Maoni;ni vitu gani vilikupa wakati mgumu wakati unaingia ndani ya JF kwa Mara ya kwanza?

Maoni;ni vitu gani vilikupa wakati mgumu wakati unaingia ndani ya JF kwa Mara ya kwanza?

Nilikuta hakuna thinkers ambao ni great wala less ikabidi nichangie tu upupu ili tufanane.
 
Binafsi sikuwa mfuatiliaji sana wa siasa

Sasa maneno kama Lumumba na Ufipa nilikua sielewi kabisa kwanini baadhi ya members wanaitwa wana ufipa wengine wana lumumba
 
Emoj,kuweka picha vilinipa wakati mgumu.

Siku nilipojua kuweka picha humu ikawa kosa kila kona natamani kutupia picha tuu bila sababu za msingi.
[emoji3] hakuna sababu isiyokosa Msingi lakini
 
Habari zenu, kama title inavyojieleza, pindi unajiunga na JamiiForums kwa mara ya kwanza nadhani kila mtu kuna vitu/ maneno yalimpa wakati mgumu sana. Hakika mimi mwenyewe kuna mambo/ maneno yalinipa shida Sana ndio nikaja kuyaelewa maana yake.

Mfano wa maneno hayo ni kama,
1. Msambwanda
2. Papuchi
3. Avatar
Wewe je?, ongezea tupanuane bongo.
Hata papuchi? [emoji23] [emoji31] [emoji144]
 
Kuna jukwaa hua nalitafuta mpaka sasa sijawahi kuliona linaitwa jukwaa la wakubwa nalisikia tu
 
Kuna jukwaa hua nalitafuta mpaka sasa sijawahi kuliona linaitwa jukwaa la wakubwa nalisikia tu
Jukwaa zito sana hilo, JLW. Huwezi kuwa na access nalo kirahisi. Wewe endelea kukua kwanza, kisha utaingizwa ukishakomaa haswa.
 
Jukwaa zito sana hilo, JLW. Huwezi kuwa na access nalo kirahisi. Wewe endelea kukua kwanza, kisha utaingizwa ukishakomaa haswa.
Sijakuelewa unamaanisha umri au niwe mkongwe Jf
 
Hahahah!... Simaanishi vyote kati ya Viwili ulivyovitaja... Namaanisha uwezo wa kupata nafasi ya kuungwa kwenye hilo jukwaa.

Ila anyway, mtafute JamiiForums pm, kisha muelezee nia yako
Hua naziona baadhi ya post zake hua zipo hot sana mkuu kama ukisoma haya maelezo unaeunganisha member naomba uniunganishe
 
Back
Top Bottom