle mwalimu aliyeshindwa kulipa mtungi wa gesiIla kwa Kweli serekali Sasa iangalie maslai la Hili kundi
Nimemkopesha mwalimu mtungi wa guess toka mwez wa nane Hadi leo ameshindwa kunilipa Sasa nazaka papuchi yake tu
Kweli wewe umewachoka waalimu, hata chakula hawali vizuri eti wanq malnutrition, mbona kuna wenye muonekano mzuri na vitambi.Mwl hafurahii maisha ktk haya.
1.hali vizuri, wengi Wana malnutrition
2.hawavai vizuri, wengi nanavaa second hand clothes grade c sio A
3.usafiri wanatumia miguu, Kuna kipindi nlikua geita napiga kazi kwa roli moja ya kumbeba maknikia tunatoa shenda na mwabomba via masumbwe mpaka ushirombo. Walimu wakitupiga mkono tunakalisha juu ya kifusi nyuma tunabwaga mmoja mmoja njiani
4.hawali Bata classic. Starehe zao ni vilabu vya pombe chafu chafu na akionekana baa ni Mara moja sana tena kwa offer
5.hawana furaha na ndoa zao. Wengi hawaoa piss Kali Wana wanawake ilimradi tu anakojoa amechichumaa maana wengi wanawapata vilabu vya pombe. Ni ngumu kumkuta ticha wa kike kaolewa na mwl now days
6.biashara zao nazo ni za kuunga unga tu utaikuta mwl anafuga kuku hata 30 hawafiki na hawana matunzo wanaugua ugua na afya hawana Kama mwl mwenyewe