mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
DuhKwa walimu wa bongo naona kunguni ana maisha mazuri kuliko wao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKwa walimu wa bongo naona kunguni ana maisha mazuri kuliko wao
Kama unalipwa 100k mwezi utaishaje. Pole mwalimu wa chekechea. Kuna waalimu wana vuta 2M per month. Sasa ww tukana tu badala uishi na watu vizuryUkweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga
Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.
Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
Wanamatunda gn hawa mbweha mkuu [emoji1787]Mti unaopigwa mawe sana ndio wenye matunda!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dogo wangu ticha dah duu virungu na mizinga anayonipigaga wallah ni zaidi ya makombora wanayodunguana pale middle east!
Umeongea Kwa hisia saana, posho ndo mwarubainiDaa wejamaa daa una matusi sana …eti kundi la wanyama pori…!
Lakini pamoja na hayo yote unasidia kuwa kumbusha serikali kujali maslai ya kundi hili….!
Wewe unaweza kuwa una watukana mdomoni lakini kuna watu wana watukana kwa vitendo kabisa na wapo serikalini maana wana watesa na kuwadharau na kuwakebei kuliko wewe!
Mimi naona ifike wakati Walimu walipwe mishahara mizuri kuliko kundi lolote na ianzishwe posho ya mazingira magumu kwa kada ya Ualimu!
Mwalimu yupi uyo chini ya local government analipwa hiyo pesa na mm nikutajie mpemba ambae hali samaki [emoji23]Kama unalipwa 100k mwezi utaishaje. Pole mwalimu wa chekechea. Kuna waalimu wana vuta 2M per month. Sasa ww tukana tu badala uishi na watu vizury
Sijawahi kuwa!, sasa naachaje kitu ambacho sijawahi kuwa nachoNilipitia uzi wako somewhere ,vipi umeacha ualimu?
Walimu hawatakuelewa, wao wape siku Tatu tu mshahara wote kwishaKukutanisha Mishahara kuna raha yake jamani.
Sawa sawa.Sijawahi kuwa!, sasa naachaje kitu ambacho sijawahi kuwa nacho
kausha damu ni kitu mbaya sana aisee, acha kabisaa....Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga
Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.
Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
Mkuu toa ushuhuda ebu watu wajifunze, nini kilikukutakausha damu ni kitu mbaya sana aisee, acha kabisaa....
Ewe Mwalimu kama hujaanza usijaribu.....
Don't try this at home or at school...
Secondary au primaryKuna dogo wangu ticha dah duu virungu na mizinga anayonipigaga wallah ni zaidi ya makombora wanayodunguana pale middle east!
Unauliza hili swali Kwa maana ipi maana walimu wote hali Zipo SawaSecondary au primary
Kuna sehemu nilikwenda ni kijijini sana yani kuna shule hadi ya sekondari na ina wanafunzi wengi tuu! Kuna nyumba za walimu zimejengwa na wanakijiji lakini umeme hakuna na maji hakuna kwa hiyo maji wanayatoa mbali inabidi kuwatumia wanafunzi kupata maji…Umeongea Kwa hisia saana, posho ndo mwarubaini