Jitahidi sana kizazi chako kisije kutoa mwalimu huko mbeleni maana umeona uhalisia wa kazi ya UALIMU.Ni kweli baba yangu ni mwl maisha ni shidaa sana.
400k ni cheti diploma ni 530k na degree anaanza na 700kUnajua walimu wanapata shilingi ngapi lakini ?
Embu tuambie 400K kwa jiji la Dar es salaam inaishi vipi ??
Sio ccm ni utandawazi umesababisha hayo kada nyingi zinatoa wafanyakazi zamani IT, Computer science, Account na course nyingine zilikua hazina watu wengi vyuoniwalimu wamedharaulika sana miaka hii na hii yote ni kwa sababu masiisiiemu yameamua kuua kada hiyo kwa makusudi, zamani ilikuwa mwenye nyumba nzuri, mwalimu, mwenye bomba la maji nyumbani kwake , mwalimu, mwenye angalau familia bora kidogo, mwalimu, kule village hata mwenye baiskeli ama nyumba ya bati alikua mwalimu lakini sasahivi, mhh naomba niishie hapo tu, ila POLeni sana
NimetokaUmerudi?
Siyo kweli watu wanakimbia uticha ,vijan maelfu kwa mamia wanatafuta kazi hyo kwa tochi na hawaxioniHawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishije...
Kaa kimya hujui kituSiyo kweli watu wanakimbia uticha ,vijan maelfu kwa mamia wanatafuta kazi hyo kwa tochi na hawaxioni
Jana nimeambiwa rfk wangu amenunua gari mpya
Walimu wana madeni yasiyoishaLeo jamaa ananiambia kuwa kampuni anapofanyia anahisi wafanyakazi wanaongoza kuwa na madeni ila kila nikijaribu kufikiria Ualimu naona kama research yake haijakamilika.
JidanganyeMbona maticha wana maisha mazur kushinda wengi tu mtaan wana miliki nyumba magari viwanja ndani ya mda mfupi tu kwa tz hii ukimiliki gari na nyumba si ushamaliza mana kuwaza kuwa na makampuni n wachche tu ss walim wengi wana maisha mazur tu acha zako na ww
Amerudi, alitoka kidogo kwenda kumtafuta baba yake aliyemtelekeza ambaye ni mwalimu bila ya mafanikio hivyo amerudi na hasira zote.Umerudi?
Uko sawa sana ndugu Mpwayungu. Nahisi wote wanaokupinga siyo walimu, na kama ni walimu basi niseme mficha uchi hazai.Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?
Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona
Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.
View attachment 2951002