Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajafanya la maana kivipi au ulitaka aubebe mpira kwapani akimbie nao hadi kwenye nyavu? inaonekana hujui vizuri kazi ya second striker ndomana unalaumu
Mi mwenye digrii 4 nmeona Sub ya Kimenya ndo imetughalimu.Samata kacheza vzr kuliko mechi iliyopita
Hebu kuweni kama wanaume kidogo basi mnataka afunge kila siku si atakuwa Ronaldo? mtu kila anakoenda analindwa na watu watatu au wawili lakini bado anaonyesha uwezo halafu anakuja mtu hapa anasema Samatta hatufai timu ya taifa unataka umpange nani badala yakeKwani timu ilipocheza na E.Guinea na kushinda hukuona threads za lawama kwamba hachezi kwa kiwango anachochenza nje?
Hebu kuweni kama wanaume kidogo basi mnataka afunge kila siku si atakuwa Ronaldo? mtu kila anakoenda analindwa na watu watatu au wawili lakini bado anaonyesha uwezo halafu anakuja mtu hapa anasema Samatta hatufai timu ya taifa unataka umpange nani badala yake
Sasa we unafananisha viungo wa Genk na Tanzania? ndugu mpira unaangalia au unasimuliwa? Tanzania Samatta mwenyewe inabidi aongezeke kama kiungo pale katikati genk kule anasubiri kutengenezewa tu muda wote na pasianazipata sasa wewe unataka kufananisha mpira wa Ulaya na Afrika? mpira wa ulaya akili nyingi Africa tunakamiana mtu hadi uivuke safu ya ulinzi umefanya kazi... Mi nashangaa Egypt hawamlaumu sallah wakati kiwango anachocheza sallah egypt si kama kile cha liverpool lakini wanaelewa ila huku mbongo mmoja asiye na simile anamwaga tu maneno ya hovyo kama anatoa posho taifa stars kumbe hamna kituGenk anapocheza hamna walinzi,uefa kwa liverpool alifunga mbele ya mabeki gani wa liverpool,samata hana lolote timu ya taifa ni kama anakuja kufanya zoezi tu hajitumi
Acha kukariri mzee unaangalia mpira live score halafu unakuja kuleta stori za Genk hapa... ungelia na refa au Kessy ningekuelewa ila hapo ulipogusa le umebugi kabisa otherwise una vinyongo vyako tuGenk anapocheza hamna walinzi,uefa kwa liverpool alifunga mbele ya mabeki gani wa liverpool,samata hana lolote timu ya taifa ni kama anakuja kufanya zoezi tu hajitumi
Sasa we unafananisha viungo wa Genk na Tanzania? ndugu mpira unaangalia au unasimuliwa? Tanzania Samatta mwenyewe inabidi aongezeke kama kiungo pale katikati genk kule anasubiri kutengenezewa tu muda wote na pasianazipata sasa wewe unataka kufananisha mpira wa Ulaya na Afrika? mpira wa ulaya akili nyingi Africa tunakamiana mtu hadi uivuke safu ya ulinzi umefanya kazi... Mi nashangaa Egypt hawamlaumu sallah wakati kiwango anachocheza sallah egypt si kama kile cha liverpool lakini wanaelewa ila huku mbongo mmoja asiye na simile anamwaga tu maneno ya hovyo kama anatoa posho taifa stars kumbe hamna kitu
Mbwana uwa anakabwa sana kwa kuwa ana jina kubwa
Mkuu umeifurahisha sana mtu kufunga na goli bado wanampa lawama wajue kuna siku Njema na mbaya ofsiniHajafanya la maana kivipi au ulitaka aubebe mpira kwapani akimbie nao hadi kwenye nyavu? inaonekana hujui vizuri kazi ya second striker ndomana unalaumu
Staili zao za uchezaji ni tofauti ila kila mtu ana mtazamo wake kama na mimi nilivyo na mtazamo wanguNaangalia mpira vizuri mbona Msuva hachuji kujituma kwanini huyo boya
Aisee wabongo ni pasua vichwa hasa mashabiki wa mpira mtu anataka ucheze kama playstationMKUU Mkuu umeifurahisha sana mtu kufunga na goli bado wanampa lawama wajue kuna siku Njema na mbaya ofsini
Na ile penati ya wazi mechi ya guine iliyokataliwa na refa nani alisababisha? kama ingekuwa watu kama wewe wanasikilizwa basi firmino angesugua sana benchi pale andield maana wenzake sallah na mane wanatupia kila siku nayeye ndo main striker lakini hakuna anayelalamika kwa sababu mchango wake unaonekana hata asipofungaGoli la penati na kasababisha mwingine,Samata anatembelea nyota ya msuva na wengine hapo taifa stars
Anakuja kuongeza caps za kuupdate CV yake tu,hana msaadaSamata hana la kupoteza ndo maana akija timu ya taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.
Kuna mechi taifa stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake,mtu ligi kubwa anafunga magoli ,UEFA hadi liverpool anafunga ila mechi ya timu ya taifa anafunga penati tu,hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata ajibu.
Acha kufananisha mbingu na ardhi,role ya Firmino leo kaifanya inchimbi,Sammata nafanya nini? Zaidi ya hilo tuta alilonyimwa alisaidia nini tena? Kama wewe Shafii dauda basi samahaniNa ile penati ya wazi mechi ya guine iliyokataliwa na refa nani alisababisha? kama ingekuwa watu kama wewe wanasikilizwa basi firmino angesugua sana benchi pale andield maana wenzake sallah na mane wanatupia kila siku nayeye ndo main striker lakini hakuna anayelalamika kwa sababu mchango wake unaonekana hata asipofunga