Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu

Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Walimu wote wakiwemo na wakuu wa shule za sekondari wanatoa maji Wilayani Kaliuhua kwenda Unguja?
 
walimu wamedharaulika sana miaka hii na hii yote ni kwa sababu masiisiiemu yameamua kuua kada hiyo kwa makusudi, zamani ilikuwa mwenye nyumba nzuri, mwalimu, mwenye bomba la maji nyumbani kwake , mwalimu, mwenye angalau familia bora kidogo, mwalimu, kule village hata mwenye baiskeli ama nyumba ya bati alikua mwalimu lakini sasahivi, mhh naomba niishie hapo tu, ila POLeni sana
 
Ni ngumu mtu ambaye siyo kada yake kupoteza bando na muda kuandika magumu na ubaya wa kada nyingine alafu ni kitu ambacho hakimuusu.Mfano siyo rahisi mwanasheria akapoteza muda wake kuandika na kukandia injiania kuwa kazi yake ni mbaya na mengine.Huyu dada Mpwayungu kama anavyojiita Kwa mwandiko wake na mada zake lazma ni MWL ndiyo maana ana abc nyingi za walimu.Huyu mtu maisha yatakuwa yamempiga sana au anatumia vileo vikali vilivyompotezea kuwa na akili Sawa.Mtu mwenye majukumu yake ya Kila siku hawezi kuwa na muda wa hovyo kuandika mambo kama haya.Waacheni walimu wapambane na hali zao.Uwalimu ungekuwa ni Jimbo basi tungemwambia akagombee ili kuwasaidi walimu.Waache
 
Asilimia kubwa Wanaochukia kazi ya Uwalimu ni Wale waliosomea hio kazi , wakatafuta ajira wakakosa...
Chuki yoyote lazima iwe na sababu

Hivi wewe Ni Dr, Injinia, Mfamasia, Mlinzi, mfanyabiasha zako(sizungumzii mfanyabiashara aliyekosa ajira) n.k unakuaje na chuki na kazi ya ualimu? Inakuhusu nini? Mtu aliye busy na mishe zake huwezi kua na mda na chuki na mtu/watu, chuki ni matokea ya njaa, disappointments n.k

Kwa nia njema ulipaswa uelezee tuu uhalisia, kazi ya ualimu ni duni, na huo ndio ukweli, wape ushauri
Wasiposikia achana nao waburuzwe wenyewe.
Hana chuki na walimu ni vile tu nyi mnakosa jicho la tatu, huyo mpwayungu ni mwalimu yupo kutetea haki zetu sisi walimu, hapa niliposiijui kesho yangu mshahara uliisha japo sina matumizi mengi kila siku nakula ugali na maharage na figiri kwani sisi hatumipendi kula nyama choma kama nyie.
 
Hana chuki na walimu ni vile tu nyi mnakosa jicho la tatu, huyo mpwayungu ni mwalimu yupo kutetea haki zetu sisi walimu, hapa niliposiijui kesho yangu mshahara uliisha japo sina matumizi mengi kila siku nakula ugali na maharage na figiri kwani sisi hatumipendi kula nyama choma kama nyie.
Mzee ulimwagilia moyo sana xmass na new year.
 
Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu

Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Dah! Naona Mwalimu Mpwayungu umeanza mwaka mpya kwa kupigwa shoti ya umeme.
 
Hata mimi nashangaa kwanini wamempiga ban hawa moderator mbona wanafuata mihemko ya watu, mtu anawawatetea walimu kila siku lakini bado hawaoni juhudi za huyu mkulungwa.
Moderators nao uwezo wao mdogo sana. Au wameanza kutumiwa vibaya na ccm kama CWT.
 
Ni ngumu mtu ambaye siyo kada yake kupoteza bando na muda kuandika magumu na ubaya wa kada nyingine alafu ni kitu ambacho hakimuusu.Mfano siyo rahisi mwanasheria akapoteza muda wake kuandika na kukandia injiania kuwa kazi yake ni mbaya na mengine.Huyu dada Mpwayungu kama anavyojiita Kwa mwandiko wake na mada zake lazma ni MWL ndiyo maana ana abc nyingi za walimu.Huyu mtu maisha yatakuwa yamempiga sana au anatumia vileo vikali vilivyompotezea kuwa na akili Sawa.Mtu mwenye majukumu yake ya Kila siku hawezi kuwa na muda wa hovyo kuandika mambo kama haya.Waacheni walimu wapambane na hali zao.Uwalimu ungekuwa ni Jimbo basi tungemwambia akagombee ili kuwasaidi walimu.Waache
Haya au huo ndio uhalisia wa maisha ya walimu. Yamejaa majuto na masikitiko mengi.

Wapo ili kubadili kalenda tu na hii ina madhara makubwa huko baadae kwa Serikali ya ccm.
 
Back
Top Bottom