Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Achana na Mwendazake team maana bado Wana hangover ya unafiki na kujipendekeza. Tabia hiyo wameileta kwako. Hawatakusaidia kukushauri ukweli ili mambo yaende.
Watumie, Hili ni kwa every aspect of your government be it judiciary, Parliament and executive, of course I am well aware kuwa the other two arms need to be independent, but at some time as a President, you can not avoid "talking" to them.
Maria Sarungi na Fatima Karume wako bold enough kukushauri ukweli na si unafiki.
Kama ulivyosema, as long as one can deliver, you won't mind one's political inclination
Huo uanaharakati wao unawafaa, wanasaidia kujirekebisha, ukiwapa vyeo unawafunga midomo
 
Kutoka "home of the great thinkers" mpaka "where we dare to speak openly"..sikuwaelewa JF lkni leo nimewaelewa😀
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naiandika Makala fupi yenye mighani mifupi inayotafakarika na kubayanishika.

Baada ya uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani viliibuka na malalamiko na matamko kadha wa kadha wakilalamikia mfumo wa uendeshaji wa uchaguzi mkuu 2020.

Walidai kwamba wakurugenzi ambao ni wateule wa Rais hawakutenda haki katika zoezi Hilo na kwamba walipokea maelekezo ya kuiba na kupora kura za wapinzani, na waliwatangaza wagombea wa ccm kwa nguvu ya mamlaka zilizo juu.

Kwa hali hiyo walidai kwamba hawatajihusisha na Jambo lolote la serikali iliyopatikana kwa Kura za wizi na walidai serikali na bunge vyote havina uhalali kabisa.

Mtakumbuka moja ya chama cha upinzani kilidai hakitawaruhusu wabunge wa viti maalum kuhudhuria wala kutambuliwa na bunge batili.

Kwa mkitadha huo walimaanisha kwamba wabunge wote wa CCM walio bungeni ni batili kwa sababu walitangazwa kwa kura za wizi.

Baada ya siku kadhaa tume ya uchaguzi ilitoa orodha ya majina ya wabunge 19 wa viti maalumu, lakini katibu wa chadema Bwn JJ Mnyika alitoa taarifa kwa umma ya kwamba chama chake hakitambui orodha hiyo na kilishatoa msimamo wa kutoshiriki bunge la wabunge waliopatikana kwa Kura za wizi, yaani wabunge wote wa Chama cha Mapinduzi.

Licha ya mvutano wote huo bado wabunge hao 19 waliapishwa na hata sasa ni wabunge wa Chadema ambayo inapokea ruzuku kutokana na kuwepo kwao bungeni.

Hivi Sasa ninapoandika makala haya
Nimeona mivutano baina ya viongozi wa chadema na spika wa bunge Mh. J Ndugai yakizuka na hii ni baada ya kifo Cha aliyekuwa Rais wa JMT, Hayati JP Magufuli.

Hii Ina maana gani?
Kwamba Sasa wapinzani wanadhani Mh. Rais Samia ni dhaifu sana asiyeweza kupambanua hoja zao za siri, na kwamba watamfanya usigundue kwamba atakuwa anakubaliana na hoja yao ya kwamba uchaguzi mkuu 2020 CCM iliiba kura na kwamba serikali yake na bunge havina uhalali na Ni batili.

Haya tutayaona mara tu Mh. Rais atakapokubaliana na maombi yao kivuli yaliyo na agenda ya kutaka kumdhalilisha baadae, endapo ataamuua kumshauri spika wa bunge na kupokea hoja za chadema za kuwavua ubunge, ndipo tutakapowaona wakiibuka na ajenda yao halisi ya kwamba Hilo bunge Sio halali maana hata Rais mwenyewe kakubaliana hoja ya kwamba wabunge wa ccm walitangazwa kwa Kura za wizi.

Hata wale wabunge wa CCM wanaosisitiza kwamba maamuzi ya Chadema yaheshimiwe wanakosea bila wao wenyewe kujua kwamba wanaunga mkono hoja ya Chadema juu ya kutangazwa kwa Kura za wizi.

Chadema wafanye nini?
1. Wanapaswa kumeza kauli zao za awali kwamba kura ziliibiwa na wakili hadharani kwamba uchaguzi huo 2020 walipoteza kihalali.
2. Waibuke na hoja yao Sasa ya kwamba wabunge wanaoketi bungeni kwa tiketi ya chadema na mahakama Sio wabunge halali kwa sababu majina yao hayakuwasilishwa na chama kwenye ofsi ya tume.

Lakini wafute kabisa hoja ya kutoshiriki bungeni kwa kisingizio cha kuibiwa kura, maana watakuwa wakimtukana Rais huku wakiomba msaada wake.

Naitwa Mtemi Nyakarungu
0754459572
Mavi
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chadema wafanye nini?
1. Wanapaswa kumeza kauli zao za awali kwamba kura ziliibiwa na wakili hadharani kwamba uchaguzi huo 2020 walipoteza kihalali.
2. Waibuke na hoja yao Sasa ya kwamba wabunge wanaoketi bungeni kwa tiketi ya chadema na mahakama Sio wabunge halali kwa sababu majina yao hayakuwasilishwa na chama kwenye ofsi ya tume.

Lakini wafute kabisa hoja ya kutoshiriki bungeni kwa kisingizio cha kuibiwa kura, maana watakuwa wakimtukana Rais huku wakiomba msaada wake.

Naitwa Mtemi Nyakarungu
0754459572
Mkuu Mtemi Nyakarungu, naunga mkono hoja. Hiki ulichowashauri Chadema, na mimi niliwashauri vivyo hivyo.
Wanabodi,

A Way Forward Kwa Chadema
Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, ni sio tuu, hailitambui Bunge, bali pia, hawamtambui Rais wa JMT. Hivyo hawana haja ya kuandika barua popote, na maadam, hawalitambui Bunge, basi iachane na hao wabunge wa Spika. Lakini kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo ionyeshe kuwa Chadema wamefanya due diligence na kubaini majina hayo yamefojiwa, hivyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

P
p
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naiandika Makala fupi yenye mighani mifupi inayotafakarika na kubayanishika.

Baada ya uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani viliibuka na malalamiko na matamko kadha wa kadha wakilalamikia mfumo wa uendeshaji wa uchaguzi mkuu 2020.

Walidai kwamba wakurugenzi ambao ni wateule wa Rais hawakutenda haki katika zoezi Hilo na kwamba walipokea maelekezo ya kuiba na kupora kura za wapinzani, na waliwatangaza wagombea wa ccm kwa nguvu ya mamlaka zilizo juu.

Kwa hali hiyo walidai kwamba hawatajihusisha na Jambo lolote la serikali iliyopatikana kwa Kura za wizi na walidai serikali na bunge vyote havina uhalali kabisa.

Mtakumbuka moja ya chama cha upinzani kilidai hakitawaruhusu wabunge wa viti maalum kuhudhuria wala kutambuliwa na bunge batili.

Kwa mkitadha huo walimaanisha kwamba wabunge wote wa CCM walio bungeni ni batili kwa sababu walitangazwa kwa kura za wizi.

Baada ya siku kadhaa tume ya uchaguzi ilitoa orodha ya majina ya wabunge 19 wa viti maalumu, lakini katibu wa chadema Bwn JJ Mnyika alitoa taarifa kwa umma ya kwamba chama chake hakitambui orodha hiyo na kilishatoa msimamo wa kutoshiriki bunge la wabunge waliopatikana kwa Kura za wizi, yaani wabunge wote wa Chama cha Mapinduzi.

Licha ya mvutano wote huo bado wabunge hao 19 waliapishwa na hata sasa ni wabunge wa Chadema ambayo inapokea ruzuku kutokana na kuwepo kwao bungeni.

Hivi Sasa ninapoandika makala haya
Nimeona mivutano baina ya viongozi wa chadema na spika wa bunge Mh. J Ndugai yakizuka na hii ni baada ya kifo Cha aliyekuwa Rais wa JMT, Hayati JP Magufuli.

Hii Ina maana gani?
Kwamba Sasa wapinzani wanadhani Mh. Rais Samia ni dhaifu sana asiyeweza kupambanua hoja zao za siri, na kwamba watamfanya usigundue kwamba atakuwa anakubaliana na hoja yao ya kwamba uchaguzi mkuu 2020 CCM iliiba kura na kwamba serikali yake na bunge havina uhalali na Ni batili.

Haya tutayaona mara tu Mh. Rais atakapokubaliana na maombi yao kivuli yaliyo na agenda ya kutaka kumdhalilisha baadae, endapo ataamuua kumshauri spika wa bunge na kupokea hoja za chadema za kuwavua ubunge, ndipo tutakapowaona wakiibuka na ajenda yao halisi ya kwamba Hilo bunge Sio halali maana hata Rais mwenyewe kakubaliana hoja ya kwamba wabunge wa ccm walitangazwa kwa Kura za wizi.

Hata wale wabunge wa CCM wanaosisitiza kwamba maamuzi ya Chadema yaheshimiwe wanakosea bila wao wenyewe kujua kwamba wanaunga mkono hoja ya Chadema juu ya kutangazwa kwa Kura za wizi.

Chadema wafanye nini?
1. Wanapaswa kumeza kauli zao za awali kwamba kura ziliibiwa na wakili hadharani kwamba uchaguzi huo 2020 walipoteza kihalali.
2. Waibuke na hoja yao Sasa ya kwamba wabunge wanaoketi bungeni kwa tiketi ya chadema na mahakama Sio wabunge halali kwa sababu majina yao hayakuwasilishwa na chama kwenye ofsi ya tume.

Lakini wafute kabisa hoja ya kutoshiriki bungeni kwa kisingizio cha kuibiwa kura, maana watakuwa wakimtukana Rais huku wakiomba msaada wake.

Naitwa Mtemi Nyakarungu
0754459572

Zilipedwa sera za kuchukia wapinzani zimeisha ni Watanzania wenzetu kama mwingine yeyote

Tume huru iwekwe na uchaguzi huru bila upendeleo uwepo, vyombo huru vya habari viwepo na polisi na mahakama wasihusike na upendeleo wa kisiasa. Mambo ya udhaifu ni ujinga ambao haujasaidia lolote taifa. Wanashinda washinde tujenge nchi na ukishidwa jipange sio kutegemea kusaidiwa na vyombo Hii ndiyo demokrasia. Msije kuleta mifumo ambayo hata haifuatiliwi kitaalamu haita leta maendeleo. Mama anajua hili na anapenda nchi kuliko chama.
Hebu tujiulize zaidi ya ruzuku kwa CCM kuongezeka na kujinunulia magari ya kifahari wabunge kuwa 95% CCM imesaidia nini mpaka leo!! Zero wapinzani walikuwa 40 tu !!
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naiandika Makala fupi yenye mighani mifupi inayotafakarika na kubayanishika.

Baada ya uchaguzi wa 2020 vyama vya upinzani viliibuka na malalamiko na matamko kadha wa kadha wakilalamikia mfumo wa uendeshaji wa uchaguzi mkuu 2020.

Walidai kwamba wakurugenzi ambao ni wateule wa Rais hawakutenda haki katika zoezi Hilo na kwamba walipokea maelekezo ya kuiba na kupora kura za wapinzani, na waliwatangaza wagombea wa ccm kwa nguvu ya mamlaka zilizo juu.

Kwa hali hiyo walidai kwamba hawatajihusisha na Jambo lolote la serikali iliyopatikana kwa Kura za wizi na walidai serikali na bunge vyote havina uhalali kabisa.

Mtakumbuka moja ya chama cha upinzani kilidai hakitawaruhusu wabunge wa viti maalum kuhudhuria wala kutambuliwa na bunge batili.

Kwa mkitadha huo walimaanisha kwamba wabunge wote wa CCM walio bungeni ni batili kwa sababu walitangazwa kwa kura za wizi.

Baada ya siku kadhaa tume ya uchaguzi ilitoa orodha ya majina ya wabunge 19 wa viti maalumu, lakini katibu wa chadema Bwn JJ Mnyika alitoa taarifa kwa umma ya kwamba chama chake hakitambui orodha hiyo na kilishatoa msimamo wa kutoshiriki bunge la wabunge waliopatikana kwa Kura za wizi, yaani wabunge wote wa Chama cha Mapinduzi.

Licha ya mvutano wote huo bado wabunge hao 19 waliapishwa na hata sasa ni wabunge wa Chadema ambayo inapokea ruzuku kutokana na kuwepo kwao bungeni.

Hivi Sasa ninapoandika makala haya
Nimeona mivutano baina ya viongozi wa chadema na spika wa bunge Mh. J Ndugai yakizuka na hii ni baada ya kifo Cha aliyekuwa Rais wa JMT, Hayati JP Magufuli.

Hii Ina maana gani?
Kwamba Sasa wapinzani wanadhani Mh. Rais Samia ni dhaifu sana asiyeweza kupambanua hoja zao za siri, na kwamba watamfanya usigundue kwamba atakuwa anakubaliana na hoja yao ya kwamba uchaguzi mkuu 2020 CCM iliiba kura na kwamba serikali yake na bunge havina uhalali na Ni batili.

Haya tutayaona mara tu Mh. Rais atakapokubaliana na maombi yao kivuli yaliyo na agenda ya kutaka kumdhalilisha baadae, endapo ataamuua kumshauri spika wa bunge na kupokea hoja za chadema za kuwavua ubunge, ndipo tutakapowaona wakiibuka na ajenda yao halisi ya kwamba Hilo bunge Sio halali maana hata Rais mwenyewe kakubaliana hoja ya kwamba wabunge wa ccm walitangazwa kwa Kura za wizi.

Hata wale wabunge wa CCM wanaosisitiza kwamba maamuzi ya Chadema yaheshimiwe wanakosea bila wao wenyewe kujua kwamba wanaunga mkono hoja ya Chadema juu ya kutangazwa kwa Kura za wizi.

Chadema wafanye nini?
1. Wanapaswa kumeza kauli zao za awali kwamba kura ziliibiwa na wakili hadharani kwamba uchaguzi huo 2020 walipoteza kihalali.
2. Waibuke na hoja yao Sasa ya kwamba wabunge wanaoketi bungeni kwa tiketi ya chadema na mahakama Sio wabunge halali kwa sababu majina yao hayakuwasilishwa na chama kwenye ofsi ya tume.

Lakini wafute kabisa hoja ya kutoshiriki bungeni kwa kisingizio cha kuibiwa kura, maana watakuwa wakimtukana Rais huku wakiomba msaada wake.

Naitwa Mtemi Nyakarungu
0754459572
Unapoteza muda bure!
 
Kama ndio upeo wako umeona udhaifu wa serikali ni kwenye mechi ya Simba na Yanga basi hauna tofauti na mtoto mdogo kwakipimo cha upendo kwake nikumletea pipi na chocolate..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hukumwelewa mleta mada kuhusu Mwalimu na Mwanafuzi. Kuhahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga ulikuwa mfano tu.

Wakati wa Mwalimu wake, kwa mfano, "Boss" wa Barrick alikuja Tanzania na "Jet" yake binafsi kushughulikia suala madini yetu. Kuhusu bomba la mafuta imetulazimu kwenda Uganda kusaini mkataba.

Mifano hiyo miwili maana yake ni kwamba mwenye chake hukulazimu wewe ndiye uende kwa majadiliano. Iweje gesi yetu mkataba utengenezwe Kenya na sisi tulazimike kwenda kusaini huko.

Hakika yajayo yanafikirisha
 
Eti Wakenya ni wajanja wajanja! Kwa hiyo tutafute wajinga wajinga ndiyo tufanye nao biashara? Utajifunza nini kwa wajinga? Tunahitaji watu wajanja tena zaidi ya hao wakenya, hapo tutakuwa na la kujifunza. Nikupe mfano mdogo, Timu ya Simba 2019 ilipoingia group stage ilikuwa inafungwa mabao mengi tu ugenini(14), kwa sababu ilikutana na timu bora. Kuna kitu ilijifunza, mwaka huu imefungwa bao moja tu ugenini.
Ukitaka kukumbia kwa kasi, kimbia na anayekuzidi mbio.
 
Hakika tumuombee sana huyu mama, ukimtazama usoni utaona ni kiasi gani yupo na mtihani mbele yake
 
Hatutakiwi kumuhurumia coz yeye ndo aliombaa hii kazi tunatakiwa kumkumbusha atimize kile walichotuambia yeye na JPM kwenye Kampeni.
 
Kwamba majukumu aliyokabidhiwa hatayaweza, time will tell, up to this point anajaribu kugusa gusa hapa na pale, though bado sijaona her true statement of intent.
 
Magufuli hakupenda kudhurula, Magufuli hakupenda kucheka na mabeberu, Magufuli never gave in kwa mabeberu, Magufuli never submitted himself kwa hawa vibaraka wa mabeberu na AstraZeneca. She's the total opposite of shujaa wa Afrika.
 
Anazurura zurura na kurukaruka,hakuna la maana analofanya.She is cursed one term president!
Whatever worse she might be. There is no way atakuwa one term.

Hata akitaka kufia madarakani, inawezekana.

Msijipe moyo sana ili kujidanganya kisaikolojia. Get to your senses and face the truth.
 
Magufuli hakupenda kudhurula, Magufuli hakupenda kucheka na mabeberu, Magufuli never gave in kwa mabeberu, Magufuli never submitted himself kwa hawa vibaraka wa mabeberu na AstraZeneca. She's the total opposite of shujaa wa Afrika.
Shujaa wa Chato nadhani inge fit zaidi.
 
Back
Top Bottom