Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Dunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, Jumatatu mpaka Jumatatu ukitoka kitambaa Cheupe Jumanne tunaenda Small Planet, Jumatano Wavuvi camp, Alhamis Liquid bar, Ijumaa tunaruka Maasai, Jumamosi tunarudi Kisuma afu Jumapili tunapaa Beach Kidimbwi kutumia pesa

Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepauka shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi. Utakuta wamevaa viatu vya four angle vya buku tatu tatu. Hawana jipya hawa sijui wana faida gani
Wasamehe mkuu haya maisha tu, bora hao walimu kuliko sisi tusioijua kesho yetu.
 
Dunia ya sasa tofauti na zamani wenye pesa kama sisi ni kubadilisha location tu, Jumatatu mpaka Jumatatu ukitoka kitambaa Cheupe Jumanne tunaenda Small Planet, Jumatano Wavuvi camp, Alhamis Liquid bar, Ijumaa tunaruka Maasai, Jumamosi tunarudi Kisuma afu Jumapili tunapaa Beach Kidimbwi kutumia pesa

Lakin walimu wanabaki kunywa balimi na double Kiki tu, ananuka vumbi la chaki suruali imepauka shati halijulikani ni jekundu au lapink. Wapo wapo tu kazi yao kukopa sukari na dagaa kwenye viduka vya mangi. Utakuta wamevaa viatu vya four angle vya buku tatu tatu. Hawana jipya hawa sijui wana faida gani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣waacheni walimu ni watu muhimu sana hapa nchini.
 
Mimi ni mwalimu nakiri kuna muda Mpwayungu Village ana uwasilishaji mbaya wa kuwakera watu


Ila twende mbele turudi nyuma UALIMU sio kazi, tunafanya kwa ajili ya dhiki tu

Anachosema ni ukweli kabisa, tujitafute ualimu sio kazi


Yaani mtu usome hadi degree halafu unakutana na gross salary ya 700,000 ukikatwa makato yote unapata 450,000

H
Wewe sio Mwalimu, walimu wenye degree wanaanza na 822,000k
 
Kweli kiongozi, lakini kumbuka walimu 95% wapo kwenye comfort zone, yaani kazi yenyewe inakufanya uwe katika mazingira ya kukufanya ushindwe kufikiria na kufanya mambo makubwa /mabadiliko

Yaani ukiwa katika mazingira ya ualimu/shule hata ufikikiriaji kuhusu maisha yako/hatma au future yako inakuwa limited (job induced comfort zone) kitu ambacho ni ngumu kutoboa


Yaani watu wanaokuzunguka wanaimpact kubwa katika mabadiliko yako

Mtu akiwa mfanya usafi wa benki akawa analipwa 500k ana uwezo wa kumuacha mbali mwalimu kimaendeleo sababu watu anaofanya nao kazi ni somo tosha katika maisha yake (mabadiliko)

Watu na mazingira unayofanywa kazi ni stimulants katika kukufanya udumae au ukue kifikra na maendeleo kwa ujumla


Hasa ukizingatia walimu 98% wametoka katika familia ambazo ni za kimaskini (family induced comfort zone)

NB: Kuna wachache wanatoka katika comfort zone japo ni walimu
Hoja yako ni dhaifu, ungesema mfanya usafi wa BOT, NSSF ningekuelewa wafanyakazi wa bank wana hela gani? Wale ni wahesabu Hela maisha Yao ni ya kawaida tu, advantage Yao nasikia mikopo Yao Haina riba
 
Miongoni mwa jambo linaloonesha walimu hawaupendi ualimu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la walimu kuukimbia ualimu na kwenda kusomea kazi nyingine kama sekta ya afya, uchumi, kilimo nk

Lakini huwezi kukuta mtu atoke sekta ya afya, kilimo nk kisa akasomee ualimu

Nioneshe mtu aliyehama kazi sekta nyingine kisha akahamia sekta ya elimu halafu nitakuonesha mwalimu wa serikali anayelipwa milioni 10[emoji23][emoji23]
Na kuna watu wa kozi zingine wanakimbilia kusomea Ualimu
 
Serikali waoneeni huruma walimu wanaishi kwa mateso sana, na hizi mvua nyumba zao zinajaa Maji maana zishachoka zinavuja tu, nyumba mbovu kama mabanda ya nguruwe.

Kuna mwalimu nimempa hifadhi kwangu akae Kwa mda maana nyumba zao zinavuja sana, naongea nyumba za serikali ambazo walimu wanakaa. Walimu kwenye hii nchi ni jehanamu tosha.
 
Back
Top Bottom