misimajumbasita
Senior Member
- Jun 10, 2018
- 157
- 273
kwani wapinzani sio WATU,?
Ni watu ila ni wapinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wapinzani sio WATU,?
Umetumwa na Sabaya wewe? Tuliza mshono Lea mimba hiyo acha kiherehere papasi weweBaada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Kusimamishwa ni kutumbuliwa?Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Hii ndiyo njia pekee ya kurejesha utaifa wetu, sisi ni wamoja, wapinzani siyo maadui, ni watu wenye haki ya kuishi na kusema kwa uhuru mabaya yote yanayofanywa na wana ccm wachache, Rais amemsimamisha kazi Sabaya si kwasababu ya wapinzani, amemsimamisha kazi kutokana na tuhuma zinazofanyiwa kaziBaada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Kusimamishwa ni kutumbuliwa?
Mama na CCM watakipata wanachokitafuta, time will tell.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana
Upambanaji wake ni wa aina gani?
Wewe ni mpuuzi kweli kweli. Wangapi wameperkwa kufanya kazi Hai ?! Kwanini only Sabaya ?! Wakuu wa wilaya Tanzania hii ni wangapi, kwanini yeye tu ?!. Huyu aliyeonywa mpaka na mkuu wake wa mkoa lakini hakusikia la mtu !!Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Mama kanyaga twwnde wauaji wakubwq hawaBaada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Wewe ni mpuuzi kweli kweli. Wangapi wameperkwa kufanya kazi Hai ?! Kwanini only Sabaya ?! Wakuu wa wilaya Tanzania hii ni wangapi, kwanini yeye tu ?!. Huyu aliyeonywa mpaka na mkuu wake wa mkoa lakini hakusikia la mtu !!
Wapinzani ni waTz , wakifurahi kosa liko wapi ?! Mbona mama Samiah hawamchukii ?! . Kwani wapinzani wamezaliwa nchi hii ili wasononeshwe ?!. Watu kama nyinyi na mwendazake wenu ndiyo mliifanya Tanzania ionekane ni ya ki dictator . Shame on you
Kwa ujumla inaonekana hujui maana ya multi party system . Rudi shule ukajifunze . Usione haya. Kuwa mpinzani sio uadui kama unavyoamini . Ni tofauti ya mawazo ktk uendeshaji wa jamboPunguza mihemko hao madc wengine walio enda huko ndio walienda kunawilisha upinzan na kumfanya mwenyekiti kua untouchable hapo hai
Kwanini wapinzani mufuraishwe na utenguzi huu
Mapenzi yenu kwa chama tawala yameanza lini
Kwani kuwa mpinzani ni kosa kisheria mpaka DC aamue kuwathibiti kwa kutumia askari na kila aina ya uonevu?Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Mchepuo wa sabaya naona kimeeekuuma hasa mumeo kukosa kazi sasa lazima uingiliwe kinyume na maumbile paka wewe!??? Mama ni msomi na mwelewa sio mpumbavu kama bwana yuleeeeee!??Baada ya mkuu wa wilaya ya hai kutumbuliwa tunaona wapinzani wakiwa na furaha sana je? ni lini wapinzani wamekua wema kwa chama tawala.
Itoshe kusema upinzani kamwe sio rafiki wema kwenye chama tawala na hawez kua na agenda njema kwa ccm.
Dc mstafau ole sabaya muda mrefu amekua akipambana na upinzani mkubwa sana Kwani eneo la hai ndipo pinzani kuu anatoka hivo amekua akiandamwa sana kwani alizibiti mno mambo mengi.Wapinzani wamepiga debe sana mtu huyu kuondolewa na imekua hivo hivo. Mama yetu Rais SSH ni wazi wapinzani wanajiona washindi kwenye hili.
Ataipata maako yani mtu aue kwa kua yeye ni ccm wameacha!?? Mungu wenu alipendekeza ujinga yupo chato kaburini kima nyieMama na CCM watakipata wanachokitafuta, time will tell.