Amefanya hivi ili kuwajulisha mashabiki wake ya kwamba ameshatoka kifungoni. Na sasa yupo uraiani, na hivyo anaendelea pale alipoishia.Post ya 2019 unaileta 2024 kweli? Kama wameshajengewa? Au umekurupuka mbio mbio kuleta uzi pasipo kusoma kwa kina hizo shots?
Hujakosea kaka,walimu ni wachawi
Kaza kijana usimsikilize huyu mwehu anaweza kutia stress ukajionavhufai hapa dunian na kutaka kujiua kikubwa pambana ili utoboe walim wengi tu wametoboaNilikua naambiwa but saiv nimejionea.. now nina hali ngumu ya maisha... nauchukia ualimu
Kwa zaidi ya 75% ulichokisema kina ukweli mtupu. Walimu wa Secondary kwa asilimia kubwa wanajitambua, lakini hawa wa Msingi, ni shida tupu. Ni waoga kwa kiwango cha lami ya Magufuli.Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?
Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona
Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho 😂😂😂
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.
View attachment 2951002
Kila weekend wafanye maombi maalum wote nchi nzima ndo watatoboaHawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?
Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona
Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndio kinawadharau hawa maticha.
View attachment 2951002
Weee chokoraa unajua nini? Mbona unapenda kutoa dharau kwa walimu, hoja yako ni walimu 6 kulala ofisi moja kwa kukosa makazi, hyo hoja ya mishahara midogo na ndiyo mzee inatoka wapi!!! Acha uzwazwa wewe upinde..Kaa kimya hujui kitu
hajawaona wafanya usafi uyu afu anasemaje boda boda wanamaisha mazuri kuliko walimu boda boda hawana ata assurance yoyote ya maisha mda wowote miguu inakata kamba ulinganishaje na walimuMbona maticha wana maisha mazur kushinda wengi tu mtaan wana miliki nyumba magari viwanja ndani ya mda mfupi tu kwa tz hii ukimiliki gari na nyumba si ushamaliza mana kuwaza kuwa na makampuni n wachche tu ss walim wengi wana maisha mazur tu acha zako na ww
Unatoa dog wewe.Walimu ni viumbe waliolaaniwa