Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Natumaini wote wazima humu,japo changamoto zipo ila tunatakiwa tukomaye nazo maana haina jinsi:

Hizo changamoto tumeumbiwa sisi binadamu,hata uende wapi zipo pale zinakusubiri.

Nimependezewa niwaletee niliyoyapitia katika ukuaji wangu mpaka nilipofikisha 20s,najua utajifunza moja au lingine.

Mangi shangali..
ARUSHA,TANZANIA.

YAFUATAYO YANAFURAHISHA..

UTANGULIZI:-
NIlizaliwa miaka ile ya 90s katika hospital ya mount meru iliyopo katika jiji la arusha.kipindi hicho baba alikuwa anafanya kazi katika benki ya nbc,mama alikuwa mfanya biashara soko kuu arusha kipindi hicho soko lilikuwa linaitwa soko la bondeni kitambo hicho..

Katika ukuaji wangu na story nilizopewa na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu waliokuwa nami nilipokuwa mtoto.

Mama anasema nilikuwa mtundu sana tena ujeuri,nilipokuwa na miaka 4 nilikuwa najifungia kwenye friji,kwa watu wanajua yale mafriji ya zamani yalikuwa makubwa sana sasa nilikuwa naingia ndani,nakujifungia humo mama ananitafuta kumbe nipo ndani ilikuwa tafurani sana.

Mama anasema nilikuwa nashika kiwembe najikata mwenyewe mkononi na hata sitoi chozi,nilikuwa na matukio ya hatari kuna siku nilichomeka pasi mkutani nikipigwa na shoti nikazimia kwa masaa 6 watu walijua nimekufa.

Tulikuwa na mtindo wa kudandia gari kwa nyuma, lilechuma lakupanda lilikuwa limeoza kuwa kutu silikakatika bana niliburuzwa mpaka ngozi kwenye tumbo zikatoka.

Aisee ngoja nifupishe maana nilikuwa na matukio ya hatari sana ambayo kama sio kudra za mwenyenzi MUNGU nisingekuwa hai leo hii..

Nilipofikisha umri wa kwenda darasa la kwanza nilijiunga katika shule ya sanawary iliyepo arusha,nilisoma vinzuri mpaka kufika darasa la 4 ndio tatizo lilianza maana nilikuwa ujeuri shuleni na mkorofi,wanafunzi niliyesoma nao kipindi hicho walipata joto ya jiwe maana nilikuwa sionewi ovyo,nilikuwa napigana na walionizidi darasa tena la saba.

Shule tulikuwa na tabia ya kupigana
Tunaenda mtoni huko hakuna watu,natafutiwa mbabe wanaomuona ubabe wao natembeza kichapo heavy nikawa naogopeka shule nzima mpaka vijana wa darasa la Saba waliniwazia maana nishawatandika wababe wao .walimu walipata tabu nilipogoma kusoma hakuna mwalimu alithubutu kunichapa nilipochelewa namba na usafi sikupe ratiba yeyote ya usafi darasani.

Niliingia shule mda walimu wanaingia tena mikono mfukoni,nilikuwa mkorofi ila darasani sikuwahi kushuka chini ya mtu wa 5,matokeo ya mitihani nilifanya vyema.

Itaendeleea...
 
Natumaini wote wazima humu,japo changamoto zipo ila tunatakiwa tukomaye nazo maana haina jinsi:

Hizo changamoto tumeumbiwa sisi binadamu,hata uende wapi zipo pale zinakusubiri.

Nimependezewa niwaletee niliyoyapitia katika ukuaji wangu mpaka nilipofikisha 20s,najua utajifunza moja au lingine.

Mangi shangali..
ARUSHA,TANZANIA.

YAFUATAYO YANAFURAHISHA..

UTANGULIZI:-
NIlizaliwa miaka ile ya 90s katika hospital ya mount meru iliyopo katika jiji la arusha.kipindi hicho baba alikuwa anafanya kazi katika benki ya nbc,mama alikuwa mfanya biashara soko kuu arusha kipindi hicho soko lilikuwa linaitwa soko la bondeni kitambo hicho..

Katika ukuaji wangu na story nilizopewa na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu waliokuwa nami nilipokuwa mtoto.

Mama anasema nilikuwa mtundu sana tena ujeuri,nilipokuwa na miaka 4 nilikuwa najifungia kwenye friji,kwa watu wanajua yale mafriji ya zamani yalikuwa makubwa sana sasa nilikuwa naingia ndani,nakujifungia humo mam
 
Hili la walimu kufanya mtihani ndowapewe ajira naunga Kwa mikono miwili, niliwahi kupendekeza hili kwamba kwanini walimu hawafanyiwi written interview ambayo kimsingi ndomtihani wenyewe

Ukienda shule za private ambazo ni vinala wa kuongoza mitihani ya taifa, walimu wao wanapewa mitihani kabla ya kuajiriwa, tena bila marks ya 85 % to above hupati chance ya kuwa ticha fatilia.

Sasa iweje walimu wa serikali tuwe tunazowa tu wengine nimafailure wa secondari ukimpa log iliyoshiba anakwambia nendeni mkadiscuss kumbe kashindwa

Shida ni kwamba serikali ilikosea tangu uhuru kuruhusu aliyefeli ndoafundishe wanafunzi, aliyefeli kafeli tuu ndio maana hata kwenye maisha walimu wote ni makapuku tu

Thread 'Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?' Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

View attachment 2664285
Zuzu karudi tena, kazi wanayo.
 
Je Kuna mwenye division one ya point tatu au nne advance akaomba ualimu chuo kikuu? Je Kuna yoyote alipata division one ya point saba o level ikabidi aende chuo cha ualimu wa shule ya Msingi kupata certificate?

Sasa ni kwanini wanaenda kusoma udaktari, sheria na engineering ila ualimu hawataki nanyie mnasema mishahara all most inafanana. Why ualimu imekuwa kimbilio na chugoa la mwisho kabisa baada ya kufeli

Ualimu naulinganisha na wadada waliokongoroka mwisho anataka kuolewa na mwanaume yoyote yule awe tu anapumua.
 
Je Kuna mwenye division one ya point tatu au nne advance akaomba ualimu chuo kikuu? Je Kuna yoyote alipata division one ya point saba o level ikabidi aende chuo cha ualimu wa shule ya Msingi kupata certificate?

Sasa ni kwanini wanaenda kusoma udaktari, sheria na engineering ila ualimu hawataki nanyie mnasema mishahara all most inafanana. Why ualimu imekuwa kimbilio na chugoa la mwisho kabisa baada ya kufeli

Ualimu naulinganisha na wadada waliokongoroka wamepapuchiwa mwisho anataka kuolewa na mwanaume yoyote yule awe tu anapumua
Wewe ulisha wahi kuona mtoto wa kiongozi wa juu anasomea ualimu? Hiyo ni kozi ya makabwera tu.
 
Back
Top Bottom