Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Ualimu ni faraja watu wapita kwenda kuwa doctor ruban nk ukubwaa jalala mtupaji ajui shida aipatayo jalala kwa kumtupia takataka vinyesi nk aktukanae akuchagulii tusii uwezi kuvaa sitie kabla ya nepi Walimu heshima yenu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]sotee tumepita kwenye mikono yenuuu na malezi yenuuu sema heshima yenu imepoteaaa na walimuu wa kujitolea mane boa kwani mnaionyesha serikali jinzi gani mko wengi mpaka mnajitolea ndy maana mnazalaulika hamnaga misimamo kijana mtanashati kachomekea eti anajitolea kwa hamsini elfu walimu wenzio wakuchangiedd una akili kweli[emoji34][emoji35][emoji35][emoji34][emoji35] elimu imekukomboa au imekudidimizaaaa
 
Kapicha mkuu, kusindikiza ujumbe huu hahahaaa......
images (13) (14).jpeg
 
Ualimu ni faraja watu wapita kwenda kuwa doctor ruban nk ukubwaa jalala mtupaji ajui shida aipatayo jalala kwa kumtupia takataka vinyesi nk aktukanae akuchagulii tusii uwezi kuvaa sitie kabla ya nepi Walimu heshima yenu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]sotee tumepita kwenye mikono yenuuu na malezi yenuuu sema heshima yenu imepoteaaa na walimuu wa kujitolea mane boa kwani mnaionyesha serikali jinzi gani mko wengi mpaka mnajitolea ndy maana mnazalaulika hamnaga misimamo kijana mtanashati kachomekea eti anajitolea kwa hamsini elfu walimu wenzio wakuchangiedd una akili kweli[emoji34][emoji35][emoji35][emoji34][emoji35] elimu imekukomboa au imekudidimizaaaa
Ualimu ni laanaa
 
Muyangu kama una kiasi kidogo cha pesa ukitaka kusubiri kesho utatoa ATM please toa saizi tena shukuru Mungu nimekusanua uzuri Leo walimu wametoka kapa walikuwa wanaingia ATM kila mda kuuliza salio Bank inawaambia insufficient balance lakini bado jioni hii tena wanaingia kuuliza ATM inawaambia waache usumbufu sasa nenda saizi ukatoe pesa yako uepuke kesho foleni ya walimu ukienda kesho utajuta

Hawa watu hawatakagi kwenda Kwa NMB wakala Wala kutumia NMB mkononi wanakwepa makato ya buku tatu tu, saizi wanahaha wanapwipwitwa wanaona siku haisogei Jana na Leo ni ngumu kumeza wanaungulia maumivu ya Moto tumboni kimya kimya

Walimu tafuteni chanzo cha kipato mshahara huwa hautoshi maisha mliyonayo niyakimbuzi sana yaani
Aya jomba karudi Tena, walimu mjipange
 
Muyangu kama una kiasi kidogo cha pesa ukitaka kusubiri kesho utatoa ATM please toa saizi tena shukuru Mungu nimekusanua uzuri Leo walimu wametoka kapa walikuwa wanaingia ATM kila mda kuuliza salio Bank inawaambia insufficient balance lakini bado jioni hii tena wanaingia kuuliza ATM inawaambia waache usumbufu sasa nenda saizi ukatoe pesa yako uepuke kesho foleni ya walimu ukienda kesho utajuta

Hawa watu hawatakagi kwenda Kwa NMB wakala Wala kutumia NMB mkononi wanakwepa makato ya buku tatu tu, saizi wanahaha wanapwipwitwa wanaona siku haisogei Jana na Leo ni ngumu kumeza wanaungulia maumivu ya Moto tumboni kimya kimya

Walimu tafuteni chanzo cha kipato mshahara huwa hautoshi maisha mliyonayo niyakimbuzi sana yaani
Alafu wewe fala utakua mwalimu maana unawafuatilia sn
 
Back
Top Bottom