Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ndio nimekuuliza ni kipi kinachokufanya ufikiri kuwa kulikuwa na watu wengi waliyofurahia kifo cha Jiwe sawa na wale tuliyowaona wakimuaga Jiwe au zaidi ya wale? usikimbilie kwenye kificho cha kudai et walikatazwa kana kwamba unajua kwamba hao walikuwepo kweli kwa kiwango sawa na kile ila tatizo ni kukatazwa. Ndio maana nikatoa mfano wa maandamano ya Lissu ambayo kwa kutizama mitandaoni mlikuwa mnaonesha kabisa mpo teyari kwa lolote hamuogopi kitu wengine tukawa tunasubiri tuone hizo fujo zitakuaje kati yenu na jeshi la polisi ila kumbe mtaani hali iko tofauti kabisa na mitandaoni na ndio kile kilichotokea siku ya tukio mtaani watu wako bize na shughuli zao hawakuwa na mawazo ya kufanya maandamano hakukuwa kabisa na dalili za kwamba hawa watu walikuwa wamepanga kufanya maandamano.

Sasa naona unaleta story hizo hizo za et walizuiliwa na ndio ishakuwa sababu ya kujifichia.
Narudia tena huenda unabeba maneno yanakuwezesha kujengea utetezi wako tu. Si kawaida kwa binadamu kuonyesha hadharani kufurahia kifo cha mtu. Hivyo usitarajie audience sawa kama ya waliojitokeza kuaga. Hao walioenda kumuaga hawakuwa watanzania wote, sasa sijui unatoa wapi uhalali kuwa watu wote/wengi walihuzunika kutokana na umati uliojitokeza. Na kama hawa ambao waliojitokeza kuonyesha furaha walizuiwa, unawezaje kujua walikuwa wachache?

Hao waliokuwa wanataka kuandamana usalama wao ilikuwa ni kutojionyesha, huku Kila mmoja akisubiri kuona watu wengi kisha ndio ajitokeze. Kumbuka hata viongozi wa hayo maandamano walikamatwa ili kuzidisha hofu kwa waandamanaji. Ingekuwa hakukuwepo na vitisho vya vyombo vya dola kisha watu wasiandamane, hapo ungekuwa na cha kujivunia. Hayo maandamano yatakuwepo tu kama hali ya kidhalimu itajirudia. Hata hao waliotawaliwa miaka zaidi ya 20 kidictator mafanikio Zimbabwe, Egypt, Sudan nk ilisemekana hawawezi kuandamana, lakini siku ilifika na uliona kilichotokea.
 
Narudia tena huenda unabeba maneno yanakuwezesha kujengea utetezi wako tu. Si kawaida kwa binadamu kuonyesha hadharani kufurahia kifo cha mtu. Hivyo usitarajie audience sawa kama ya waliojitokeza kuaga. Hao walioenda kumuaga hawakuwa watanzania wote, sasa sijui unatoa wapi uhalali kuwa watu wote/wengi walihuzunika kutokana na umati uliojitokeza. Na kama hawa ambao waliojitokeza kuonyesha furaha walizuiwa, unawezaje kujua walikuwa wachache?

Hao waliokuwa wanataka kuandamana usalama wao ilikuwa ni kutojionyesha, huku Kila mmoja akisubiri kuona watu wengi kisha ndio ajitokeze. Kumbuka hata viongozi wa hayo maandamano walikamatwa ili kuzidisha hofu kwa waandamanaji. Ingekuwa hakukuwepo na vitisho vya vyombo vya dola kisha watu wasiandamane, hapo ungekuwa na cha kujivunia. Hayo maandamano yatakuwepo tu kama hali ya kidhalimu itajirudia. Hata hao waliotawaliwa miaka zaidi ya 20 kidictator mafanikio Zimbabwe, Egypt, Sudan nk ilisemekana hawawezi kuandamana, lakini siku ilifika na uliona kilichotokea.
Mimi sijasema hao waliyofurahia kifo cha Jiwe wapo kiwango gani ila wewe ndio unasema kuwa wako wengi ila tatizo ni kuzuiliwa tu na ndio nikakuuliza kipi kinakufanya useme wapo wengi?

Halafu nakwambia tena kuwa mitandaoni mlionesha kuwa mmeshachoka lazima tu mtafanya maandamano sasa hayo ya kutishwa mmekuja kuyaongea baada zoezi kushindikana na ni tofauti na ilivyokuwa mitandaoni.
 
HAKI....HAKI...HAKI..HAKI...HAKI...!!

Kupitia Jaji Mkuu, Rais Samia ataka Vyombo vya kutoa "HAKI" vijielekeze au zielekeze "Nafsi zao zaidi katika kutenda na kuhukumu yaliyo ya HAKI kwa WANANCHI.

TUNAKOELEKEA BINAFSI NAONA NI PAZURI....Mungu aendelee kumpa Roho ya Hofu Rais Wetu ili Siku moja tushuhudie Tanzania Mpya.

FB_IMG_16192666493413235.jpg
 
Wasiotenda haki - polisi na NEC wanajificha huku wakijiuliza itakuwaje ndani ya miaka hii minne?
 
Nimeona ukikosea sana kwenye hotuba zako, kwakusema kuwa, waliokuwa wanajiuliza nani atakuwa Rais, aliyemama hapa ndiye Rais.
Au uliposema kuwa watu wanasema mwanake ataweza kuwa Rias, Mimi ndiye Rais.

Maneno hayo yakisemwa na baba kwa watoto wake kuwa ivi hamjui kuwa Mimi ni baba yetu mnayepaswa kumuheshimu?

Ujue Kuna tatizo la kitojiamini kwa baba huyo. Watoto wakiwa makini wanaweza tumia Hali hiyo kufanya wanavyotaka.

Mama umeipokea nchi ikiwa na hali mbaya kiumoja, nchi haipo pamoja. Wapo wanaokubeza ambao ni kundi la uliyempokea kijiti.
Wapo wanaokuunga mkono, yapo maamuzi yako mwenyewe,hiyo yote ni miluzi usipokuwa makini utafeli kuliko Marais wote waliokutangulia

Kosa lingine kuacha kuvunja Baraza la mawaziri na kuunda jipya,hili kosa litakugharimu sana.

FANYA KAZI UKIJIAMINI NA KUJIONA UNA MADARAKA KAMILI.
 
Bibafsi naungana nawe. Ila katika ishu ya kulivunja baraza la Mawaziri, nadhani angeshindwa mapema sana iwapo angefanya hivyo.

Hata mimi nilitamani iwe hivyo! Na hasa kwa yule PM aliyetudanganya! Ila mwisho wa siku, anatakiwa kuwa mvumilivu na pia kuwa subira.

Siasa ina maajabu sana. Nilicho gundua, yule PM siyo wa kumuondoa tu ghafla kwenye hiyo nafasi yake, kutokana na ushawishi mkubwa alionao kwa Wabunge wa chama chake na pia Mawaziri anao wasimamia. Nadhani itamlazimu tu kuendelea kuwabadilisha kwa utararibu alio anza nao ili tu kuepukana na hujuma.
 
Nimeona ukikosea sana kwenye hotuba zako, kwakusema kuwa, waliokuwa wanajiuliza nani atakuwa Rais, aliyemama hapa ndiye Rais.
Au uliposema kuwa watu wanasema mwanake ataweza kuwa Rias, Mimi ndiye Rais....
Yaani unapeleka ujumbe kwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu kana kwamba unapeleka ujumbe kwa mtoto wako...huna heshima kabisa ndani ya maandishi yako...hata neno au maneno Mhe. Rais hakuna au hata Ndugu Rais hakuna....stupid guy...
 
Basi asingefanya mabadiliko yoyote mpaka akabidhiwe uenyekiti wa chama chake. Hapo hata angefukuza baraza zima wasingekuwa na cha kufanya.
Bibafsi naungana nawe. Ila katika ishu ya kulivunja baraza la Mawaziri, nadhani angeshindwa mapema sana iwapo angefanya hivyo...
 
Yaani unapeleka ujumbe kwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu kana kwamba unapeleka ujumbe kwa mtoto wako...huna heshima kabisa ndani ya maandishi yako...hata neno au maneno Mhe. Rais hakuna au hata Ndugu Rais hakuna....stupid guy...
Wewe ndy mpumbavu Sana, wazazi wako hawajakufunza ipasavyo.
Ulitaka ninyee Kama mlivyokuwa mnajinyea kwa magufuli na kula mavi yenu?
Pumbavu wewe, kipi nilichokosea, nimemtukana?
We shenzi nini!! Mfyuuuuu
 
Wewe ndy mpumbavu Sana, wazazi wako hawajakufunza ipasavyo.
Ulitaka ninyee Kama mlivyokuwa mnajinyea kwa magufuli na kula mavi yenu?
Pumbavu wewe, kipi nilichokosea, nimemtukana?
We shenzi nini!! Mfyuuuuu
It is no wonder umeandika hivyo kuhusu ujumbe kwa Rais Kama ulivyouweka...a lunatic..iko tofauti Kati ya uongozi wa Mhe. Mama Samia na the late President JPM! ?Where is the difference? Umeaminishwa kuwa ipo tofauti na unaimba tofauti hewa?

Maandishi yako yanaonesha ni mtu wa aina gani...mtu anayeandika sijui Kula kinyesi na kadhalika, ni wazi hazimo kichwani...Nenda kamwambie baba na mama yako mzazi kuwa wazazi kuleni mavi yenu...jibu utakalopata kutoka kwao uje utufahamishe hapa JF...idiot and stupid guy...mmepata Uhuru wa kujinafasi kwenyemitandao na hata kuvimbiwa na Uhuru huo...
 
Ujinga tu eti kujihakikishia njia 2025 ulaji ni muhimu kuliko ufanisi.
Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu,inambidi aende nao wote,team magufuli na team yake anayotengeza sasa,kujihakikishia njia 2025 atawahitaji wote,Umenena vyema sana mkuu,kudos
 
Mama rais wangu Samia tafuta muda ukae na wastaafu angalau uwasikilize, Wana machungu mno. Kile kilichoitwa kikokotoo hakikuwaacha salama. Wapo waliopunjika mil 10 Hadi 40 kwa hesabu ambazo wenyewe hawawezi kuzidai.

Kwa kifupi Ni kuwa wengi wamelipwa chini ya madaraja Yao mfano wa F analipwa E na E analipwa D. Hivyo hela ya mkupuo kupungua na halikadhalika ya mwezi pia kuwa chini pungufu ya laki 1 Hadi 4.

Nadhani muda ukipatikana jaribu kukaa na Hawa wastaafu watakueleza kila kitu.
Mfumo wa upandishaji mishahara na madaraja uliathiri kikubwa mafao ya Hawa wastaafu nikiwemo mimi.
 
Mama rais wangu Samia tafuta muda ukae na wastaafu angalau uwasikilize, Wana machungu mno. Kile kilichoitwa kikokotoo hakikuwaacha salama. Wapo waliopunjika mil 10 Hadi 40 kwa hesabu ambazo wenyewe hawawezi kuzidai...
Hawa wazee wengi wemepitia kipindi kigumu sana, alichowafanyia marehemu ni zaidi ya unyama.
 
.... hicho kidogo angalau walipwe kwa wakati basi; hakuna! Sijui mwendazake aliitakia nini hii nchi! Halafu majuha yanalilia legacy huku wananchi wana maumivu makali mioyoni legacy gani hiyo.
 
Hawa wazee wengi wemepitia kipindi kigumu sana, alichowafanyia marehemu ni zaidi ya unyama.
... Ujambazi kama huu ndio ulikuwa unaitwa "fedha za ndani"! Fedha za ndani huku unadhulumu watu haki zao? Hivi madaraja na haki za wananchi ni ipi legacy bora?
 
Back
Top Bottom