Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

"Mtatishwa sana ndugu zangu waTanzania, lakini simameni imara"

"Simameni imara, chanjo hazifai"

"Kama wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingekuwa imeshaletwa"

"Hata chanjo ya kifua kikuu ingekuwa kifua kimeshaondoka"

"Hata chanjo ya MALARIA ingekuwa imeshapatikana"

"Hata chanjo ya KANSA ingekuwa imeshapatikana"

"Ni lazima waTanzania tuwe waangalifu, kwa mambo ya kuletewa letewa"

"Msije mkafikiria mnapendwa sana"
Acha kutapika pumba wewe. Acha wanaohitaji chanjo waipate na hutolazimishwa kuchanjwa, kwa nini mnawapangia wengine maamuzi ya kufanya? Wewe na familia yako kama hamtaki ni sahihi ila funga hilo domo na fungua ubongo wako ufanye kazi yake ipasavyo.
 
Ni wazi course ya molecular biology ilikugonga sana na ukatoka kama ulivyoingia na kukariri vocabulary kidogo ambazo hata matumizi yake huyajui! Nakushauri urudi darasani, ukifuta umbulula, uzwazwa, uhobobo, usakala, na ujinga ndio urudi tujadiri😂😂😂🤣🤣🤣🤣😜!
Kama wewe hutaki chanjo ni sawa ila usiwapangie wengine.
 
Nani wa kukulazimisha KUCHANJWA ?!!!

Umetoa mfano usiooana na uhalisia...EVA hafanani na uhalisia ULIOPO....

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya KIFADURO?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao KUCHANJWA chanjo dhidi ya SURUA?!!

Mbona hukatai kumpeleka mwanao mdogo KUCHANJWA chanjo dhidi ya HOMA YA INI ?!!

Mbona huandamani na kuikataa chanjo apewayo mwanao dhidi ya KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,PEPOPUNDA NA DONDA KOO ?!!
CHANJO ZOTE HIZI zinatoka hukohuko ulaya na si kwa babu yako BWENI......

Mihemko ya hisia za uzalendo koko bakini nao wenyewe.....wako watu wanasafiri kila uchao ,wako watu wanafanya kazi na Watalii...HAWA WOTE WATAKUBALI KUCHANJWA......

Binafsi ninaisubiri kwa HAMU MNO....

#Uhalisia
#SayansiSiSiasaKokoZaKizalendo
#TunaisubiriaChanjo
#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfSSH
Jinga kabisa!
Unachanjwa kwa kukinga ugonjwa ambao ni wakufikirika?
Usisahau kumchanja na bibi yako
 
"Mtatishwa sana ndugu zangu waTanzania, lakini simameni imara"

"Simameni imara, chanjo hazifai"

"Kama wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingekuwa imeshaletwa"

"Hata chanjo ya kifua kikuu ingekuwa kifua kimeshaondoka"

"Hata chanjo ya MALARIA ingekuwa imeshapatikana"

"Hata chanjo ya KANSA ingekuwa imeshapatikana"

"Ni lazima waTanzania tuwe waangalifu, kwa mambo ya kuletewa letewa"

"Msije mkafikiria mnapendwa sana"
Noted mkuu thanks much[emoji120]
 
Conspiracy theories tupu hobobo weee 🤣🤣

Yaani ya ndui walikuwa wataalamu ,hii ni "mashetani" 🤣🤣Kweli huna ujualo zaidi ya HISIA TU.....

Unakula processed foods kila uchao ,unatumia vilivyotengenezwa nje kila uchao....Leo iwe chanjo mbaya ya kutaka kuwamaliza WAAFRIKA Khaaaa kweli SIASA ZA KIHAYAWANI hizo 🤣🤣
Babu jiangalie vizuri hata ivo inaonekana hata linda huna.
Unashobokea wazungu hadi kero yaani.
Jipe muda wa kutafiti na kujifunza. Hiyo chanjo hao wazungu wenyewe baadhi ya madaktari huko kwao wanaipinga. Na hadi sasa imeshaua zaidi ya watu 3300.....
Wewe shoga mmoja upo hapa kutetea. Jinga kabisa!
 
Babu jiangalie vizuri hata ivo inaonekana hata linda huna.
Unashobokea wazungu hadi kero yaani.
Jipe muda wa kutafiti na kujifunza. Hiyo chanjo hao wazungu wenyewe baadhi ya madaktari huko kwao wanaipinga. Na hadi sasa imeshaua zaidi ya watu 3300.....
Wewe shoga mmoja upo hapa kutetea. Jinga kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
She is not perfect but at least not fake
Sure.
FB_IMG_16211661549547756.jpg
 
mabeber walikuwa akina nani?
vip mlishinda?
Mabeberu wameshinda vita.

Tuendelee kutawaliwa na hii kitu inaitwa saya6. Kamwe tusiruhusu akili zetu kufikiri nje ya vile wao wametuwekea limit..

Haya yanajidhihirisha chini ya hidden curriculum. Kwenye sociological perspectives.

Tumekuwa colonized our mind kupitia education na kuamini kuwa tuliokuwa tukifanya sisi yalikuwa hayana maana licha ya matokeo chanya.

Tuendelee tu maana dunia ndio inataka iwe hivyo. Hakuna haja ya kubishana na wakati.
 
Wakuu Salaam,

Jana Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, wakati akizindua kiwanda cha ushonaji cha Polisi kuna kauli alizitoa ambazo binafsi naona hakupaswa kuzitoa hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ndiye mtu mwenye nguvu na mamlaka na dhamana kubwa kabisa kwa sasa ndani ya JMT.

Jambo la kwanza alionyesha kushangazwa na vitendo vya matapeli wa kwenye mitandao ya simu ilhali sote tumesajiliwa kwa alama za vidole, jambo hili ni kweli linatushangaza wengi inakuaje hawakamatwi na kushughulikiwa kirahisi na bado wanaendelea, lakini yeye kwa nafasi na mamla aliyonayo alitakiwa kusimama kwenye zamu na nafasi yake kwanza kwa kuonyesha kutoridhishwa na kufutahishwa na jinsi watendaji wanavyoshughulikia swala hilo na pili atoe maelekezo ya nini anataka kuona kinafanyika tena haraka, lakini si kusema tu kuwa na yeye anashangaa, swali linabaki kuwa uongozi wake juu ya jambo hili ni upi?

Jambo la pili ni kuhusu kesi za kubambikiza, ameonyesha kuridhishwa na TAKUKURU kufuta kesi nyingi ambazo wameona hazikua sahihi, halafu akawaambia Polisi wajitafakari. Kama kiongozi liko tatizo ameliona ilikua jambo zuri angeonyesha alichokiona kisha atoe maelekezo ya utekelezaji, mfano ili kupunguza msongamano wa wafungwa JPM hakumwambia DPP ajitafakari bali alimwagiza aende magerezani aonane na mahabusi ili aone kesi za kufuta lakini pia azungumze na watu walio tayari kulipa fedha waachiwe. Hadi akafikia hatua ya kusema hayo ina maana yako mambo ambayo yeye ameyaona ambayo inawezekana watendaji wa maeneo husika either hawajayaona au wanayaona ni ya kawaida, sasa kiongozi kama mbeba maono jukumu lake ni kuwaonyesha yale anayoyaona na kuwaelekeza wayafanye.

Kama mimi kila siku ninapotoka nyumbani kwangu napita mlangoni kwa kupiga sarakasi, ukiniona ukashangaa kuwa nafanya kitu cha ajabu halafu ukaniambia nijitafakari wakati mimi naona ni kitu cha kawaida, usitegemee kuona mabadiliko.

Mama usishangae, kama sisi wananchi tusio na mamlaka, wewe ndiye kiongozi wetu uliye mbele yetu, toa maelekezo, kemea, amrisha mambo yaende.
 
Babu jiangalie vizuri hata ivo inaonekana hata linda huna.
Unashobokea wazungu hadi kero yaani.
Jipe muda wa kutafiti na kujifunza. Hiyo chanjo hao wazungu wenyewe baadhi ya madaktari huko kwao wanaipinga. Na hadi sasa imeshaua zaidi ya watu 3300.....
Wewe shoga mmoja upo hapa kutetea. Jinga kabisa!
Kwa hiyo serikali inataka iwape chanjo watu wake ili IWAUE ?!!!

MJINGA WEWE....
 
Tatizo la mama anatoa kauli bila AMRI (of course amri halali, sio kama za Jiwe) na kutaka kitu fulani kifanyike na time frame. Mfano angelitaka Police wampe kesi zote walizonazo ndani ya say siku 7. Unampa mwanasheria anazipitia, unawashirikisha polisi??. Unatoa maamuzi unayoona ni ya haki.
 
Jinga kabisa!
Unachanjwa kwa kukinga ugonjwa ambao ni wakufikirika?
Usisahau kumchanja na bibi yako
Mbona tunawapeleka kuwachanja watoto wetu chanjo dhidi ya KIFADURO ,DONDA KOO ,SURUA ,KIFUA KIKUU ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KICHOMI ,HOMA YA UTI WA MGONGO ?!!!

Ugonjwa wa CORONA ni wa kufikirika?!!!!

Kwa hiyo watu hawafi na Corona si ndio ee?!!

Kwa hiyo kinachoendelea INDIA ni uongo si ndio eeee?!!!!

Wewe ni mjinga mno na umelishwa ujinga kupita maelezo....
 
Kwahiyo umekariri kuwa chanjo ni chanjo hakuna chanjo fake. Malengo ya wakati hadi leo yamebaki yaleyale. Kama wazungu wenyewe wanaigiza kuchanjwa unategemea nini?

Mzungu hajawahi kuwa rafiki wa mwafrika hata siku moja. Hii ingekuwa chanjo isingekuja na shikizo kiasi hiki. Lakini pia huko kwao maambukizi mapya yangepungua.
Kwa hiyo serikali yetu adhimu itaingiza chanjo FEKI ili IWAUE RAIA WAKE ?!!!!

Kwa hiyo chanjo wanazopewa watoto wetu ni feki ?!!!

Ujinga mzigo Kwani umeletwa duniani ili UPENDWE NA WAZUNGU ?!! Na wazungu wameumbwa ili WAWAPENDE WAHINDI NA WAARABU ?!!!

Binadamu tunaishi kwa kushirikiana tu na huo UPENDO usemao wala haupo utakavyo....kwa hiyo sisi waafrika tunapendana usemavyo kuanzia ngazi ya femili ,mtaa na miji?!! Kwa hiyo wazungu nao hupendana hivyohivyo kuanzia femili ,mtaa na miji ?!!

JIFUNZE KUFIKIRI KIMANTIKI....
 
Umemaliza mkuu, kipekee sitapoteza hata dk1, zikija tu ninazo. Hao wazalendo fake wa corona kwenye mbuzi achana nao na propaganda zao
Wamejilisha "ujinga" mkuu wangu 🤣🤣

Tuko pamoja KOMREDI👍👍👍
 
Back
Top Bottom