lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
.wewe una kazi gani?nzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadhalilishaje?Liverpool VPN.
.. .. wamechoka mtu kuudhalilisha ualimu kazi ya halali ya watu....
Hayo ni maelekezo kutoka kwa Mwalimu Kassim Majaliwa, Mwalimu Dotto Bitteko, Mwalimu Kitila Mkumbo, Mwalimu Maganga, Mwalimu Jenesta Mhagama, Mwalimu Janeth Magufuli, Mwalimu Tulia Ackson to mention fewIyo Ban mliyompiga jamaa ni kwa ajili ya uzi huu au kuna issue nyingine
Walimu wote wakiwemo na wakuu wa shule za sekondari wanatoa maji Wilayani Kaliuhua kwenda Unguja?Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu
Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Ila si mnakula vzr.Ni kweli baba yangu ni mwl maisha ni shidaa sana.
Hata mimi nashangaa kwanini wamempiga ban hawa moderator mbona wanafuata mihemko ya watu, mtu anawawatetea walimu kila siku lakini bado hawaoni juhudi za huyu mkulungwa.
Hana chuki na walimu ni vile tu nyi mnakosa jicho la tatu, huyo mpwayungu ni mwalimu yupo kutetea haki zetu sisi walimu, hapa niliposiijui kesho yangu mshahara uliisha japo sina matumizi mengi kila siku nakula ugali na maharage na figiri kwani sisi hatumipendi kula nyama choma kama nyie.Asilimia kubwa Wanaochukia kazi ya Uwalimu ni Wale waliosomea hio kazi , wakatafuta ajira wakakosa...
Chuki yoyote lazima iwe na sababu
Hivi wewe Ni Dr, Injinia, Mfamasia, Mlinzi, mfanyabiasha zako(sizungumzii mfanyabiashara aliyekosa ajira) n.k unakuaje na chuki na kazi ya ualimu? Inakuhusu nini? Mtu aliye busy na mishe zake huwezi kua na mda na chuki na mtu/watu, chuki ni matokea ya njaa, disappointments n.k
Kwa nia njema ulipaswa uelezee tuu uhalisia, kazi ya ualimu ni duni, na huo ndio ukweli, wape ushauri
Wasiposikia achana nao waburuzwe wenyewe.
Mzee ulimwagilia moyo sana xmass na new year.Hana chuki na walimu ni vile tu nyi mnakosa jicho la tatu, huyo mpwayungu ni mwalimu yupo kutetea haki zetu sisi walimu, hapa niliposiijui kesho yangu mshahara uliisha japo sina matumizi mengi kila siku nakula ugali na maharage na figiri kwani sisi hatumipendi kula nyama choma kama nyie.
Dah! Naona Mwalimu Mpwayungu umeanza mwaka mpya kwa kupigwa shoti ya umeme.Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu
Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Napata take home ya 153,450/= mshahara kama huu nautumiaje zaidi ya kupauka tu, naishia kuangalia mbususu kwenye video, upwiru umeniganda kisa sina mafaranga kama nyie, hii kada hii.Mzee ulimwagilia moyo sana xmass na new year.
Ishu sio kushiba. Je chakula ni Bora kwa afya.dagaa na matobolwa ndo kushiba ama kuvimbiwa na mi vya kula ya modificationIla si mnakula vzr.
Watu hawajui tu Ualimu ni majuto.Ni kweli baba yangu ni mwl maisha ni shidaa sana.
Moderators nao uwezo wao mdogo sana. Au wameanza kutumiwa vibaya na ccm kama CWT.Hata mimi nashangaa kwanini wamempiga ban hawa moderator mbona wanafuata mihemko ya watu, mtu anawawatetea walimu kila siku lakini bado hawaoni juhudi za huyu mkulungwa.
Haya au huo ndio uhalisia wa maisha ya walimu. Yamejaa majuto na masikitiko mengi.Ni ngumu mtu ambaye siyo kada yake kupoteza bando na muda kuandika magumu na ubaya wa kada nyingine alafu ni kitu ambacho hakimuusu.Mfano siyo rahisi mwanasheria akapoteza muda wake kuandika na kukandia injiania kuwa kazi yake ni mbaya na mengine.Huyu dada Mpwayungu kama anavyojiita Kwa mwandiko wake na mada zake lazma ni MWL ndiyo maana ana abc nyingi za walimu.Huyu mtu maisha yatakuwa yamempiga sana au anatumia vileo vikali vilivyompotezea kuwa na akili Sawa.Mtu mwenye majukumu yake ya Kila siku hawezi kuwa na muda wa hovyo kuandika mambo kama haya.Waacheni walimu wapambane na hali zao.Uwalimu ungekuwa ni Jimbo basi tungemwambia akagombee ili kuwasaidi walimu.Waache
Kuna shida kubwa hapo siasa ndio ilitakiwa iwe wito sio viwanda vya kuandaa nguvu kazi ya Taifa.Ualimu ni kazi ya wito! Kama mtu aliichagua bila kujua hilo lazima apate shida.