Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #1,001
Ni tukio la kusikitisha sana, mungu atusamehe. Walimu akili zao zinakuwa ndogo mnoKaribu Mpwayungu tulikumiss sana wape punch za kutosha walimu, siku hizi wamekuwa waharibifu wa wanafunzi.!!
Kuna mmoja jana kafikishwa mahakamani kwa kumlazimisha mwanafunzi amuingilie kinyume kinyume na wengine wanadanga na kutuma picha chafu..!!
Karibu kabali yao uwakande πΉ
The return of the SupermanWalimu walimu walimu!!! Walimu zipo Tatu.
Nawaomba sana tena sana mjitambue, nendeni na Dunia isiwaache nyuma simnaona mnavyokuwa na matukio ya Ajabu? Matukio yenu mitaan yote ya kufedhehesha. Unaingizwaje kunyuma kwa mfano?.
Huku Namtumbo Kuna teacher kapigwa ngumi na mwanafunz kisa hataki kulipa pesa aliyokopeshwa na mwanafunz wake.
Yaani umekosa kwa kukopa unaenda kukopa kwa mwanafunz unaemfundisha Kisha unatiwa mitama na mwanafunz wako hizi si dharau
Badiliken bhnaaaa naongea kistarabu tu ebu jitambueni
View attachment 3038701
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanadanga na kutuma picha chafu? Kina nani hao?Karibu Mpwayungu tulikumiss sana wape punch za kutosha walimu, siku hizi wamekuwa waharibifu wa wanafunzi.!!
Kuna mmoja jana kafikishwa mahakamani kwa kumlazimisha mwanafunzi amuingilie kinyume kinyume na wengine wanadanga na kutuma picha chafu..!!
Karibu kabali yao uwakande [emoji81]
πππππ Bibi la mtukula kwani hujasikia??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanadanga na kutuma picha chafu? Kina nani hao?
Ww kwann unamkopa mwanafunz wako pesa na hutaki kulipa? Lazima ubetuliweToka serikali ikateze stick mashuleni kizazi kimekua cha hovyo sana,hivi unampiga mwalimu wako unategemea usifunzwe na ulimwengu kweli
Thank you so much[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko ya tichaziii karibu tenaa jamviniii. Uwiiiiiih
πππwaalimu ccm polisi na askari wanyamapori hizi ni takataka jumuishi.