Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mkuu toa ushuhuda ebu watu wajifunze, nini kilikukuta
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
 
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
Mmh utakua unafundisha primary
 
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
We si mwana CCM nimekuona kwenye ule uzi wa nyumba ya Mbowe ukishabikia ujinga.

Niambie kama nimekufananisha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]INABIDI MATICHA WAKUOMBE SAMAHANI ..KWANI ?walikukosea nn hawa watu yaan kunguni ana life bora kukiko mwalim masawe alie nifundisha Geograph [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa mbwa koko Hawana kitu mkuu
 
Back
Top Bottom