tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,971
Shida yetu wabongo ni wasahaulifu sana na tunapenda vitu vya kutufariji kwa muda mfupi tu
Hizo sifa unazompa Mh Samia ni mambo ambayo Jakaya aliyatekeleza kwa asilimia kubwa sana,, aliachia Uhuru wa habari, demokrasia ilitamalaki, taasisi za Serikali na NGOs zilikuwa huru pasipo kuingiliwa ingiliwa etc
Kwa kifupi JK alipenda Serikali iweke mifumo ya kujiendesha lakini shida kubwa iliyomuangusha ni kuwa wabongo wana hulka ya wizi wizi na ufisadi,, kelele za wizi wizi, ufisadi, rushwa zilikuwa kila kona
Kwa mfano tu watumishi hewa ktk ngazi za Halmashauri ziliratibiwa ktk ofisi za wakurugenzi, vyeti feki ziliratibiwa kuanzia wizara ya utumishi mpk ngazi za Halmashauri
Utekelezaji wa miradi asilimia kubwa ulikuwa chini ya viwango huku ikiidhinishwa pesa nyingi ktk hio miradi tofauti na uhalisia,, barabara za Halmashauri zinatengenezwa leo kwa kiwango cha lami baada ya mwaka ni nyang'anyang'a, kuna kipindi Halmashauri ya bagamoyo mjini ilijenga vyoo vinne vya shule kwa tsh 700ml ilizua kelele sana mpaka Mkurugenzi akahamishwa
Kwa kifupi ilitosha kuona namna Watanzania tusivyokuwa tayari kujisimamia wenyewe ktk nafasi mbalimbali za juu tunazoaminiwa,,, yaani kila mtu ktk ngazi za juu anawaza kuiba tu
Pamoja na mambo mengineyo haya tu machache yaliifanya Serikali ya JK ionekane imejaa wahujumu uchumi, ufisadi, rushwa na wizi ikavifanya vyama kama Chadema na vingine vya upinzani kupiga kelele sana juu ya huu udhaifu
Ndio maana JPM alipoingia madarakani alianza kusafisha Watumishi hewa,, Serikali inalipa billions of money kama mishahara kumbe wachache ndio wanazitumbua
Kwahyo anachokifanya Mamá Samia awe makini na macho kwelikweli kwasababu hizi taasisi za Serikali hazipaswi kuachwa huru kwa kiasi hicho kutokana na Watanzania baadhi wana hulka ya wizi, rushwa na ufisadi
Hata kama tulimchukia JPM lakini kwenye ukweli pasemwe tusisubiri muda ndio msema kweli ilhali ameyasafisha baadhi ya mambo ambayo Chadema na wapinzani wengine na Watanzania tusio na chama tuliyapigia kelele sana ktk awamu zilizopita
Hizo sifa unazompa Mh Samia ni mambo ambayo Jakaya aliyatekeleza kwa asilimia kubwa sana,, aliachia Uhuru wa habari, demokrasia ilitamalaki, taasisi za Serikali na NGOs zilikuwa huru pasipo kuingiliwa ingiliwa etc
Kwa kifupi JK alipenda Serikali iweke mifumo ya kujiendesha lakini shida kubwa iliyomuangusha ni kuwa wabongo wana hulka ya wizi wizi na ufisadi,, kelele za wizi wizi, ufisadi, rushwa zilikuwa kila kona
Kwa mfano tu watumishi hewa ktk ngazi za Halmashauri ziliratibiwa ktk ofisi za wakurugenzi, vyeti feki ziliratibiwa kuanzia wizara ya utumishi mpk ngazi za Halmashauri
Utekelezaji wa miradi asilimia kubwa ulikuwa chini ya viwango huku ikiidhinishwa pesa nyingi ktk hio miradi tofauti na uhalisia,, barabara za Halmashauri zinatengenezwa leo kwa kiwango cha lami baada ya mwaka ni nyang'anyang'a, kuna kipindi Halmashauri ya bagamoyo mjini ilijenga vyoo vinne vya shule kwa tsh 700ml ilizua kelele sana mpaka Mkurugenzi akahamishwa
Kwa kifupi ilitosha kuona namna Watanzania tusivyokuwa tayari kujisimamia wenyewe ktk nafasi mbalimbali za juu tunazoaminiwa,,, yaani kila mtu ktk ngazi za juu anawaza kuiba tu
Pamoja na mambo mengineyo haya tu machache yaliifanya Serikali ya JK ionekane imejaa wahujumu uchumi, ufisadi, rushwa na wizi ikavifanya vyama kama Chadema na vingine vya upinzani kupiga kelele sana juu ya huu udhaifu
Ndio maana JPM alipoingia madarakani alianza kusafisha Watumishi hewa,, Serikali inalipa billions of money kama mishahara kumbe wachache ndio wanazitumbua
Kwahyo anachokifanya Mamá Samia awe makini na macho kwelikweli kwasababu hizi taasisi za Serikali hazipaswi kuachwa huru kwa kiasi hicho kutokana na Watanzania baadhi wana hulka ya wizi, rushwa na ufisadi
Hata kama tulimchukia JPM lakini kwenye ukweli pasemwe tusisubiri muda ndio msema kweli ilhali ameyasafisha baadhi ya mambo ambayo Chadema na wapinzani wengine na Watanzania tusio na chama tuliyapigia kelele sana ktk awamu zilizopita