Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Daah walimu sio watu wabaya..ila hii kazi nilishaikataa kitambo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bora uwe na genge lako town unapata hata ten Kwa siku ila sio kuwa tichaDaah walimu sio watu wabaya..ila hii kazi nilishaikataa kitambo sana
Kazi ya ualimu hata ukinywa bia mbili tu umekwishaaa yani ww inabidi bajeti yako kila siku iwe ni ugali kabichi tena mshahara uwe clean hauna hata madeniKila mtu aishi kwa anachoweza kukizalisha. Usiwe na matumizi ya zaidi ya unachokipata.
Halafu mgonga meza Dodoma analipwa posho ya 300K sawa na mshahara wa mwezi wa mwalimuWalimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu
Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Mavi YaoWalimu gani hao unazungumzia? Zunguka jijini na mijini uone ndinga na majumba ya walimu. Usiishi kwa kukariri bi dada
Mwalimu gani anapewa laki Tatu yote hiyo Kwa mwezi namm niwe mwalimu Sasa hivi?? Labda asiwe na madeniHalafu mgonga meza Dodoma analipwa posho ya 300K sawa na mshahara wa mwezi wa mwalimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuuh huyu binti anajitaka kweli
Hawezi abadani Kwa fani aliyopo imejaa laanaSawa, ila akicheza na mikopo kwa kutumia busara "nidhamu ya pesa" mwalimu atatoboa.
Walimu wanatakwa sana mkuu. 😀😀😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuuh huyu binti anajitaka kweli
Naona na wewe una maisha magumu sana. Ndo maana hupatani na wenzio kabisa. Hii yako ya utoke vipi tumeichoka tafuta hoja nyingine. Nawaheshimu walimu bila wao leo nsingekuwa nakula maisha na perdiem za nje ya nchi daily. Acha stress dogo.Nipo apa na jamaa mmoja anatupa story yeye ni mwalimu anasema inafikaga wakati hali inakuwa ngumu hata Familia inalala njaa. Walimu wana mishahara midogo sana hawawez hata kujiamini popote pale walipo ndio mana wana hofu
Uoga wao ni kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo, serikali waoneeni huruma walimu jamani na hii January ili wapate nauli ya kurudi makazini lazima wakakope Bayport
Yani mtu masikini anafundisha watoto elimu ni ukombozi Kati yeye kapuku tu anakunya kwenye Choo cha kulengaNi matahila balaa. Watu kama hawa wanafundishaje watoto wetu!?
Unamuheshimu mtu aliyefeli form four /six akaona awe mwalimu tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona na wewe una maisha magumu sana. Ndo maana hupatani na wenzio kabisa. Hii yako ya utoke vipi tumeichoka tafuta hoja nyingine. Nawaheshimu walimu bila wao leo nsingekuwa nakula maisha na perdiem za nje ya nchi daily. Acha stress dogo.