Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Huna akili.Sijasema kuwa CCM=dola bali nimesema kuwa dola=CCM
Unaelewa tofauti ya hayo mawili?
Siku ukiuona ukweli, utaanza kupata matokeo. Kwasasa endelea kupambana na upepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili.Sijasema kuwa CCM=dola bali nimesema kuwa dola=CCM
Unaelewa tofauti ya hayo mawili?
Ambae huna akili ni wewe ambae umeshindwa kutofautisha kati ya hayo mawili.Huna akili.
Siku ukiuona ukweli, utaanza kupata matokeo. Kwasasa endelea kupambana na upepo.
Ni vyema Mh Rais akaachana na wambea wa mitandaoni na akaamua kutokana na taarifa rasmi za ofisi tambulika.
lipo wimbi la wahuni hasa mtandaoni linalojaribu kukuwekea maneno mdomoni na pengine kukuletea taarifa feki za kwenye makaratasi kwa maslahi yao binafsi ili tu ufukuze baadhi ya walio chini yako.
kamwe usiwaamini wahuni hawa.
Wapo baadhi ya wauni wanaojodai kuandika na kukupamba kwa hila wakitegemea uteuzi mfano bollen.
Hawa ni wa kupuuzwa sana.
You still have time and other resources to make your own decisions.
Ni vyema Mh Rais akaachana na wambea wa mitandaoni na akaamua kutokana na taarifa rasmi za ofisi tambulika.
lipo wimbi la wahuni hasa mtandaoni linalojaribu kukuwekea maneno mdomoni na pengine kukuletea taarifa feki za kwenye makaratasi kwa maslahi yao binafsi ili tu ufukuze baadhi ya walio chini yako.
kamwe usiwaamini wahuni hawa.
Wapo baadhi ya wauni wanaojodai kuandika na kukupamba kwa hila wakitegemea uteuzi mfano bollen.
Hawa ni wa kupuuzwa sana.
You still have time and other resources to make yourwn decisions.
Utajuaje?kwa hiyo mleta mada na wewe upo kazini?
Bwana Kheri ni nani?Kwani Bwana Kheri anasemaje?
nitajua baada ya wewe kuniambia.Utajuaje?
Kwamba?nitajua baada ya wewe kuniambia.