Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Kuna sehemu nilikwenda ni kijijini sana yani kuna shule hadi ya sekondari na ina wanafunzi wengi tuu! Kuna nyumba za walimu zimejengwa na wanakijiji lakini umeme hakuna na maji hakuna kwa hiyo maji wanayatoa mbali inabidi kuwatumia wanafunzi kupata maji…

Sasa kwa hali kama hii kwanini kada hii isidharaulike? Na kwanini wasilipwe posho za mazingira magumu kama kada ya afya?
Sasa hapo posho italeta maji ama umeme? Posho na vitu ulivyoviongelea mbona haviendeni?
 
Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]

Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga

Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.

Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
Walimu walikukosea nini?!!
 
Mishahara ya walimu ni kama ifuatavyo kabla ya makato
Certificate anaanzia 479k
Diploma anaanzia 590
Degree anaanzia 780k
Je, hiyo ni pesa ndogo kwamaisha ya Mtanzania wa kawaida?
Kwa upande wangu naona shida siyo viwango vya mishahara bali kubwa ya walimu hasa wa vijijini ni exposure, posho na semina za mara kwa mara.
 
Kuna sehemu nilikwenda ni kijijini sana yani kuna shule hadi ya sekondari na ina wanafunzi wengi tuu! Kuna nyumba za walimu zimejengwa na wanakijiji lakini umeme hakuna na maji hakuna kwa hiyo maji wanayatoa mbali inabidi kuwatumia wanafunzi kupata maji…

Sasa kwa hali kama hii kwanini kada hii isidharaulike? Na kwanini wasilipwe posho za mazingira magumu kama kada ya afya?
Wapi huko kada ya afya wanalipwa posho ya mazingira magumu!?
 
Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]

Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga

Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.

Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
...Huwa nakushangaa sana wewe maisha Yao yanakuhusu nini? achana nao by the way juzi uliletwa Uzi hapa jamaa anatamani ualimu...!!!ukiona Cha Nini mwanzako anasema atapata lini....
 
1. Walimu Hawana pakuiba...
2.Hakuna kundi lililojaa wanafiki kama walimu
3.Kutwa nzima unalikuta jaalimu la kiume lipo bega Kwa bega na mwalimu wa kike, sio litaomba mzigo ni umbea umbea tu.
4. Haya!!! mwalimu mmoja aanzishe mradi, walimu wenzie hao Kwa mkurugenzi jamaa hafundishi.
5. Na wao wakaona waingie kwenye betting, Sasa kanjibai anavyo warambisha udongo. Hawa jamaa😂
 
1. Walimu Hawana pakuiba...
2.Hakuna kundi lililojaa wanafiki kama walimu
3.Kutwa nzima unalikuta jaalimu la kiume lipo bega Kwa bega na mwalimu wa kike, sio litaomba mzigo ni umbea umbea tu.
4. Haya!!! mwalimu mmoja aanzishe mradi, walimu wenzie hao Kwa mkurugenzi jamaa hafundishi.
5. Na wao wakaona waingie kwenye betting, Sasa kanjibai anavyo warambisho udongo. Hawa jamaa😂
pana ukweli hapa !
 
Take home ya Mwalimu wa degree Tamisemi, anayeanza kazi inaligana na take home ya afisa Utumishi wa Tamisemi anayeanza Kazi, afisa maendeleo ya jamii anayeanza kazi nk, mbona umewakomalia walimu tu?
 
Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu

Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
 
Back
Top Bottom