Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Post ya 2019 unaileta 2024 kweli? Kama wameshajengewa? Au umekurupuka mbio mbio kuleta uzi pasipo kusoma kwa kina hizo shots?
Amefanya hivi ili kuwajulisha mashabiki wake ya kwamba ameshatoka kifungoni. Na sasa yupo uraiani, na hivyo anaendelea pale alipoishia.
 
Kwani hii inajumuisha hata walimu ya international schools kama IST, UWC n.k?
 
Nilikua naambiwa but saiv nimejionea.. now nina hali ngumu ya maisha... nauchukia ualimu
 
Kuna watu mapunguani kweli ukianza na mwanzilishi wa uzi, hao unaowatukana ndio wamekuwezesha hata kuandika hizi sentensi kwenye huu uzi na kukutoa ujinga kichwani kwako. Shida ni serikali imewatelekeza kuliko kada zingine na hawana wa kuwatetea chama chao ni ziro kabisa.
 
Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?

Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona

Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho 😂😂😂
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.

View attachment 2951002
Kwa zaidi ya 75% ulichokisema kina ukweli mtupu. Walimu wa Secondary kwa asilimia kubwa wanajitambua, lakini hawa wa Msingi, ni shida tupu. Ni waoga kwa kiwango cha lami ya Magufuli.
 
Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?

Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona

Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndio kinawadharau hawa maticha.

View attachment 2951002
Kila weekend wafanye maombi maalum wote nchi nzima ndo watatoboa
 
Mbona maticha wana maisha mazur kushinda wengi tu mtaan wana miliki nyumba magari viwanja ndani ya mda mfupi tu kwa tz hii ukimiliki gari na nyumba si ushamaliza mana kuwaza kuwa na makampuni n wachche tu ss walim wengi wana maisha mazur tu acha zako na ww
hajawaona wafanya usafi uyu afu anasemaje boda boda wanamaisha mazuri kuliko walimu boda boda hawana ata assurance yoyote ya maisha mda wowote miguu inakata kamba ulinganishaje na walimu
 
Mzee bado unapenda vifua vya mamen? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpaka anatunukiwa cheti Cha ualimu maana take ana vigezo na amefaulu,Sasa ilinumpe kazi unampa mtihani wa Nini tena,Ina maana huamini mtihani aliopewa na serikali na mazoezi aliyofanya block teaching practice?
 
Walimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.

Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.

Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.

Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau

Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni

IMG-20240709-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom