Uzi wako inawezekana ukawa na jambo la kulijadili ila ufanyie kwanza eddit maana umepoteza maana.Waldau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan,Tuchape noti zenye sura take kwasababu ndiyo rais wa kwanza Mwanamke pili utendaji wake ni wakutukuka,tatu anakazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika ingiza nane la chuki,unyanganyi,kupotezana kupigana risasi na ubabe.Naoendekeza hivyo iwe kumbukumbu kwa mamayetu
Pole sana Mataga. Magufuli is gone, hizi ni zama zingine na SSH ndiye rais wa TanzaniaSSH is total failure, hajitambui, TISS pls do the needful, vinginevyo hii nchi inaenda kudondoka kwa ujinga wa mtu mmoja tu.
Kwenye maendeleo italeta impact gani?? Watanzania wengi ni wapumbavu kwakweli mnapenda kujipendekeza kwa ujinga ujinga tuuWaldau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan,Tuchape noti zenye sura take kwasababu ndiyo rais wa kwanza Mwanamke pili utendaji wake ni wakutukuka,tatu anakazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika ingiza nane la chuki,unyanganyi,kupotezana kupigana risasi na ubabe.Naoendekeza hivyo iwe kumbukumbu kwa mamayetu
kwakuwa emeelewa hivyo ngoja nisemee kwa namna ulivyoelewaIla hapo juu kusema mtu mtoto ampishe mzee mbona ni sawa hivi hilo nalo ni la kumlaumu ehh?utamaduni wetu sisi watanzania au waafrica kiujumla mbona upo hivyo,mtu mzima yaani umri wa mzazi wako huna budi kama ana mzigo kumpokea na kama ni mtaani kwako unamsaidia kumfikishia kwake ndivyo tamaduni zetu waafrica.Yaani mzee yeyote ambaye ana umri wa mzazi wako au babu yako heshima yake anatakiwa apewe kama ni mzee wako,hata nyumbani kwako tu mzee wako akaingia nyumbani unatizama TV ukampa salam huku umekaa kwenye kochi kiustaarabu kuonesha heshima ni bora usimame umpe salamu kisha unakaa.Tatizo linalotutoa kwenye tamaduni bora za kwetu na kuiga tabia za magharibi ndilo linatuponza na huko tunapoenda usishangae mtoto wako pia asikuheshimu halafu tuje kulaumu watoto wa siku hizi.Tunatakiwa tulaumu tulipojikwaa na siyo tulipoangukia.Wewe leo ni kijana hayo unayotaka uwafanyie wazee wako au wazee wa wengine kesho yakiwa mazuri na wewe pia unatarajia ufanyiwe kama hayo ila ukiwa unasema ahhh achana nao hao zama zao zishapita potelea mbali,huenda kesho kama Mungu atakupa umri kama wa hao utakuwa wa kwanza kulipwa wewe kama malipo uliyoyafanya enzi zako za ujana na huenda ukapokea mazuri zaidi ya hayo au mabaya zaidi ya hayo.Ni mtazamo tu tusijenge chuki.
Radical ndo watu gan kiongozi, wengine tunajua radical ya chemistrywale watu ni radical sana mkuu
Lakini Wana valid arguments, unachagua Kati wanayokwambia....wale watu ni radical sana mkuu
Hawawezi kusema hivyo.wale watu ni radical sana mkuu, watakachomshauri mama ni kuivunja CCM wakati ndio iliyombeba,
Wewe kichwa chako kimejaa maji .uwachukue wasio na uwezo wa kuficha siri uwape siri za serkali .wewe mjinga sana