Maoni;ni vitu gani vilikupa wakati mgumu wakati unaingia ndani ya JF kwa Mara ya kwanza?

Kuna jukwaa hua nalitafuta mpaka sasa sijawahi kuliona linaitwa jukwaa la wakubwa nalisikia tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Siku nilipokoment nikaambiwa na mwanajamiiforum mmojaa MIND SET daaah nilimaind vibayaaaaa baadayee nikaja gunduaa hata POYOYOO akijua tu kainglish ni shiiida.
 
Siku nilipokoment nikaambiwa na mwanajamiiforum mmojaa MIND SET daaah nilimaind vibayaaaaa baadayee nikaja gunduaa hata POYOYOO akijua tu kainglish ni shiiida.
Kazi na dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…