Wa secondary kidogo wapo vizuri kakaUnauliza hili swali Kwa maana ipi maana walimu wote hali Zipo Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa secondary kidogo wapo vizuri kakaUnauliza hili swali Kwa maana ipi maana walimu wote hali Zipo Sawa
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.Mkuu toa ushuhuda ebu watu wajifunze, nini kilikukuta
Mmh utakua unafundisha primaryyaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.
Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...
Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
We si mwana CCM nimekuona kwenye ule uzi wa nyumba ya Mbowe ukishabikia ujinga.yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.
Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...
Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
Hujitambui weweM naamn we jamaa n mwalimu na unajuta kua mwalmu ila huna namna ya kupata kaz nyingne nje na ualmu
Sio kweli.Wa secondary kidogo wapo vizuri kaka
🤣ndio mimi aise,We si mwana CCM nimekuona kwenye ule uzi wa mbowe ukishabikia ujinga.
Niambie kama nimekufananisha.
Kwenye uzi wa mbowe kuna mtu amesimama amevaa kapelo?🤣ndio mimi aise,
wewe ndie yule jamaa mwenye mapengo uliesimama pembeni yanguee ulikua na kapelo jeusi
sijakuelewa au nimekufananisha?Kwenye uzi wa mbowe kuna mtu amesimama amevaa kapelo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]INABIDI MATICHA WAKUOMBE SAMAHANI ..KWANI ?walikukosea nn hawa watu yaan kunguni ana life bora kukiko mwalim masawe alie nifundisha Geograph [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa walimu wa bongo naona kunguni ana maisha mazuri kuliko wao
Yaani umuombe msamaha mtu anayetamani kuwa mwanamke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]INABIDI MATICHA WAKUOMBE SAMAHANI ..KWANI ?walikukosea nn hawa watu yaan kunguni ana life bora kukiko mwalim masawe alie nifundisha Geograph [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa mbwa koko Hawana kitu mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]INABIDI MATICHA WAKUOMBE SAMAHANI ..KWANI ?walikukosea nn hawa watu yaan kunguni ana life bora kukiko mwalim masawe alie nifundisha Geograph [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaangalie salary scaleMwalimu yupi uyo chini ya local government analipwa hiyo pesa na mm nikutajie mpemba ambae hali samaki [emoji23]