Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Huu ujinga niliukataa kuvujiwa na gofu la kale lilijengwa kabla zijazaliwa. Kwa hasira hilo gofu nikaliandika kandahar yaliyokuwa maficho ya gaidi namba moja duniani. Mabosi wakaja kusoma wakaishia kucheka. Baadae nikalibadili jina na kuwa house of hope waliporudi wakashikwa na huruma ikabidi wakatenge hela za kujenga nyumba mpya mbili za kisasa nathani hizo nyumba Tanzania nzima hakuna nyumba kama hizo kwa shule za vijijini. Nyumba zina maji ndani kwa ndani, jiko, choo, stoo, sitting room, bed rooms amazing. Sipendi kufanya kazi ya ualimu kinyonge nyonge kama akili ninazo, kama siasa naijua, kama dini ipo, nimekamilika idara zote. Sina mpango wa kwenda kupanga nyumba nzuri mtaani endapo nitapangiwa shule yenye gofu la kukaa mwalimu ni aibu. Nitawa criticize mabosi wajenge nyumba bora watake wasitake watajua wapi pa kupata fungu la kujenga nyumba za shule kwa ajili ya walimu. Haiwezekani wajenge madarasa tu halafu walimu wakalale mitini
 
Huu ujinga niliukataa kuvujiwa na gofu la kale lilijengwa kabla zijazaliwa. Kwa hasira hilo gofu nikaliandika kandahar yaliyokuwa maficho ya gaidi namba moja duniani. Mabosi wakaja kusoma wakaishia kucheka. Baadae nikalibadili jina na kuwa house of hope waliporudi wakashikwa na huruma ikabidi wakatenge hela za kujenga nyumba mpya mbili za kisasa nathani hizo nyumba Tanzania nzima hakuna nyumba kama hizo kwa shule za vijijini. Nyumba zina maji ndani kwa ndani, jiko, choo, stoo, sitting room, bed rooms amazing. Sipendi kufanya kazi ya ualimu kinyonge nyonge kama akili ninazo, kama siasa naijua, kama dini ipo, nimekamilika idara zote. Sina mpango wa kwenda kupanga nyumba nzuri mtaani endapo nitapangiwa shule yenye gofu la kukaa mwalimu ni aibu. Nitawa criticize mabosi wajenge nyumba bora watake wasitake watajua wapi pa kupata fungu la kujenga nyumba za shule kwa ajili ya walimu. Haiwezekani wajenge madarasa tu halafu walimu wakalale mitini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali waoneeni huruma walimu wanaishi kwa mateso sana, na hizi mvua nyumba zao zinajaa Maji maana zishachoka zinavuja tu, nyumba mbovu kama mabanda ya nguruwe.

Kuna mwalimu nimempa hifadhi kwangu akae Kwa mda maana nyumba zao zinavuja sana, naongea nyumba za serikali ambazo walimu wanakaa. Walimu kwenye hii nchi ni jehanamu tosha.
Unazijua kota za mapoti pale Mwanza
 
Serikali waoneeni huruma walimu wanaishi kwa mateso sana, na hizi mvua nyumba zao zinajaa Maji maana zishachoka zinavuja tu, nyumba mbovu kama mabanda ya nguruwe.

Kuna mwalimu nimempa hifadhi kwangu akae Kwa mda maana nyumba zao zinavuja sana, naongea nyumba za serikali ambazo walimu wanakaa. Walimu kwenye hii nchi ni jehanamu tosha.
Ifike muda wajipende na kujithamini usisubiri mtu akutengeneze mazingira ya unapoweka mbavu, nikweli maisha magumu lakini bora udundulize uzibe panapovuja kwa gharama zako ubaki unadai walipe wasikulipe basi cha muhimu ukae mazingira mazuri.
 
Back
Top Bottom