Te Lavista
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,626
- 2,846
Sasa hii itakua kwa mara ya kwanza bibi miss blossom na bwana Nokia83
Njoo pm nkuombe kitu
JLW hawakai bibi na bwana kama kwny nembo ya taifa
Nyie Jf hawaruhusu mapenzi.Ehee Babe hunitaki huko jamn
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jukwaa hua nalitafuta mpaka sasa sijawahi kuliona linaitwa jukwaa la wakubwa nalisikia tu
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hilo jukwaa LA Mambo ya wakubwa unaunganishwaje [emoji12]
Hatari sana ........[emoji13] [emoji13]Hilo la mambo ya wakubwa mm mwenyewe bado, kma waweza niunganishe
[emoji16] [emoji16] [emoji16] me mwenyewe Siemens Kwahyo tunaendanaNyie Jf hawaruhusu mapenzi.
Halafu ww miss unafuata nini kwa Nokia huyo kashapitwa na wakati. Njoo kwangu mimi Iphone
Siku nilipokoment nikaambiwa na mwanajamiiforum mmojaa MIND SET daaah nilimaind vibayaaaaa baadayee nikaja gunduaa hata POYOYOO akijua tu kainglish ni shiiida.Habari zenu, kama title inavyojieleza, pindi unajiunga na JamiiForums kwa mara ya kwanza nadhani kila mtu kuna vitu/ maneno yalimpa wakati mgumu sana. Hakika mimi mwenyewe kuna mambo/ maneno yalinipa shida Sana ndio nikaja kuyaelewa maana yake.
Mfano wa maneno hayo ni kama,
1. Msambwanda
2. Papuchi
3. Avatar
Wewe je?, ongezea tupanuane bongo.
Ohoooooo.........[emoji23] [emoji23] [emoji23]Me hata sijakuelewa kabisa nawapataje sasa hao watu??maana sioni sehem ya kusearch jina la mtu ili ni mtext
Mpotezee njoo kwa papaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] me mwenyewe Siemens Kwahyo tunaendana
Mi hilo jukwaa nalisikia leo.nitofauti na lile MMUUnawaambia mods tu wanakuunganisha, Ongea na Maxence Melo au JamiiForums
Unawaambia mods tu wanakuunganisha, Ongea na Maxence Melo au JamiiForums
Mkuu unawezaje kuwa senior member , jf expert sifa zao ni zipi?senior member...Jf expert member...gold member..verified user...n.k vilinipa tabu kuvijua mwanzoni
Nafurahia rubudani hapa jamvini...[emoji13] [emoji13]Vp tena?
Ohoooooo.......Miss bloom anakusubiria ikulu
Hah hah hah kweli mkuuKazi na dawa
Nipo jf tangu 2014 lakini mpaka Leo sijajua kuandika kwa rangi wala kuboldKuandika kwa rangi, ku-PM, ku- bold, kuzoea lugha za .com
We Bado kijana kua kwanzaMpotezee njoo kwa papaa