ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Unaamini vitu kirahisi rahisiHizi habari za umungu mtu zinaishia tarehe 25/3!! Baada ya hapo tutarejea kwenye mfumo wetu tulio uzoea wa utawala bora! Udikteta uchwara utabakia tu kuwa historia.
Boss nakuaminia Sana humu jamvini,je kama nimekosea jina inaathiri hoja yangu?Samiha?
Wengine Samia..
Mara Samiah
Au Samikha?..
Which is which?
Ndio vizuri inaonesha kuwa watu Wana Elimu ya tosha ya uraia sio mazoba.Hii Nchi Kila Mwananchi Mjuaji!
Naijua,chukulia mfano CIA,MI6 au Mossad.etc.nadhani uliona USA .TISS za huko zilivyokua zinadili na Rais Trump.tiss huru unaijua mzee?
Kwani inakatazwa? Au kushauri Kuna watu maalum tu.Kila mtu amekuwa mshauri...
Mbuzi kesha kula mkeka, sasa jiandae kwenda kuuza mirungi tuHakuna wa kuzuia mabadiliko ya kiuchumi na kujitegemea....
tumepata sababu mpya za kutekeleza maono ya Nyerere kupitia Magufuli
Kwani inakatazwa? Au kushauri Kuna watu maalum tu.Kila mtu amekuwa mshauri.
Wacha kulialia hapa jamvini,mbuyu wako umeanguka sasa nenda kwenu koromitje ukalime mtama maana huna tena wa kukubeba hapa darHujui maana ya dola. Unaweza kutafsiri vyovyote ila lolote kwa kulinda maslahi ya umma linafanyika kwa mujibu wa sheria. Unaweza kuita utekeja uuaji etc hiyo ni juu yako.
Wewe unajifanya unajua Lkn naona hujiu kitu.Mimi pia nimeshangaa eti TISS huru? Huenda haijui.
Enyi TISS, sisi raia wema huku mitaani tuna imani Sana na nyinyi,kusema kweli tunawapenda Sana,Sasa Mimi Lee kwa niaba ya Watanzania wema,tunawaomba mumshauri na mhakikishe amepokea ushauri huu mheshimiwa Samiha.
Nawe mama Samiha Rais wetu nakuomba upokee ushauri huu Ili kufanya Tanzania iwe na amani upendo raha furaha na haki,kwani haki huinua Taifa.
Ushauri wangu
Naomba TISS chombo chetu Watanzania,mshaurini Rais Samiha atengeneze taasisi imara ili zilete haki.
Baadhi ya taasisi imara Ni
Mahakama huru,
Bunge huru,
Polisi huru,
TISS huru,
Takukuru huru,
NEC huru,
N.k
Faida ya taassisi huru itamfanya atawale kwa haki,kwa urahisi,kwa raha na bila lawama.
Taasisi huru itawafanya TISS wawe na kazi nyepesi bila lawama kutoka upande wowote.
Polisi hawata onea raia,
Mahakama itaamua kwa Haki,
Bunge litafanya kazi kwa weledi,
Takukuru hawata mwonea mtu,
NEC haitalaumiwa,
TISS haita laumiwa,
Hivyo Mama ataongoza kwa raha bila lawama,yeye atasimamia kuleta maendeleo tu.
Mbali na hayo yote tunaomba Rais Samiha uruhusu katiba pendekezwa ya Jaji Warioba, ambayo wewe Rais ulikua Spika wa Bunge la katiba,tunaomba haya kwa Mustakabali wa Taifa.
Ukiruhusu hayo utatawala ka amani Sana.
Tunaomba Taasisi Imara.
Hakika kabisa Mkuu BAK na huo ndio ukweli wenyewe.Hilo dude ni la kufumua lote vinginevyo wahuni na washamba waliorundikwa humo na jiwe pamoja watampa huyo mama wakati mgumu sana ili tu wamkwamishe.
Mkuu una roho ngumu, yaani huogopi na hiyo naked I'd yako.Tanzania ya baada ya mtesi itakuwa nzuri sana
Sahihi kabisa,Ni wakati Sasa wa kuwa na Taasisi imara,sio kuregemea mawazo ya mtu mmoja, akifa mtu huyo au mda wake ukiisha watu wanashindwa kujisimamia.Dah yani hapa tulipo ni ngumu kushauri chochote kwakweli . Marehemu alifanya kila kitu kiwe kinamsujudia yeye/kampuni binafsi
Nguvu ya CCM kumwongoza rais ishatoweka. Wazee mashuhuri washapunguzwa nguvu zamani.Kwa kuwa hakuna mwamko kwenye Taifa letu, Rais Samia ataongozwa na CCM kwenye kuendesha nchi (kwa maslahi ya chama) siyo ya wewe MNYONGE.
Hakutokuwa na tofauti ya masuala ya msingi, kuhusu katiba ya Jaji Warioba hilo sahau maana ndiyo KABURI la CCM hivyo hawawezi kuchimba kaburi lao.
Hii nchi kila mtu ni mwanasiasa, ni mwanadiplomasia, Ni mwanasheria, ni daktari ni kochaHii Nchi Kila Mwananchi Mjuaji!
Wakati vipo bize na vichupiNashangaa vidada status vina komaa raisi mwanamke..rasi mwanamke viki zani kuna kinacho badilika
SUBIRI KIDOGO
Duh..we jamaa ndio sijakuelewa.Mh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:
1.Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2.Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3.Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4.Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5.Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7.Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8.Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.