Ni tukio la kusikitisha sana, mungu atusamehe. Walimu akili zao zinakuwa ndogo mno
 
The return of the Superman

Aaahaaa
 
Mbali na Walimu, mimi watu wengine ninaowachukia na kuwaona ni wa hovyo ni Waafrika.

Ni wajinga sana yaani, akili ndogo kama punje ya haradali. Wanapenda kukopa sana kama Walimu, yaani unakuta hata Mpwayungu Village ana madeni mengi hapo alipo, ilhali rasilimali za kumfanya asiwe na madeni zipo.

Waafrika wanakuwaga washamba washamba tu kama Walimu. Sijui watabadilika lini tu hawa wapuuzi. Ndo maana mimi Lord Delamere in Kenya niliamua kuja kuwekeza Kenya labda Waafrika watajifunza kupitia maisha yangu but nothing kwakweli walichokifanya. Hovyo kabisa.

Just imagine eti mshahara wa mwaka mzima wa Lionel Messi ambao ni trilioni chache tu ni sawa na bajeti ya mwaka mzima ya Wizara tatu pale Tanzania. Sidhani kama Wananchi wa hiyo nchi (akiwamo mleta uzi) kama wana akili timamu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanadanga na kutuma picha chafu? Kina nani hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…