Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mwl meko ni fala, hatupaswi hata kumsikiliza huyo bwege
 

1.Hakuelewa somo

2. Hana ule uchungu

3.,Mwenzake alikaa miaka 20 ndani ya hiyo hiyo system alijua uozo na njia zote

4.Mwenzake alikuwa mkakamavu kubana mirija


Itamchukua miaka 2 tu kuelewa somo

a. mishahara ya serikali itachelewa
b.Kodi itapungua
c.ujambazi kuongezeka
d.inflation kuwa juu
e.usd itapaa
f.atashindwa kumaliza miradi mikubwa kwa msuli ule ule wa JPM, atalazimika kukopa kuongeza deni

g. atashusha ari na pride ya taifa na proud ya mmoja mmoja

JPM was firm and tough na anatakiwa hata leo hii.....huu ni ukweli mchungu sana

Demokrasia? ndio mama atawapa ya kutosha...CCM wakiruhusu demokrasia ujue kila mmoja ana sehemu yake ya kula chakula, utamtukana kariakoo ataenda kupoza koo kwa dubai

Demokrasia CCM halisi ni 'wewe ongea' siwe twala

wapinzani hawajalilia demokrasia, bali mianya yao na source za hela ambazo zilikuwa connected na CCM zote zilikatwa!!! zilifutwa

Niambieni watanzania Tangu lini demokrasja imewasadia kwenye nini? kipindi cha JK EPA mbona ilibaki kama ilivyo na hakuna kilichofanyika

Mtanzania akisema hana demokrasia ni kuwa anasema hapati hela

watapewa mirija yao, na wale nyumb watashangilia kumbe wenzao wala!!!!!
 
Wishful thoughts
 
Na mie nashangaaa khaaah
Tusishangae ndugu yangu maana hapa JF ni unafiki na kujipendekeza kwa mwanzilishi wake. Kwa vile JPM alimshikisha adabu, hii ilipelekea asilimia 28 ya wana JF kumchukia kusipo na sababu ya msingi. Ukijumlisha na asilimia 70 ya wana JF ambao ni Chadema (hawa wanamchukia JPM kwa vile aliwafunika baada ya kuwa mzalendo na mleta maendeleo ya haraka). Hii inafanya waliomchukia na hata baada ya kufa kuendelea na chuki zao za kitoto hapa JF kuwa Jumla ya asilimia 98. Hivyo tusishangae sana. Nakutakia happy Mother’s Day maana wewe ni mama wa shoka
 
SSH is total failure, hajitambui, TISS pls do the needful, vinginevyo hii nchi inaenda kudondoka kwa ujinga wa mtu mmoja tu.
Haahaa Kama haikudondoka wakati wa mwendazake idondoke Sasa? Pole Sana mkuu.Nchi inasonga mbele
 
SSH is total failure, hajitambui, TISS pls do the needful, vinginevyo hii nchi inaenda kudondoka kwa ujinga wa mtu mmoja tu.
Haahaa Kama haikudondoka wakati wa mwendazake idondoke Sasa? Pole Sana mkuu.Nchi inasonga mbele
 
Ameeeeeen [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mbona jamaa yetu alikuwa anajisainia tu mikataba peke yake chumbani, alikuwa ananunua tu madege mwenyewe bila kushauliana na mtu hamkumuuliza? wakati taratibu zilikuwepo?... Mama amejifunza naye hii tabia kwa Mzee..
 
Eti sababu ya kumpa Mwinyi gari jipya ni kwa kuwanahangaika kupanda magari mengine, je Mama Maria Nyerere yeye anapanda vipi, si na yeye ana haki ya kuhudumiwa hadi anafariki pia, tuna Rais hasara na mbaguzi, kila kitu saivi ni Zenji tu...

Kumbe huwa inauma sana....mmesahau kula kitu kilivyokuwa chattle...mpaka ikulu ikawa inahamia huko mara kwa mara..

Mmesahau pia Mwendazake aliwajengea wastaafu wote majumba ya kifahari na hamkunyanyua modomo yenu kukemea...
 
ameshindwa mengi na ataendelea kushindwa.
 
Mwache Siku akizeeka ndo atajua kuwa hajui.
 
Wewe umekuwa mjinga na mpuuzi kama YEHODAYA kipindi cha mwendazake yuko madaraka

Kiwe kizuri au kibaya jamaa alikuwa lazima asifie sasa na wewe umegeuka mpinzani wa mama afanye kizur au kibaya yaani ni kupiga illogical.

Wapinzani walikuwa wanashutumiwa kupinga pinga kila jambo la mwendazake lakini walikuwa na hoja za msingi sasa wewe unademka kwa chuki zako binafsi.

Unatakiwa uelewe Magu hajawahi kuwa mwalimu wa Samia hata siku moja na hatakuwa hivyo labda mwalimu wa wale waliotolewa jalalani

President Samia ana mtizamo wa soko huria kwenye biashara na muumini wa demokrasia ndio maana hata wewe unaachwa kukosoa na kupinga hovyo.Mumeo alikuwa dikteta na mwenye itikadi za enzi za ujima za kijamaa.

Miaka yake 5 tulichoambulia ni umaskini kuongezeka kwa watu,kuua na aina zingine za ukatili huku akisifiwa na kutukuzwa kuliko Mungu .Aliwalisha watu wajinga propaganda wakati kundi lake ukiwemo wewe mkijichotea pesa za umma na kujinufaisha kwa mgongo wa miradi ya kimkakati ambayo hamkutaka ikaguliwe.

Sisi watu wa chini hatuna namna ya kuiba kama nyie ila tunategemea uchumi wa soko kufanye vizuri Ili tujiajiri na tujitafutie riziki.Namshauri mama awafute watu wote wenaoishi kwa kivuli cha mwendazake Ili tuvuke salama na uwafuatilie kama tu alivyofanya mwendazake wafunge Domo lao.
 
SSH is total failure, hajitambui, TISS pls do the needful, vinginevyo hii nchi inaenda kudondoka kwa ujinga wa mtu mmoja t
Usisahau hii ni serikali ya watu --- kila raia mwema, mzalendo wa kweli, ana haki ya kudai mabadiliko ya haraka. Bi Mkubwa amewakosea na anaendelea kuwakosea sana Watanzania.

Kumbe huwa inauma sana....mmesahau kula kitu kilivyokuwa chattle...mpaka ikulu ikawa inahamia huko mara kwa mara..

Mmesahau pia Mwendazake aliwajengea wastaafu wote majumba ya kifahari na hamkunyanyua modomo yenu kukemea...
Sana, mkuu uwanja ulijengwa chato bila bunge kupitisha, katiba ilikuwa inachaguliwa vipengele vya kufuatwa na kuheshimiwa, muda wote Ni kuvunja sheria na katiba
 
Veronica france huu uzi uliuleta juzi umeuleta tena.Zama za kusafisha mikojo Ili ushibe tumbo zilishapita,lima hata mchicha Ili njia yako ya kwenda toilet isiote nyasi.Sisi tunasonga na mama,
 
SULUHU ni UHURU pana Suluhu UHURU upo.POMBE ni kitu haramu uhakisi mambo ya kiharamu haramu thus kulitawala mambo ya kusoma namba, viroba baharini, utekaji, uporaji pesa za watu bank na mabaya yote.
Sisi atutaki vurugu tunataka SULUHU.
Karibu tuuze mahindi Kenya tupige pesa Acha kulalamika.
 
Waldau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan,Tuchape noti zenye sura take kwasababu ndiyo rais wa kwanza Mwanamke pili utendaji wake ni wakutukuka,tatu anakazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika ingiza nane la chuki,unyanganyi,kupotezana kupigana risasi na ubabe.Naoendekeza hivyo iwe kumbukumbu kwa mamayetu
 
Hivi inawezekana kumbe Rais akawa amefahamu hili la bomba la gesi akiwa Kenya!? Yaani unamaanisha yeye na wasaidizi wake hawakulijua kabla na kupata muda wa kulijadili kuona Kama linafaa au laa!!?

Sidhani Kama unaweza kuwa serious kuwaza hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…