balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Fani yenye laana imetoa Marais Nyerere,Mwinyi,Magufuli Achana na mawaziri,wakuu wa mikoa,wake wa Marais na wajasiriamali kibao.Acheni unaa dhidi ya walimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli japo wenye scale LSS za mishahara watakupuuza.Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu
Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Unajua walimu wanapata shilingi ngapi lakini ?Kila mtu aishi kwa anachoweza kukizalisha. Usiwe na matumizi ya zaidi ya unachokipata.
Juzi nimesema humu kwa ushahidi kabisa kuuza mihogo pale ilala kumekuwa bora kuliko kuwa mwalimu pale jangwani sekondari.Mkuu bora uwe na genge lako town unapata hata ten Kwa siku ila sio kuwa ticha
Acha uongo wengine tuna ndugu zetu huko tunaona wanavyoishi.Walimu gani hao unazungumzia? Zunguka jijini na mijini uone ndinga na majumba ya walimu. Usiishi kwa kukariri bi dada
Haya ndio matumizi ambayo ameyaelezea hapo juu, ni kula ugali kabichi mwezi mzimaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jambo la msingi ni kutumia au kuwa na matumizi yaliyo ndani ya mshahara wako
Mods tunamshukuru kwa kumpa mapumziko mwalimu aliyefukuzwa kazi......mwl mpwayungu😂😂
Naona mods wamemchoka
NAKAZIAIyo Ban mliyompiga jamaa ni kwa ajili ya uzi huu au kuna issue nyingine
Wewe unakula bata halafu umewaacha hao walimu wako wakisotea kilo 4 kwa mwezi mzima !!Naona na wewe una maisha magumu sana. Ndo maana hupatani na wenzio kabisa. Hii yako ya utoke vipi tumeichoka tafuta hoja nyingine. Nawaheshimu walimu bila wao leo nsingekuwa nakula maisha na perdiem za nje ya nchi daily. Acha stress dogo.
Kwa hoja hii ni kama huna exposure na mambo ya kitaaluma!Unamuheshimu mtu aliyefeli form four /six akaona awe mwalimu tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatuwezi kulingana..... Ila siwezi wakashifu hata kidogo. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeWewe unakula bata halafu umewaacha hao walimu wako wakisotea kilo 4 kwa mwezi mzima !!
Kula wali nyama tu kwenye nyumba ya mwalimu ni mgogoro mkubwa balaa. We una enjoy tu ??
Kila mtu apambane na hali yake ila huko mbeleni kutakuwa hakuna tena walimu wa kufundisha watoto wenu.
Shida yako ni kujumuisha walimu ndugu zako unaowaona huko kwenu na walimu wote Tanzania. Dada tembea uone walimu waliofanikiwaAcha uongo wengine tuna ndugu zetu huko tunaona wanavyoishi.
Mi ni miongoni mwa wanaoichukia sana kazi ya UALIMU.
Katukana hapo juu angalia post zake...Kafanya kosa gani mpaka alimwe ban?
#YNWA
Liverpool VPNMavi Yao