Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Heshimuni walimu,asingekuwepo mwalimu usingejua kusoma na kuandika,bakizeni watoto wenu nyumbani muwafundishe,wewe ulijua kusoma na kuandika alikufundisha baba yako au mama yako?acheni dharau,mlisaidiwa hadi kufunga zipu,na kutengenezwa sketi zenu,na mafua hadi kifuani,angalia mfano wa mwanao tu hapo kwako anaendaje shule anapoanza madarasa ya awali
Kwanini kuna wanafunzi wanafika darasa la 7 hawajui soma na kuandika?
 
Wakati nipo advance kuna ticha mmoja alinisanua kuwa kuna mwalimu mwenzao anapokea 16,000/= kwa mwezi, yani ana makato ya kila aina kudadeki. Kila mwezi watu wanachukua chao yeye anabaki na hyo.
 
Muyangu kama una kiasi kidogo cha pesa ukitaka kusubiri kesho utatoa ATM please toa saizi tena shukuru Mungu nimekusanua uzuri Leo walimu wametoka kapa walikuwa wanaingia ATM kila mda kuuliza salio Bank inawaambia insufficient balance lakini bado jioni hii tena wanaingia kuuliza ATM inawaambia waache usumbufu sasa nenda saizi ukatoe pesa yako uepuke kesho foleni ya walimu ukienda kesho utajuta

Hawa watu hawatakagi kwenda Kwa NMB wakala Wala kutumia NMB mkononi wanakwepa makato ya buku tatu tu, saizi wanahaha wanapwipwitwa wanaona siku haisogei Jana na Leo ni ngumu kumeza wanaungulia maumivu ya Moto tumboni kimya kimya

Walimu tafuteni chanzo cha kipato mshahara huwa hautoshi maisha mliyonayo niyakimbuzi sana yaani
Wapumzisheni Walimu wetu Jamani, eenhh?!!!.
 
Usidanganye watu bhana, hakuna sekta ya government inayoruhusu mtu kupokea elfu 16000, mwajiri na utumishi anasaini asimia acha kuwadanganya watu, wewe si umeweka card yako nje?
 
Back
Top Bottom