Kwanini kuna wanafunzi wanafika darasa la 7 hawajui soma na kuandika?Heshimuni walimu,asingekuwepo mwalimu usingejua kusoma na kuandika,bakizeni watoto wenu nyumbani muwafundishe,wewe ulijua kusoma na kuandika alikufundisha baba yako au mama yako?acheni dharau,mlisaidiwa hadi kufunga zipu,na kutengenezwa sketi zenu,na mafua hadi kifuani,angalia mfano wa mwanao tu hapo kwako anaendaje shule anapoanza madarasa ya awali
NyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooNilijifundisha mwenyewe
Sawa mwalimu ila kwanini wanafunzi wako wanafeli sana?Ifike mahali mjitambue, na mtambue, Mwalimu ni mtu muhimu sana katika maisha yako
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa mwalimu Tanzania ni changamoto sana.
SemaMpayungu
Dah aisee anawachukia waalimu sana ana hasira sana na huku nayeye ni mwalimu tena wakijijini anapokea laki kwa mweziHuyu alitumbuliwa ndio maana ana hasira sn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpwayungu Village swali mbona unawafuatilia waalimu sana Magufuli angekuwepo ungeshatiwa ndani walahi maana mkewe ni mwalimu , yeye alikuwa mwalimu shukuru huyu rasi hakuwaga mwalimu angekufunga
Kwani nimelaniwaAlafu wewe fala utakua mwalimu maana unawafuatilia sn
Sema sasa why unawachukia?? Mimi nawaoneaga huruma wanaume waalimu maisha yao ni tataa najua hivyoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wachawi sana hawa watu huwa wanarogana wao Kwa waoSema sasa why unawachukia ?? Mimi nawaoneaga huruma wanaume waalimu maisha yao ni tataa najua hivyoo
Yote haifai kudharauliwaMwalimu kazi yake si kulea bali kuelekeza
Sasa silaaana hiiWakati nipo advance kuna ticha mmoja alinisanua kuwa kuna mwalimu mwenzao anapokea 16,000/= kwa mwezi, yani ana makato ya kila aina kudadeki. Kila mwezi watu wanachukua chao yeye anabaki na hyo.
Kazi yeyote yenye watu wengi au zaidi ya mtu mmoja lazima uwepo ushirikinaNi wachawi sana hawa watu huwa wanarogana wao Kwa wao
Wapumzisheni Walimu wetu Jamani, eenhh?!!!.Muyangu kama una kiasi kidogo cha pesa ukitaka kusubiri kesho utatoa ATM please toa saizi tena shukuru Mungu nimekusanua uzuri Leo walimu wametoka kapa walikuwa wanaingia ATM kila mda kuuliza salio Bank inawaambia insufficient balance lakini bado jioni hii tena wanaingia kuuliza ATM inawaambia waache usumbufu sasa nenda saizi ukatoe pesa yako uepuke kesho foleni ya walimu ukienda kesho utajuta
Hawa watu hawatakagi kwenda Kwa NMB wakala Wala kutumia NMB mkononi wanakwepa makato ya buku tatu tu, saizi wanahaha wanapwipwitwa wanaona siku haisogei Jana na Leo ni ngumu kumeza wanaungulia maumivu ya Moto tumboni kimya kimya
Walimu tafuteni chanzo cha kipato mshahara huwa hautoshi maisha mliyonayo niyakimbuzi sana yaani
Huenda huna mtotoyote haifai kudharauliwa