Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Samiha?
Wengine Samia..
Mara Samiah
Au Samikha?..

Which is which?
Boss nakuaminia Sana humu jamvini,je kama nimekosea jina inaathiri hoja yangu?
Wazungu husema Tansania badala ya Tanzania,husema John Magafuli badala ya John Mgufuli je Hawa Ni watu wawili tofauti?
Nakuaminia The Boss.
Karibu kwenye mada bana.
 
Hujui maana ya dola. Unaweza kutafsiri vyovyote ila lolote kwa kulinda maslahi ya umma linafanyika kwa mujibu wa sheria. Unaweza kuita utekeja uuaji etc hiyo ni juu yako.
Wacha kulialia hapa jamvini,mbuyu wako umeanguka sasa nenda kwenu koromitje ukalime mtama maana huna tena wa kukubeba hapa dar
 
Mimi pia nimeshangaa eti TISS huru? Huenda haijui.
Wewe unajifanya unajua Lkn naona hujiu kitu.

Mara kadhaa wabunge makini wamezungumzia juu ya chombo hiki kuwa kivunjwe na kiundwe upya ama kitungiwe sheria mpya ili kiendane na Hali ya kisiasa ya Sasa.

Hususan mfumo wa vyama vingi.

Watu wengi wameshzungumzia suala hili, sijui wewe mwenzetu unashauri nini.
 
Hilo dude ni la kufumua lote vinginevyo wahuni na washamba waliorundikwa humo na jiwe pamoja na kuwa hawana qualifications husika watampa huyo mama wakati mgumu sana ili tu wamkwamishe.
Enyi TISS, sisi raia wema huku mitaani tuna imani Sana na nyinyi,kusema kweli tunawapenda Sana,Sasa Mimi Lee kwa niaba ya Watanzania wema,tunawaomba mumshauri na mhakikishe amepokea ushauri huu mheshimiwa Samiha.
Nawe mama Samiha Rais wetu nakuomba upokee ushauri huu Ili kufanya Tanzania iwe na amani upendo raha furaha na haki,kwani haki huinua Taifa.

Ushauri wangu
Naomba TISS chombo chetu Watanzania,mshaurini Rais Samiha atengeneze taasisi imara ili zilete haki.
Baadhi ya taasisi imara Ni
Mahakama huru,
Bunge huru,
Polisi huru,


TISS huru,
Takukuru huru,
NEC huru,
N.k
Faida ya taassisi huru itamfanya atawale kwa haki,kwa urahisi,kwa raha na bila lawama.
Taasisi huru itawafanya TISS wawe na kazi nyepesi bila lawama kutoka upande wowote.
Polisi hawata onea raia,
Mahakama itaamua kwa Haki,
Bunge litafanya kazi kwa weledi,
Takukuru hawata mwonea mtu,
NEC haitalaumiwa,
TISS haita laumiwa,
Hivyo Mama ataongoza kwa raha bila lawama,yeye atasimamia kuleta maendeleo tu.

Mbali na hayo yote tunaomba Rais Samiha uruhusu katiba pendekezwa ya Jaji Warioba, ambayo wewe Rais ulikua Spika wa Bunge la katiba,tunaomba haya kwa Mustakabali wa Taifa.

Ukiruhusu hayo utatawala ka amani Sana.

Tunaomba Taasisi Imara.
 
Hilo dude ni la kufumua lote vinginevyo wahuni na washamba waliorundikwa humo na jiwe pamoja watampa huyo mama wakati mgumu sana ili tu wamkwamishe.
Hakika kabisa Mkuu BAK na huo ndio ukweli wenyewe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Dah yani hapa tulipo ni ngumu kushauri chochote kwakweli . Marehemu alifanya kila kitu kiwe kinamsujudia yeye/kampuni binafsi
Sahihi kabisa,Ni wakati Sasa wa kuwa na Taasisi imara,sio kuregemea mawazo ya mtu mmoja, akifa mtu huyo au mda wake ukiisha watu wanashindwa kujisimamia.

Utawala Bora sio mtu Bora Bali Ni mfumo Bora.

Yule bingwa alijiona yeye Ni Bora kuliko mtu yeyote na alijiona Bora kuliko watangulizi wake. Sasa hiyo tuiondoe.
 
Kwa kuwa hakuna mwamko kwenye Taifa letu, Rais Samia ataongozwa na CCM kwenye kuendesha nchi (kwa maslahi ya chama) siyo ya wewe MNYONGE.
Hakutokuwa na tofauti ya masuala ya msingi, kuhusu katiba ya Jaji Warioba hilo sahau maana ndiyo KABURI la CCM hivyo hawawezi kuchimba kaburi lao.
Nguvu ya CCM kumwongoza rais ishatoweka. Wazee mashuhuri washapunguzwa nguvu zamani.
 
Mtu ambaye hata kuandika jina vizuri la rais huwezi, unaweza kuishauri TISS kweli!
 
Aiseee...

1616201532657.png
 
Mh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:

1.Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2.Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3.Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4.Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5.Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7.Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8.Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.
Duh..we jamaa ndio sijakuelewa.
 
Back
Top Bottom