Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Wakina gwaji watupishe kwanza bado wana trait za mwenda zake
 
Rais aondoe huyo comedian asiechekesha hapo wizara ya afya, akaoneshe umahiri wake kwenye bongo movie....
 
Shalom from Jerusalem,

Wandugu, kwa maoni yangu, naona kwa muda mfupi sana aliokaa madarakani Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kipaji cha hali ya juu sana cha uongozi kwa kuonesha mambo makuu yafuatayo yanayomfanya amzidi mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli;

1. Ametoa uhuru kwa mifumo ya serikali, sekta binafsi na asasi za kiraia kufanya kazi na kuondokana na mfumo wa ONE MAN SHOW uliotumiwa sana na mtangulizi.

2. Hatumii maguvu sana kwenye kuelekeza mambo maana amewaamini wateule wake kufanya kazi kwa nafasi na kuonesha vipaji vyao.

3. Neno haki halikauki mdomoni mwake, jambo ambalo lilikuwa ni gumu sana kwa mtangulizi.

4. Ameiamini sana SAYANSI na siyo consipiracy theories kwenye kukabiliana na janga la corona na kuteua tumbe ambayo imekuja na mapendekezo ya namna bora ya kuushinda ugonjwa.

6. Anachagua maneno ya busara wakati anaongea.

7. Kwa kiwango kikubwa amerudisha diplomasia na nchi nyingine duniani na pia amerejesha mahusiano mazuri na mashirika ya kimataifa.

8. Anafuatilia watu wanasema nini kupitia vyanzo mbalimbali kutoka kwa wananchi na kuvifanyia kazi.

9. Anakwenda na wakati, anathamini maoni yanayotolewa kupitia mitandao ya kijamii, maana anajua ndiko dunia ilikofikia na huwezi kuizuia.

10. Ameondoa hofu kwa watumishi wa umma ambao kimsingi mtangulizi wake aliwahukumu bila hata kuwasikiliza kwa kuwadhalilisha hadharani ili apate umaarufu.

MAMA YETU NAKUOMBEA AFYA NA HEKIMA MAANA JUKUMU ULILONALO NI KUBWA, MUNGU AKULINDE
 
Unatakiwa uelewe kwamba, Samia bado anafaidi uongozi wa JPM.

Watu walikuwa wamesukwa na JPM kuwa wazalendo bado wapo. Watu walio sukwa kupiga kazi bado wapo.

Usipolielewa hili utabaki kuliganisha vitu ambavyo huvijui.
 
Unatakiwa uelewe kwamba, Samia bado anafaidi uongozi wa JPM.

Watu walikuwa wamesukwa na JPM kuwa wazalendo bado wapo. Watu walio sukwa kupiga kazi bado wapo.

Usipolielewa hili utabaki kuliganisha vitu ambavyo huvijui.


Wazalendo Kama wakina sabaya makonda bashiru.

WaTanzania kweli mtaliwa mpaka mchakae mkuu wa wilaya tu ana bil 3 kwenye account makonda nadhani atakuwa na trillion. Gambo alitumia bil kutengeneza mazingira nje ya kampeni. Kweli nikikwepa kulipa Kodi ata Mungu hatanihukumu.
 
Shalom from Jerusalem,

Wandugu, kwa maoni yangu, naona kwa muda mfupi sana aliokaa madarakani Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kipaji cha hali ya juu sana cha uongozi kwa kuonesha mambo makuu yafuatayo yanayomfanya amzidi mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli;

1. Ametoa uhuru kwa mifumo ya serikali, sekta binafsi na asasi za kiraia kufanya kazi na kuondokana na mfumo wa ONE MAN SHOW uliotumiwa sana na mtangulizi.

2. Hatumii maguvu sana kwenye kuelekeza mambo maana amewaamini wateule wake kufanya kazi kwa nafasi na kuonesha vipaji vyao.

3. Neno haki halikauki mdomoni mwake, jambo ambalo lilikuwa ni gumu sana kwa mtangulizi.

4. Ameiamini sana SAYANSI na siyo consipiracy theories kwenye kukabiliana na janga la corona na kuteua tumbe ambayo imekuja na mapendekezo ya namna bora ya kuushinda ugonjwa.

6. Anachagua maneno ya busara wakati anaongea.

7. Kwa kiwango kikubwa amerudisha diplomasia na nchi nyingine duniani na pia amerejesha mahusiano mazuri na mashirika ya kimataifa.

8. Anafuatilia watu wanasema nini kupitia vyanzo mbalimbali kutoka kwa wananchi na kuvifanyia kazi.

9. Anakwenda na wakati, anathamini maoni yanayotolewa kupitia mitandao ya kijamii, maana anajua ndiko dunia ilikofikia na huwezi kuizuia.

10. Ameondoa hofu kwa watumishi wa umma ambao kimsingi mtangulizi wake aliwahukumu bila hata kuwasikiliza kwa kuwadhalilisha hadharani ili apate umaarufu.

MAMA YETU NAKUOMBEA AFYA NA HEKIMA MAANA JUKUMU ULILONALO NI KUBWA, MUNGU AKULINDE
Sawa...kazi iendelee...ila hiyo ya Bora zaidi Mara kumi mmmmmmh...
 
Hahaha! Huogopi matusi kutoka kwa MATAGA na Sukuma gang? Ukitaka kujua Samia ni zaidi ya Jiwe mara 1000 basi tafuta hotuba yake ya leo wakati anazindua kiwanda cha polisi Kurasini, ni hotuba fupi lakini imejaa nondo kila sentensi.
 
Magufuli hayupo tena ila kila unapopita unamuona.

Utamuona kwenye meli, bararabara, umeme vijijini, reli, zahanati, hospitali, shule, madawati ya wanafunzi, mishahara on time, boom on time, IMF kutokutupangia namna ya kukusanya na kutumia mapato wakati madeni yao yanalipwa on time, utamsikia kwa machinga, watanzania waliokosa haki kabla yake. Magufuli bado anaishi kila sehemu.

Tuone miaka 5 ya Samia atakuachia nini akiendelea kwa stahili yake aliyoanza nayo. We unataka kupigiwa makofi mtandaoni wakati asilimia kubwa ya watanzania wanashindia $1 kwa siku.
 
Back
Top Bottom