Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Unajua unakuwa kama ni mgeni wa HISTORIA YA DUNIA NA MAGONJWA YA MLIPUKO...

Mfano TB ilipoanza ulaya unafahamu ilimaliza wazungu wangapi ?!! Ama nayo ilitengenezwa na wenye ILLICIT purposes ?!! 🤣🤣🤣

Kwa taarifa yako magonjwa yote ya mlipuko huwa yanatafutiwa suluhisho kwa HATUA HIZIHIZI mpaka kufikia mwisho....na ujue ya kwamba mpaka wanapokuwa wanaidhinisha matumizi ya chanjo basi kuna asilimia nyingi mno huwa ni SAFE....

Mpaka Sasa una takwimu ya vifo vya kumwaga kwa waliopewa chanjo?!!

CONSPIRACY THEORIES zimekujaa wewe mtu...🤣
Wewe mbulula hivi unatakwimu zozote zinazopingana na hayo niyasemayo? Ukweli ni kuwa hazijapia huatua zote muhimu, na hazikingi maambukizi mapya hasa ukizingatia virusi vya aina vinavyoeneza mafua hujibadiribadiri na hivyo kuwaza kutengeneza chanjo ni ujuha! Maana unapomaliza kuitengeneza hata kimagumashi hivi bila kufuata utaratibu, ukianza kuwadunga hao mapanya1000 wako unakuta kimeshajibadiri na hivyo hicho kichanjo uchwara chako hakifui dafu! Mbaya zaidi unawawekea M-RNA za virus na wanyama wengine binadamu! Mpaka umalize kutengeneza na kuwadunga hao panya1000 binadamu msululu wa vijichanjo uchara hivyo utajikuta umezijaza chembechembe hai za huyo panya1000 binadamu mRNA za virusi na wanyama kibao mwisho cells zitasahau kutengeneza protein za asili zilizozoea kutemgeneza, na badala yake zitakuwa busy kutengeneza za kuja...hapo unafikiri utakuwa bado ww ni binafamu(hapa nawaza tu kwa sauti, hasa ukizingatia awamu za chanjo uchwara hizo zinavyoongezeka kila baada ya awamu kukamirika na kutokidhi)šŸ¤”!
 
Sayansi haina ubabaishaji ubabaishaji, atakwama tu sehemu. Atakausha malimao yote mashambani, atakula magunia yote ya tangawizi na kujibanika kwenye mvuke kama kitoweo, lakini hawezi kutibu au kuzuia Covid 19. Is this a rocket science?
We ndio kauzu kwelikweli! Kwani hata hizo chanjo uchwara za majaribio ipo hata moja inayokinga maambukizi us covid-19! We mwendawa-zimu kweli, wazungu wakisema kula mavi unakula tu, ukiambiwa ule vyakula vyenye vitamin C ikuongezee kinga ya mwili, kwa kuwa imesemwa na mtz huo ni uzwauzwa na siyo sayansi! Na bila hata haya unaponda kama ndondocha ā˜¹ļø! Aibu yako!
Kwanza hiyo covid-19 imepata promo isiyostahili! Siyo hatari kama malaria, kifua kikuu na ukimwi! Hayo chanjo uchwara ya majaribio yanaweza yakawa yanamadhara zaidi kuliko hata mafua hayo!
 
Nchi hii inatatizo kubwa mnoooo la watumishi labla shida ilianzia kwenye mifumo ya Elimu yetu, watu wanapeana vyeo wasio na sifa stahiki matokeo yake wanaanza kulindana na Nchi inazama matopeni.

Nchi inatakiwa ifumuliwe tuanze upya tuu.
 
Awamu hii kama una cheo.. pale pesa ipo sana.. na haukuli hata shilingi.. lazima utimuliwe.. figure figusi.. ili watu wapige pesa..
 
Mtawekwa lockdown na mlazimishwe kujanjwa kama ticket ya kuruhusiwa kujichanganya😠!

We mbumbumbu usiyejielewa! Hizo chanjo zote ulizoziainisha hapo hazina uhusiani wa moja kwa moja na vina7 vyako mbulula ww! Hii ya covid-19 inagusa sehemu iliyokatazwa, kwenye mti wa kati, vina7! Mambumbumbu kama ww mnaokimbilia chanjo ya M-RNA kama nyumbu kwa kukosa akili kwa maangamizi yenu wenyewe! Isitoshe, bado haijajurikana kama h8yo hujuma ya kugusa vina7 vya mtu kama inaweza rithishwa! Maana kama itakuwa inarithishwa basi watoto wa wasiochanjwa wakioana na watoto wa waliochanjwa basi wajuu zetu wanaweza kurithi ujuha huu kama sisi tulivyorithi balaa la maamuzi ya Hawa pale edeni!
Hivyo ww mtu usishabikie mambo usiyoyajua😜!
Waliomaliza kuzaa, nao ushauri wako unawahusu ? Hivi unajua teknolojia ya miaka ijayo watu watakuwa wana editi
GENES!
Kama unataka mtoto wako awe mrefu unaenda kutoa genes ya uam UANDNJE, kama una taka uzae mtoto geneus, unatoa genes ya ukilaza unaweka ya geneus.
Wanasayansi wata modify genes mpaka binadamu aweze hata kuota mbawa ARUKE kama ndege hewani.
Sayansi ndio itakayoamua na si wanasiasa, uamuzi urabaki kuwa kwa mtu binafsi a 'modify' au 'asi modify'
 
Wewe mbulula hivi unatakwimu zozote zinazopingana na hayo niyasemayo? Ukweli ni kuwa hazijapia huatua zote muhimu, na hazikingi maambukizi mapya hasa ukizingatia virusi vya aina vinavyoeneza mafua hujibadiribadiri na hivyo kuwaza kutengeneza chanjo ni ujuha! Maana unapomaliza kuitengeneza hata kimagumashi hivi bila kufuata utaratibu, ukianza kuwadunga hao mapanya1000 wako unakuta kimeshajibadiri na hivyo hicho kichanjo uchwara chako hakifui dafu! Mbaya zaidi unawawekea M-RNA za virus na wanyama wengine binadamu! Mpaka umalize kutengeneza na kuwadunga hao panya1000 binadamu msululu wa vijichanjo uchara hivyo utajikuta umezijaza chembechembe hai za huyo panya1000 binadamu mRNA za virusi na wanyama kibao mwisho cells zitasahau kutengeneza protein za asili zilizozoea kutemgeneza, na badala yake zitakuwa busy kutengeneza za kuja...hapo unafikiri utakuwa bado ww ni binafamu(hapa nawaza tu kwa sauti, hasa ukizingatia awamu za chanjo uchwara hizo zinavyoongezeka kila baada ya awamu kukamirika na kutokidhi)šŸ¤”!
Kwa hio wale waliochanjwa tayari sio badamu ni viumbe wengine ? cells zao zimesha misbehave wamekuwa tayari viumbe wengine?
What if wakibadirika wakawa the best species halafu chanjo ikapanda bei nawe ukabaki hivyo hivyo huku wenzio wamekuwa viumbe wengine, mfano nyani na binadamu ,nyani tuliwaacha porini sisi tukasogea mjini baada ya DNA zetu kubadirika wao bado wanaparamia miti sisi tunaendesha bodaboda.
Kuna watu watabaki kuwa primitive himan wakati wenzao wamekuwa superhuman.
 
Mod tafadhari, naomba usiu'merge' huu uzi, tafadhali sana[emoji120]!
Tangu mwanzo, mwanamke anapokuwa sambamba na mwanaume amekuwa msaada sana kwa mwanaume! Shida ni pale anapojitenga na kuwa mwenyewe mfanya maamuzi akizungukwa na makelele yenye kila aina ya vishawishi...ndipo hujikuta anatamani kuonja visivyoonjeka...anapokea tunda la mti wa kati linalomfundisha kuyaonja mabaya! Na anapokutana na mwanaume wake kwa ushawishi wake usiokifani anamlisha na kumuonjesha mabaya pia!
Mama yetu Samia, uling'ara sana ulipokuwa sambamba na jembe letu, shujaa wetu, Dr. JPM! Sasa upo mwenyewe ukisikizishwa makelele yote yenye vishawishi kama vyote, chondechoje hayo machanjo yako kama unayapenda sana we jiagizie tu kisirisiri ujichanje mwenyewe na hiyo team au tume yako ya utafiti wa kimagumashi wa covid-19, mtuache sisi tuishi maisha yetu mazuri tuliyoachiwa na Muumba wetu!
Msituletee hofu ya kubumbwa! Na tunataka vinasaba vyetu vibaki 'pure'! Hatuhitaji kuongezewa vya covid-19 na mengine mengine [emoji34]!
Huu upotoshaji wa kipuuz unatoka wapi? Propagandists mna shida kubwa sana. Ndo hii habari ya mapapai kuwa +ve, ni chanzo kilianzia hapo cha propaganda. Kiuhalisia kuna watu wana uhitaji na kuna watu hawana uhitaji, ukiwemo wewe. So stay calm.
 
Nani wa kukulazimisha KUCHANJWA ?!!!

Umetoa mfano usiooana na uhalisia...EVA hafanani na uhalisia ULIOPO....

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya KIFADURO?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya SURUA?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao mdogo KUCHANJWA chanjo dhidi ya HOMA YA INI ?!!

Mbona huandamani na kuikataa chanjo apewayo mwanao dhidi ya KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,PEPOPUNDA NA DONDA KOO ?!!
CHANJO ZOTE HIZI zinatoka hukohuko ulaya na si kwa babu yako BWENI......

Mihemko ya hisia za uzalendo koko bakini nao wenyewe.....wako watu wanasafiri kila uchao ,wako watu wanafanya kazi na Watalii...HAWA WOTE WATAKUBALI KUCHANJWA......

Binafsi ninaisubiri kwa HAMU MNO....

#Uhalisia
#SayansiSiSiasaKokoZaKizalendo
#TunaisubiriaChanjo
#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfSSH
Umemaliza mkuu, kipekee sitapoteza hata dk1, zikija tu ninazo. Hao wazalendo fake wa corona kwenye mbuzi achana nao na propaganda zao
 
Ngoja nisiendelee kupotesa muda na chizi ww! Umeambiwa chanjo ya ndui ilikuwa M-RNA kama ilivyo hii ya covid-19! Nenda kapokee ushoga na tabia zingine kwenye chanjo uchwara hiyo ili akili zikukae[emoji34]!
Wewe ni muongo, na unaishi kwa hisia na Hoax news, huna material facts hata kama una elimu fulani ya elimu ya Virus. Huna hoja, hoja yako ya kijima tu ya malimao na tangawizi pekee, unakosa ya kutetea imani yako kisayansi
 
Pimbi kweli ww! Hukuna tafiti za muda mrefu zilizofanya kupinga au kuafiki hayo! Na hapo ndio kwenye shida! Cha ajabu weye unaejitiatia kuwa mwanadayansi mbobezi huoni shida hapo! Mi mtu kama nyie ni mabogas mnaotukanisha wanasayansi wanaojitambua!
Huwezi thibitisha au kukanusha kuwa madhara ya muda mrefu yatokanayo na vichanjo uchwara hivyo vya covid-19 inaweza kubadirisha vina7!
Hapo ndio penye shida, hakuna utafiti uliofanywa kuhakiki hayo!
Hivyo ndivyo wanasayansi wanaojitambua hu'argue'! Ww unayekariri bila kuelewa unapokea tu utafikiri umeshikiwa akili...aibu yako mfyuuuuuu [emoji35]!
Wewe umejuaje kuwa hakuna tafiti?
Weka ushahidi hapa wa Taasisi yoyote huru inayotambulika. Je WHO akiwemo yule Mu Ethiopia anasemaje? Kwamba wewe unajua sana kuliko WHO, kuliko Kagame aliyekula chanjo baada ya watu wake kujiridhisha?!!
 
Mod tafadhari, naomba usiu'merge' huu uzi, tafadhali sanašŸ™!
Tangu mwanzo, mwanamke anapokuwa sambamba na mwanaume amekuwa msaada sana kwa mwanaume! Shida ni pale anapojitenga na kuwa mwenyewe mfanya maamuzi akizungukwa na makelele yenye kila aina ya vishawishi...ndipo hujikuta anatamani kuonja visivyoonjeka...anapokea tunda la mti wa kati linalomfundisha kuyaonja mabaya! Na anapokutana na mwanaume wake kwa ushawishi wake usiokifani anamlisha na kumuonjesha mabaya pia!
Mama yetu Samia, uling'ara sana ulipokuwa sambamba na jembe letu, shujaa wetu, Dr. JPM! Sasa upo mwenyewe ukisikizishwa makelele yote yenye vishawishi kama vyote, chondechoje hayo machanjo yako kama unayapenda sana we jiagizie tu kisirisiri ujichanje mwenyewe na hiyo team au tume yako ya utafiti wa kimagumashi wa covid-19, mtuache sisi tuishi maisha yetu mazuri tuliyoachiwa na Muumba wetu!
Msituletee hofu ya kubumbwa! Na tunataka vinasaba vyetu vibaki 'pure'! Hatuhitaji kuongezewa vya covid-19 na mengine mengine 😠!

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Mh. Rais wa JMT ambaye ni Amiri jeshi mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,raia namba moja na mfariji mkuu nchini Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan amekua kweli ni mama wa Taifa.
Bila kupindisha maneno amesema Takukuru wamebambikizia watu kesi na amewataka wafute kesi hizo. Wamefuta kesi 147.

Mh. Rais hii ni fahari kubwa sana kwetu kua na kiongozi kama wewe lakini pia ni aibu na kichekesho kua na taasisi hiyo inayojiita Takukuru. Aibu kubwa sana kwa taasisi hiyo tena haifai kuaminika tena.
Umemla kichwa bosi wao lakini wabambikaji kesi wakubwa wapo mikoani na wilayani. Wanatia aibu sana. Nao wakuu wa Takukuru ambao wamelala usingizi wa pono saidia kuisafisha nchi mama,tulikua tunaelekea pabaya. Kama Takukuru ndio imeoza hivyo vipi hizo taasisi zinazo simamiwa? kama taifa tulikua tunaelekea kua taabani.

Takukuru hii inaweza kununuliwa na mtu mmoja. Mfano Tanga jiji Takukuru boratu ungeifuta. Wanatumia hela za umma bure. Hawana TIJA katika taifa. Wanaungana na watuhumiwa. Ikipelekwa kesi inayomgusa Mkurugenzi wa jiji,aliyelalamika lazima rumande itamhusu. Kama ukitishiwa usipoogopa utalazwa lupango. Kama nimtumishi utanyanyasika sana mpaka baadhi ya watumishi wameacha kazi.
Rushwa ya watu wanaotamaniana imetawala na jiji linatisha. Wasiokua na sifa wamepewa kazi ya kuongoza idara za serikali ndani ya jiji.

Ardhi inaporwa kwa hao wanaoitwa wanyonge na kupewa wenye nazo. Lukuvi maji ya Tanga chini ya Mkurugenzi aliyepo amechemka. Lukuvi kina cha Tanga kimekua kirefu kwake,achilia mbali Shigela na Mwilapi( RC) na (DC) wao hawahusiki na utatuzi wa kero za wananchi hasa ardhi.
Mh. Rais pia amewataka polisi kufanya uchunguzi wa kesi haraka na kulitaka jeshi hilo liache kubebesha watu kesi za uongo. Hongera sana mama Mungu akuweke tunakuhitaji

Mh. Rais ifumue Takukuru ingawaje wapo watumishi walio waadilifu lakini bora wamekiri kuwahujumu raia wenzao kwa kuwabambika kesi 147,wamejitia doa na hawaaminiki.

Anza na Tanga jiji maana Takukuru wanaungana na wateule wako kunyanyasa raia wako.

Kama ukifanyika utafiti wa kina, Tanga jiji itakua miongoni mwa halmashauri vinara wa rushwa(za aina zote) na mazingira magumu kwa baadhi ya watumishi na wakaazi wake. Rushwa kwenye ardhi imeacha watu wamekufa,wamepoteza mali zao,watu wameuziwa viwanja vyao mara mbili na Afisa ardhi amepelekwa Takukuru lakini wenye mamlaka ndani ya jiji lake anamkingia kifua.

Mh. Rais msaidie Ummy Mwalimu Tamisemi kwake ni mzigo mzito

Mh. Rais wafariji watanzania na wanatanga kwa kuondoa hao waumini wa kula rushwa na kubambikia kesi raia
Karibuni wanajukwaa kw a mjadala

2779292_FB_IMG_1621349004745.jpg
 
Mleta uzi hauna elimu ya sayansi ya tiba au tiba yenyewe. Umesukumwa na ujinga na elimu potofu ya vijiweni. Huu ni moja kati ya uzi uliojaa ujinga mwingi sana kwa wakati mmoja
Wanasayansi mnatumika tu na mabwana zenu. Tanzania tuna tatizo kubwa kiasi kuwazidi waliochanjwa? Kuna haja gani ya chanjo wakati waliochanjwa hali inazidi kuwa mbaya kuliko sisi tusiochanjwa?
 
Huna lolote zaidi ya ARGUMENTUM AD HOMINEM tu....

Wakati baba yako anakupeleka kuchomwa CHANJO DHIDI YA "NDUI" ilikuwa imepitia miaka mingapi ya majaribio hapa TANZANIA ?!!!

TULIATHIRIKA nayo?!! Tupe majibu ya kitafiti kuwa chanjo hiyo imeathiri vizazi vyetu....

Kweli UJINGA MZIGO....

Mnatembelewa na mapepo vichwani na mwishowe mnakuwa na HALLUCINATIONS ,DELUSIONS na OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDERS [emoji1787][emoji1787]Kweli MAJINUNI weye......
Kwahiyo umekariri kuwa chanjo ni chanjo hakuna chanjo fake. Malengo ya wakati hadi leo yamebaki yaleyale. Kama wazungu wenyewe wanaigiza kuchanjwa unategemea nini?

Mzungu hajawahi kuwa rafiki wa mwafrika hata siku moja. Hii ingekuwa chanjo isingekuja na shikizo kiasi hiki. Lakini pia huko kwao maambukizi mapya yangepungua.
 
Nchi hii inatatizo kubwa mnoooo la watumishi labla shida ilianzia kwenye mifumo ya Elimu yetu, watu wanapeana vyeo wasio na sifa stahiki matokeo yake wanaanza kulindana na Nchi inazama matopeni.

Nchi inatakiwa ifumuliwe tuanze upya tuu.
Maneno ya kweli. Hata mfumo wa ajira Tsmisemi ni jipu pevu
 
Back
Top Bottom