Wazo zuri,BUT too soon tumwache afanye yaliyo ndani ya uwezo wake kwanza, after delivery of the promises she is giving and eventually her tenure ends ( hii minne au mitano zaidi if she wishes to continue) ndio tuje tuzungumze habari ya kuchapisha fedha...zoezi la kubadili shilingi sio jepesi, sura haiongezi nguvu ya sarafu bali uchumi imara, ifike wakati shillingi yetu iwe na denomination kubwa ya 1000 badala ya 10000 ..turudi kutumia shilingi 20,10 hata 5 kwa manunuzi, sarafu yetu kidogo iweze kununua dola,pauni, yen n.k, tukiweza kuboresha thamani ya uchumi tukauza nje zaidi kuliko kununua japo tukiweza tu kutumia 1000-1300 kwa dola 1 ya kimarekani hapo tutakuwa pazuri ila kwa sasa narudia tena TOO SOON kuchapisha fedha mpya, zenye sura ya mama, au hayati JPM au BWM au any of wastaafu tulio nao.